Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani kagudanganya.waliosoma ivo ni wa miaka ya 90. Saivi kusoma ni Kazi rahisi mnoo.Ukiona mwanamke ana degree maana yake ni kwamba mwanamke huyo ni mvumilivu na amevumilia mambo mengi sana.
Kapambana na umande wa shule ya msingi kapambana kuanzia form one hadi form six na kikubwa zaidi kapambana na changamoto zote za chuo kikuu kuanzia mwaka wa kwanza hadi anamaliza.
Hakika mwanamke huyu ni mvumilivu na ana staili kuwa mke wa ndoa.
Kama ameweza kustahimili changamoto zote za chuo hawezi shindwa stahimili changamoto za ndoa na maisha kwa ujumla.
Unazungumzia wanawake walosoma shule gan??Ukiona mwanamke ana degree maana yake ni kwamba mwanamke huyo ni mvumilivu na amevumilia mambo mengi sana.
Kapambana na umande wa shule ya msingi kapambana kuanzia form one hadi form six na kikubwa zaidi kapambana na changamoto zote za chuo kikuu kuanzia mwaka wa kwanza hadi anamaliza.
Hakika mwanamke huyu ni mvumilivu na ana staili kuwa mke wa ndoa.
Kama ameweza kustahimili changamoto zote za chuo hawezi shindwa stahimili changamoto za ndoa na maisha kwa ujumla.
Ili tugawane umasikiniMalizia tu unatafuta mwanamke mwenye degree na kazi pia! Hivi kwanini wanaume wa siku hizi tunakimbilia kuoa wanawake wenye kazi?.
Tena huwa ni mitumba yenye chawa kutoka Mumbai.Vyuoni wanapambana kubadili maprofesa wapate credit. Wakija kumaliza washakuwa mitumba grade ya mwisho
Bff wa maza[emoji15] [emoji15]Kwa jinsi nilivyoyaona maisha ya chuoni yalivyo hakika wana uvumilivu sana. Utakuta mwanamke(mwanafunzi) anakaa na jamaa(mwanafunzi pia) kama mke na mume walio ndoani vile baaada ya chuo kufunga kila mtu na njia yake hali huwa hivyo pia wakimaliza chuo.
Naam mrembo hahahaBff wa maza[emoji15] [emoji15]
yapasa huyu mleta mada asome hii signature yakoNakutakia kila la kheri
Haha utakuwa umeamua kunisahau tu. Kwa hiyo na wewe "utawowa" mwenye degree au?Naam mrembo hahaha
Yaani mpaka nakusahaau aisee
Na maza wako kaiga hiyo tabia siku hizi