Sina pa kwenda
Senior Member
- Nov 18, 2010
- 113
- 15
- Thread starter
- #21
Habari za asubuhi wanajamvini nilienda clinic wakanicheck Dr. akaniambia inabidi nichukue Bed Rest ndio nimeanza hvy! Nawashukuru wote kwa ushauri wenu, barikiweni saaana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseee, nenda kwa daktari haraka.Habari wanajamvini jamani hivi inawezekana Mama Mjamzito wa miezi minne kutokwa na damu! na kama ndio inatokana na nini! Msaada plz
Habari za asubuhi wanajamvini nilienda clinic wakanicheck Dr. akaniambia inabidi nichukue Bed Rest ndio nimeanza hvy! Nawashukuru wote kwa ushauri wenu, barikiweni saaana
Kama alivyojibu The secretary - hiyo ni dalili ya kuwa ujauzito wako upo hatarini sana - Katika hali ya kawaida damu yaweza kutoka kutokana na sababu mbalimbali lakini The worst case scenario yawezekana umepatwa na PPROM - Preterm Premature Rapture Of Membrane - Tiba ya hili tatizo mara nyingi huwa ni "bed rest" hadi utakapojifungua kwa wanaobahatika kujifungua...!
Hospital ameenda kaandikiwa akanunue dawa za kukata damu isiendelee kutokaAwahi mapema sana hosp hizo zaweza kuwa dalili za mimba kutoka (miscarriage)! Yaani mimba haikujishikiza vyema