Ni sawa tu na Azam kutengeneza maandazi na kuyauza kwa watu wa kipato cha chini. Lengo ni kuhakikisha kila mtu anayeitamani nembo ya Azam anaipata bila kujali kipato. Ni mbinu za kibiashara. Wewe nunua kile unaona kinakufaa kulingana na pesa yako. Same for Samsung.Hapo ndipo Samsung wanapofeli, wanashindwa kuzipa thamani flagship zao kwa kurusu simu cheap kwenye brand yao.
Hauta jutia.Mimi wa infinix nafikiria kuchukua redmi note 13 pro nadhani bila ya shaka nitafurahia Mkuu
Ndio uliyokuwa unaitumia kurecord wale 400 nini mkuu?Scumsung!!
SomeThug
ScumBag
ScreamSung
...
simu ni itel tu!
mimi na itel ya milioni 8 ina ram 8gb na storage 512gb camera 72megapixel na betri 9200mAh.
Inakaa na chaji siku 8
Lile li utralako unasubir ku upgrate mwakani s25 ultra, kama nakiona ulivyo wahii😂Nimekuja kufanya ubabe hapa lakini naona umeanza kwa kuomba msamaha kwa kuzitoa simu zangu za Samsung kwenye hii habari.
Siku nyingine andika kwenye heading kabisa nisisumbuke kuingia.
Ww pocco hamna simu mule acha kutisha watuSimu ni infinix tu? Mnyama xiaomi unamjua wewe? Poco unamjua wewe kihande?
Sitaki matatizo.Lile li utralako unasubir ku upgrate mwakani s25 ultra, kama nakiona ulivyo wahii😂
It is so perfect wallahBaada ya miaka 10 ya kuacha kutumia Samsung hatimaye mwaka huu wamenishawishi na s24 Ultra, naipenda mno.
Poco hamna simu kwa misingi ipi? Inafurahisha Poco F5 ya laki 5 na nusu inashinda Samsung Galaxy A55 ya laki 9.Ww pocco hamna simu mule acha kutisha watu
Hujui unachokiongea.Ww pocco hamna simu mule acha kutisha watu
Tuko pamojaKimfaacho mtu chake kwa kweli!
Mimi sioni cha kunitoa sumsung, hata iwe na uwezo mdogo kiasi gani.
Nikupe laki 5 na nusu uniletee F5!?Poco hamna simu kwa misingi ipi? Inafurahisha Poco F5 ya laki 5 na nusu inashinda Samsung Galaxy A55 ya laki 9.
Eleza kwa nini umesema Poco hamna simu mule, nataka nione point yako
ongea ww tuone unajua nnHujui unachokiongea.
Wengine flagship wanazionaga kwenye picha tu mtandaoni😂Wewe ukiwa na tatizo la kutoweza kununua Samsung flagship, ukaishia kununua simu za Samsung za kajambanani, hapo tatizo si Samsung.
Tatizo ni wewe umeshindwa kununua Samsung flagship.
Samsung ina simu kwa kila mtu na bajeti yake.
Sasa, kama wewe bajeti yako ya simu ni ndogo, huwezi kununua Samsung flagship, hapo tatizo ni wewe kuwa na bajeti ndogo, tatizo si Samsung.
Wee mwehu!Naomba mnielewe hapa sizungumzii Samsung flagships kama s24, s24 ultra no. Mostly "A" series.
Zifuatazo ni sababu kwanini siwezi kutumia samsung mid rangers.
1. Design mbovu: hawa jamaa ubunifu sifuri wanatengeneza simu zenye muonekano wa mwaka 1990 hata tecno anawazidi.
2. Storage ndogo: Amini usiamini hawa jamaa mwaka huu 2024 wametoa simu inaitwa A16 ina ram 4gb.hata wachovu Tecno mwaka huu base smartphone yao ina 8gb ram na 256gb rom.
- Bezels nene(ufito wa pembeni wa simu)mfano A15, A25,A 34: simu nyingi za sasa hivi ni less bezels au bezel less kabisa.
- Mwaka 2023/2024 kutengeneza simu yenye water drop notch kama A16 ni uongo simu nyingi sasa hivi zina punch hole.
- Simu nene(8.2mm): sasa hivi makampuni mengi yanatengeneza simu nyembamba (7.7mm au 7.8mm)
3. Betri ndogo: Hawa jamaa ni kawaida tu kutengeneza simu yenye betri 3900mahz halafu hyo simu wakaiuza milioni 2.
4. Screen resolution ndogo 1080×2340: Hawa jamaa simu zao zote zinazouzwa chini ya milioni screen resolution ni moja
Usinipe hela, nunua mwenyewe hapaNikupe laki 5 na nusu uniletee F5!?
Midrange za Samsung zioo nyuma ukilinganisha na simu nyingine za bei hiyo.Wewe ukiwa na tatizo la kutoweza kununua Samsung flagship, ukaishia kununua simu za Samsung za kajambanani, hapo tatizo si Samsung.
Tatizo ni wewe umeshindwa kununua Samsung flagship.
Samsung ina simu kwa kila mtu na bajeti yake.
Sasa, kama wewe bajeti yako ya simu ni ndogo, huwezi kununua Samsung flagship, hapo tatizo ni wewe kuwa na bajeti ndogo, tatizo si Samsung.