Sababu nne(4) za msingi kwanini siwezi kutumia simu za Samsung (scumsung)

Endelea kufurahia kitochi chako,waache wenye brand yao waendelee kupiga hela
 
Nimekuja kufanya ubabe hapa lakini naona umeanza kwa kuomba msamaha kwa kuzitoa simu zangu za Samsung kwenye hii habari.

Siku nyingine andika kwenye heading kabisa nisisumbuke kuingia.
Samsung ni samsung tu. Hata A series pia ni samsung.
 
Samsung ni samsung tu. Hata A series pia ni samsung.
Yeah, lakini si ninayotumia mimi.

Hapo ni sawa umwambie mtu anayetumia Mercedes Benz S Class matatizo ya Mercedes Benz C Class. Hayamhusu.
 
Storage ndogo: Amini usiamini hawa jamaa mwaka huu 2024 wametoa simu inaitwa A16 ina ram 4gb.hata wachovu Tecno mwaka huu base smartphone yao ina 8gb ram na 256gb rom.
Storage ya kweli ila Ram na Camera Pixel ukiondoa sumsang wengjne waongo tu
 
Acha nikanunue Made in Tanzania kwanza ina uwezo.kuliko hata iphone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…