Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Tena sasa usishangae mwisho wa siku kwenye huo mgao wa Mama yeye ananyimwa. 🤣🤣Mara paap mama yako kaaga dunia, ndugu wote wanazitaka Mali kwasababu ni za mama yao pia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena sasa usishangae mwisho wa siku kwenye huo mgao wa Mama yeye ananyimwa. 🤣🤣Mara paap mama yako kaaga dunia, ndugu wote wanazitaka Mali kwasababu ni za mama yao pia.
Duuh!Hata angebeba mimba tano, na watoto wote wafanane na mimi ,...bado sina uhakika kuwa ni watoto wangu,.....
Mtani ahsante kwa hili dongo. 🤣🤣Hakuna thread inayochukiwa na wanawake kama ya aina hii utadhani na wao hawatapata watoto wa kiume!😂😂😂😂
Bora mali zangu wagawane ndugu zangu.....kuliko watu baki kutoka ukoo mwingineMamaako ni mke wa mtu akifa yeye anachukua Mali zote mumewe(huyo mumewe anaweza kuwa babaako au asiwe)
Kama Hana Mume (single mother au Mjane) ikatokea amedondoka Mali zote zitagawanywa pasu kwa pasu kwa ndugu mliozaliwa wote kwa huyo Mama..
Mali ni kwaajili yako MWENYEWE.
Mali ni kwaajili ya watoto na kizazi chako.
Bora mali zangu wagawane ndugu zangu.....kuliko watu baki kutoka ukoo mwingine
Hahahah hii pointSiku ukijua kwanini watu hufanya anniversary za ndoa na sio za udugu ndio utajua kuwa mkeo ni rafiki yako wa ukubwani
🤣🤣🤣 Mtani tuache hebu.Kama wanawake hudhani na kuweka moyoni kwamba waume zao ndiyo watatangulia kufa,wanahofia nini sasa?Wanawaogopa marehemu?
Bora hivyo kuliko achukue mwanamke niliyekutana naye ukubwaniHakuna tofauti hapo.
Unampa Mamaako anaolewa na mwanaume mwingine. Baba wa kambo ndiye anakuwa mmiliki
Yote ni maumivu.Kuzinguliwa na bi mkubwa au mpenzi kipi kinauma zaidi!??
Ninyi ni wakorofi sana.Bora tuwape mabanzi tukiwa JF maana nyumbani tukisema mnatangaza tuna gubu.🤣🤣🤣 Mtani tuache hebu.
Hiyo ime-go!Suluhisho ni msioe wala kuzaa.
Sasa kama mnaweka mavitu rohoni hamushirikishi watu mioyo ikapoa mtaachaje kufa haraka? 😅😅Ninyi ni wakorofi sana.Bora tuwape mabanzi tukiwa JF maana nyumbani tukisema mnatangaza tuna gubu.