Sababu nne(4) za msingi kwanini siwezi kutumia simu za Samsung (scumsung)

Sababu nne(4) za msingi kwanini siwezi kutumia simu za Samsung (scumsung)

Wewe unayeijua dunia unasupport horrible specs kwa high prices? Nini maana ya kujua dunia sasa kama unasupport hizo anti-consumer moves?
Unaweza ukawa Marekani na bado usiijue dunia kwa sababu Marekani sio dunia

Consumer gani?

Sija support lolote zaidi ya uhuru wa kila mtu kuchagua anachotaka na makampuni kutengeneza simu wanavyotaka, wewe hujui kusoma kwa ufahamu tu.

Nimekwambia boycott Samsung nenda huko ambako wanajali hizo simu nyingine.

Make a statement with your money instead of bitching bitterly online.

And know that not everything is for you.

Kwani lazima utumie simu ya Samsung?

Mimi mbona sipendi simu za Apple na wala sijaona haja ya kuanzisha uzi wa kuzi bash simu za Apple hapa?

Unajua kwa nini sianzishi uzi huo?

Kwa sababu najua simu za Apple hazijatengenezwa kwa ajili yangu, na kuna watu zinawafaa vizuri tu wanazipenda. Mimi nimejua simu ninayoipenda ni Samsung.

Sasa kwa nini unalazimisha simu za Samsung ziwe unavyotaka wewe wakati Samsung wenyewe hawataki hivyo?
 
Usinipe hela, nunua mwenyewe hapa


Sio Poco F5 pekee, Poco F6 ni bei sawa na Galaxy A55 ila angalia comparison ya hizo simu uone tofauti kati ya simba na paka. Samsung ambazo ni worth it ni hizo S series tu. Huku Tz tunanunua A series kwa sababu ndio chaguo tulilo nalo na ukizingatia Xiaomi hazipo official Tanzania. Soko letu sio pana sana ila inapokuja suala ya value for money hizo A series mnaziendekeza sana. Nini sababu ya kuweka chipset ya Exynos 1480 kwenye simu ya laki 9, au kwa sababu kila mtu atanunua kisa ni Samsung?
Original used phone🤣
 
Consumer gani?

Sija support lolote zaidi ya uhuru wa kila mtu kuchagua anachotaka na makampuni kutengeneza simu wanavyotaka, wewe hujui kusoma kwa ufahamu tu.

Nimekwambia boycott Samsung nenda huko ambako wanajali hizo simu nyingine.

Make a statement with your money instead of bitching bitterly online.

And know that not everything is for you.

Kwani lazima utumie simu ya Samsung?

Mimi mbona sipendi simu za Apple na wala sijaona haja ya kuanzisha uzi wa kuzi bash simu za Apple hapa?

Unajua kwa nini sianzishi uzi huo?

Kwa sababu najua simu za Apple hazijatengenezwa kwa ajili yangu, na kuna watu zinawafaa vizuri tu wanazipenda. Mimi nimejua simu ninayoipenda ni Samsung.

Sasa kwa nini unalazimisha simu za Samsung ziwe unavyotaka wewe wakati Samsung wenyewe hawataki hivyo?
Sasa unaanza drama. Unapretend kama una support sana watu kuwa na uhuru na hutaki hata niponde A series. Kwani sina uhuru wa kuzi bash hizo simu? Au uhuru maana yake ni nini. Wewe kama hupendi Apple na huziongelei ni wewe. Usitake na mimi niwe kama wewe, Kila mtu ana maisha yake. Mnajifanya mnajua sana maisha ila kiuhalisia unachokijua ni maisha yako wewe tu, sio ya mwingine.
Usitake kila mtu awe kama wewe, tutolee ulimbukeni hapa
 
Nimekuja kufanya ubabe hapa lakini naona umeanza kwa kuomba msamaha kwa kuzitoa simu zangu za Samsung kwenye hii habari.

Siku nyingine andika kwenye heading kabisa nisisumbuke kuingia.
Mimi na ultra kifupi nimekuona ww ZUZU NENE tu. Hizo A series zililetwa kuwakumbuka infinix ,itel na Tecno nao angalau wabonye Samsung
 

Attachments

  • 20241121_150036.jpg
    20241121_150036.jpg
    827.3 KB · Views: 3
Sasa unaanza drama. Unapretend kama una support sana watu kuwa na uhuru na hutaki hata niponde A series. Kwani sina uhuru wa kuzi bash hizo simu? Au uhuru maana yake ni nini. Wewe kama hupendi Apple na huziongelei ni wewe. Usitake na mimi niwe kama wewe, Kila mtu ana maisha yake. Mnajifanya mnajua sana maisha ila kiuhalisia unachokijua ni maisha yako wewe tu, sio ya mwingine.
Usitake kila mtu awe kama wewe, tutolee ulimbukeni hapa
Nasema hivi, wewe unawapangia Samsung wafanye vipi biashara yao.

Huna uhuru huo.

Una uhuru wa kukataa simu za Samsung na kuchagua nyingine.
 
Mimi na ultra kifupi nimekuona ww ZUZU NENE tu. Hizo A series zililetwa kuwakumbuka infinix ,itel na Tecno nao angalau wabonye Samsung
Somo kubwa hapa ni kwamba usilazimishe kwenda nyumba ambayo haikutaki uitembelee.

Hiyo ni tabia mbaya.

Utaanza kusikia tu "leo kuna kiingilio cha kuingilia nyumba hii, leo hupewi hata maji nyumba hii bila kulipia".

Akufukuzaye, hakwambii toka, utaona mambo yanabadilika.

Kama mnaona Samsung inawapunja, ondokeni tu muende sehemu ambayo mnapendwa.

Kwani lazima mtumie simu za Samsung?
 
Nasema hivi, wewe unawapangia Samsung wafanye vipi biashara yao.

Huna uhuru huo.

Una uhuru wa kukataa simu za Samsung na kuchagua nyingine.
Nani ananinyima uhuru wa kukosoa bei za Samsung? Au ni wewe?
Sorry ila hatuishi kwa sheria na misingi yako. Hiyo baki nayo wewe mimi sijilimit kiasi hicho, ninaongea ninachoona kinafaa kuongelewa kwa upande wangu. Na jambo jema huku ni JF sio hata yako
 
Nani ananinyima uhuru wa kukosoa bei za Samsung? Au ni wewe?
Sorry ila hatuishi kwa sheria na misingi yako. Hiyo baki nayo wewe mimi sijilimit kiasi hicho, ninaongea ninachoona kinafaa kuongelewa kwa upande wangu. Na jambo jema huku ni JF sio hata yako
Una uhuru wa kukosoa bei unavyotaka lakini huna uhuru wa kupanga bei unavyotaka.

Kubali tu kuwa Samsung si simu yako.

Kwani usipotumia Samsung utakufa?
 
Una uhuru wa kukosoa bei unavyotaka lakini huna uhuru wa kupanga bei unavyotaka.

Kubali tu kuwa Samsung si simu yako.

Kwani usipotumia Samsung utakufa?
Kuna raia kubadili maamuzi aliyonayo ni ngumu sana

Kuna mtu anasoma specifications za tecno kwenye box anaona simu bora kumbe imeandikwa 16gb ram ukiingia kwenye benchmark unakuta 6gb ram

Lkn anaponda samsung yenye 8gb ram kuwa simu yake bei ndogo lkn specs kubwa na anaanza kuponda mtu wa samsung kuwa amepigwa kisa jina.
 
Naomba mnielewe hapa sizungumzii Samsung flagships kama s24, s24 ultra no. Mostly "A" series.

Zifuatazo ni sababu kwanini siwezi kutumia samsung mid rangers.

1. Design mbovu: hawa jamaa ubunifu sifuri wanatengeneza simu zenye muonekano wa mwaka 1990 hata tecno anawazidi.
  • Bezels nene(ufito wa pembeni wa simu)mfano A15, A25,A 34: simu nyingi za sasa hivi ni less bezels au bezel less kabisa.
  • Mwaka 2023/2024 kutengeneza simu yenye water drop notch kama A16 ni uongo simu nyingi sasa hivi zina punch hole.
  • Simu nene(8.2mm): sasa hivi makampuni mengi yanatengeneza simu nyembamba (7.7mm au 7.8mm)
2. Storage ndogo: Amini usiamini hawa jamaa mwaka huu 2024 wametoa simu inaitwa A16 ina ram 4gb.hata wachovu Tecno mwaka huu base smartphone yao ina 8gb ram na 256gb rom.

3. Betri ndogo: Hawa jamaa ni kawaida tu kutengeneza simu yenye betri 3900mahz halafu hyo simu wakaiuza milioni 2.

4. Screen resolution ndogo 1080×2340: Hawa jamaa simu zao zote zinazouzwa chini ya milioni screen resolution ni moja
Tafuta pesa..SAMSUNG A series ni Tecno iliyochangamka
 
Kuna raia kubadili maamuzi aliyonayo ni ngumu sana

Kuna mtu anasoma specifications za tecno kwenye box anaona simu bora kumbe imeandikwa 16gb ram ukiingia kwenye benchmark unakuta 6gb ram

Lkn anaponda samsung yenye 8gb ram kuwa simu yake bei ndogo lkn specs kubwa na anaanza kuponda mtu wa samsung kuwa amepigwa kisa jina.
Ila kuna simu zinashinda Samsung (naongelea A series) kuanzia processor, camera, display, performance nk na zinauzwa bei sawa na hiyo hiyo Samsung.
Achana na hizo Tecno zinazoandikwa 16GB RAM kumbe kiuhalisia ni 8GB plus 8GB expanded RAM. Zipo simu ambazo zinafanya vizuri kuliko A series kwenye real life performance kwa bei sawa
 
Kujishaua tu na huna kitu kichwan. Eti storage ndogo kama una pesa si ukanunue custom made??
K
Naomba mnielewe hapa sizungumzii Samsung flagships kama s24, s24 ultra no. Mostly "A" series.

Zifuatazo ni sababu kwanini siwezi kutumia samsung mid rangers.

1. Design mbovu: hawa jamaa ubunifu sifuri wanatengeneza simu zenye muonekano wa mwaka 1990 hata tecno anawazidi.
  • Bezels nene(ufito wa pembeni wa simu)mfano A15, A25,A 34: simu nyingi za sasa hivi ni less bezels au bezel less kabisa.
  • Mwaka 2023/2024 kutengeneza simu yenye water drop notch kama A16 ni uongo simu nyingi sasa hivi zina punch hole.
  • Simu nene(8.2mm): sasa hivi makampuni mengi yanatengeneza simu nyembamba (7.7mm au 7.8mm)
2. Storage ndogo: Amini usiamini hawa jamaa mwaka huu 2024 wametoa simu inaitwa A16 ina ram 4gb.hata wachovu Tecno mwaka huu base smartphone yao ina 8gb ram na 256gb rom.

3. Betri ndogo: Hawa jamaa ni kawaida tu kutengeneza simu yenye betri 3900mahz halafu hyo simu wakaiuza milioni 2.

4. Screen resolution ndogo 1080×2340: Hawa jamaa simu zao zote zinazouzwa chini ya milioni screen resolution ni moja
Hii series ya A ni hovyo kabisa.
 
Kuna raia kubadili maamuzi aliyonayo ni ngumu sana

Kuna mtu anasoma specifications za tecno kwenye box anaona simu bora kumbe imeandikwa 16gb ram ukiingia kwenye benchmark unakuta 6gb ram

Lkn anaponda samsung yenye 8gb ram kuwa simu yake bei ndogo lkn specs kubwa na anaanza kuponda mtu wa samsung kuwa amepigwa kisa jina.
Watu wengine wanapenda sana kujimwambafy kupanga bei kwenye biashara za watu ambazo hawazijui, hawazitolei ruzuku, na hawajalazimishwa kununua vitu.
 
Watu wengine wanapenda sana kujimwambafy kupanga bei kwenye biashara za watu ambazo hawazijui, hawazitolei ruzuku, na hawajalazimishwa kununua vitu.
Kwa uelewa wangu kujimwambafy ni kuita watu masikini mitandaoni na kuwaambia watu unahesabu nyumba Marekani, tena kwenye mada inayohusu simu, sio hata mada ya maisha. Such an irrelevant point
 
Back
Top Bottom