Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,370
Yani inafika siku kama ijumaa ma jumamosi usiku namna cha msanii yeyote aliekuja kupiga show unaishia kuwaona tu YouTube na instagram ukiwa mkazo wa hili jiji,
sio hivyo tu hata clubs za kwenda kucheza mziki hili jiji wapo nyuma sana, zamani zilikuwpo royal pamodzi na Livingstone ila kwa sasa ni sawa na hakuna.
Unakuta wasanii hadi sumbawanga wanafika, hata mkoa wa karibu Iringa idadi yao ya show inaridhisha.
Mbeya nakumbuka msanii wa mwisho kuja alikuwa ni Mbosso kwenye ile Miss mbeya miezi kama minne hivi iliyopita, tangu hio show sijasikia tena kuna msanii mkubwa kaja kupiga show.
Zamani kidogo walisingizia vyuo vinavyichochea wasanii waje ni vichache ila kwa sasa kumekuwa na vyuo vingi hapa mjini kuanzia Saut pale mafiati, Tia hapo hapo mafiati, Mzumbe eneo la forest, Teku pande za block T, na vyuo vingine kama cbe na adem vilivyopo hapa town. Must sijaiweka kwasababu vijana kila muda wanaopiga misuli mizito.
Sasa najiuliza hivi ni kwanini wasanii hawatafutwi na mapromota au kujiandalia show Mbeya?????
sio hivyo tu hata clubs za kwenda kucheza mziki hili jiji wapo nyuma sana, zamani zilikuwpo royal pamodzi na Livingstone ila kwa sasa ni sawa na hakuna.
Unakuta wasanii hadi sumbawanga wanafika, hata mkoa wa karibu Iringa idadi yao ya show inaridhisha.
Mbeya nakumbuka msanii wa mwisho kuja alikuwa ni Mbosso kwenye ile Miss mbeya miezi kama minne hivi iliyopita, tangu hio show sijasikia tena kuna msanii mkubwa kaja kupiga show.
Zamani kidogo walisingizia vyuo vinavyichochea wasanii waje ni vichache ila kwa sasa kumekuwa na vyuo vingi hapa mjini kuanzia Saut pale mafiati, Tia hapo hapo mafiati, Mzumbe eneo la forest, Teku pande za block T, na vyuo vingine kama cbe na adem vilivyopo hapa town. Must sijaiweka kwasababu vijana kila muda wanaopiga misuli mizito.
Sasa najiuliza hivi ni kwanini wasanii hawatafutwi na mapromota au kujiandalia show Mbeya?????