Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Mimi hata sizitumii kwa hivyo hata sizijui. Nina Kiranga kila simu nataka flagship.Hapo ndipo Samsung wanapofeli, wanashindwa kuzipa thamani flagship zao kwa kurusu simu cheap kwenye brand yao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi hata sizitumii kwa hivyo hata sizijui. Nina Kiranga kila simu nataka flagship.Hapo ndipo Samsung wanapofeli, wanashindwa kuzipa thamani flagship zao kwa kurusu simu cheap kwenye brand yao.
Endelea kufurahia kitochi chako,waache wenye brand yao waendelee kupiga helaNaomba mnielewe hapa sizungumzii samsung flagships kama s24,s24 ultra no. Mostly "A" series.
Zifuatazo ni sababu kwanini siwezi kutumia samsung mid rangers.
1.Design mbovu : hawa jamaa ubunifu sifuri wanatengeneza simu zenye muonekano wa mwaka 1990 hata tecno anawazidi.
¤Bezels nene(ufito wa pembeni wa simu)mfano A15,A25,A34:simu nyingi za sasa hivi ni less bezels au bezel less kabisa.
¤Mwaka 2023/2024 kutengeneza simu yenye water drop notch kama A16 ni uongo simu nyingi sasa hivi zina punch hole.
¤Simu nene(8.2mm) : sasa hivi makampuni mengi yanatengeneza simu nyembamba(7.7mm au 7.8mm)
2. Storage ndogo : amini usiamini hawa jamaa mwaka huu 2024 wametoa simu inaitwa A16 ina ram 4gb.hata wachovu Tecno mwaka huu base smartphone yao ina 8gb ram na 256gb rom.
3. Betri ndogo : hawa jamaa ni kawaida tu kutengeneza simu yenye betri 3900mahz halafu hyo simu wakaiuza milioni 2.
4. Screen resolution ndogo 1080×2340: hawa jamaa simu zao zote zinazouzwa chini ya milioni screen resolution ni moja
Samsung ni samsung tu. Hata A series pia ni samsung.Nimekuja kufanya ubabe hapa lakini naona umeanza kwa kuomba msamaha kwa kuzitoa simu zangu za Samsung kwenye hii habari.
Siku nyingine andika kwenye heading kabisa nisisumbuke kuingia.
Wewe mwenyewe ungekua genuine product ungekua umegundua tiba ya kifo,so hapa unautilize tu bando lako la jero!Nashukuru but Aseries sio simu ni makande.
Muhaya tangu lin akatumia infinix, kwani hakuna simu nyingine....in Haya voiceUnatumia infinix ipi nikuige?
Yeah, lakini si ninayotumia mimi.Samsung ni samsung tu. Hata A series pia ni samsung.
Mimi wa infinix nafikiria kuchukua redmi note 13 pro nadhani bila ya shaka nitafurahia MkuuREDMI au XIAOMI tena zile zenye chip.. Snapdragon [emoji91][emoji91][emoji91] ukimiliki aina hii ya simu wala huta jutia na kampuni zingine utona ni kelele na michosho.
Kama ni mpenzi wa hizi simu just give a[emoji294]
Kwenye hizi simu sitoki hadi naenda mbinguni.
View attachment 3150126View attachment 3150127View attachment 3150128
Mbona umepanic sasa bwana Matelephone?Simu ni infinix tu? Mnyama xiaomi unamjua wewe? Poco unamjua wewe kihande?
Storage ya kweli ila Ram na Camera Pixel ukiondoa sumsang wengjne waongo tuStorage ndogo: Amini usiamini hawa jamaa mwaka huu 2024 wametoa simu inaitwa A16 ina ram 4gb.hata wachovu Tecno mwaka huu base smartphone yao ina 8gb ram na 256gb rom.