Pre GE2025 Sababu tano za wanachama wengi kumhitaji Tundu Lissu kuliko Mbowe

Pre GE2025 Sababu tano za wanachama wengi kumhitaji Tundu Lissu kuliko Mbowe

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

GWAPISYETO

New Member
Joined
Dec 18, 2024
Posts
3
Reaction score
13
Hamjambo Watanzania!

Ni dhahiri joto la uchaguzi ndani ya chama cha upinzani cha CHADEMA limepamba moto na katika ufuatiliaji wangu kwenye mitandao ya kijamii hususani Youtube,X na Instagram nimeona maoni ya wananchi na wanachama wengi wa kawaida wanamhitaji Lissu kuliko Mbowe. Kwa usanisi wangu nimegundua hoja 5 zinazowekwa mezani.


HOJA YA 1: KURUDISHA DEMOKRASIA NDANI YA CHAMA
Wakati ambapo jina la chama linatanabaishwa kuwa na msingi mkubwa wa demokrasia lakini kuna wingu zito la udikteta liliingizwa chamani na Mhe. Mbowe kwa kuondosha ukomo wa madaraka.

Hii inafanya kufifisha harakati za kupigania demokrasia hata nje ya chama. Watu wanahoji inakuwaje CHADEMA waliounga mkono rasimu ya katiba ya Warioba iliyosheheni vifungu vya ukomo wa madaraka kwa viongozi wa umma lakini ndani ya chama chenyewe hawataki ukomo wa madaraka?

Kwa mantiki hiyo Mhe.Lissu au mtu mwingine apewe fursa ya uenyekiti wa chama na kanuni ya ukomo wa madaraka kwa viongozi wa chama itizamwe upya.


HOJA YA PILI: MISIMAMO YA KISIASA
Kwa siku za hivi karibuni Mhe.Mbowe ameonekana kushuka morali ya kusimamia maslahi ya chama. Ukiacha tuzo aliyoandaa na kumpa Mama huku akitahadharishwa na Lissu lakini bado ameonekana kutokujenga taswira ya chama kinataka nini?

Awali tulidhani katiba mpya na tume huru ya uchaguzi lakini ukiacha kukosekana kwa nuru ya hivyo vyote kupatikana bado Mwenyekiti alikuwa mstari wa mbele kuhakikisha chama kinashiriki uchaguzi wa serikali za mitaa bila kuwepo kwa tume huru wala katiba bora.

Hii inaonyesha ombwe la uongozi hivyo CHADEMA inahitaji mtu atakayeonyesha njia ya aidha katiba mpya ipiganiwe ili ilete tume huru na uchaguzi huru na haki ili upinzani ujipenyeze kwa haki kukamata dola vinginevyo itakuwa kama kushiriki siasa za ruzuku.


HOJA YA TATU: KUKOMESHA UKABILA NA UKANDA NDANI YA CHAMA
Hoja hii haipendwi na mara zote ikiibuliwa wahafidhina wa Mwenyekiti Mbowe hujibu kwa ukali sana lakini kwa mwenendo wa uchaguzi wa ndani ya chama toka enzi za kina Chacha Wangwe, Zitto Kabwe na hata sasa Kamanda Lissu anagombea kuna watu mfano Henry Kilewo ambaye ni mwenyekiti wa BAVICHA Dar anatoa hoja za kumtetea Mhe.Mbowe abaki madarakani bila kujali maslahi ya chama. Mfano, hakuna kikao chochote cha BAVICHA mkoa wa Dar es salaam kilichoketi kumuidhinisha Mbowe lakini machawa hususani wanufaika wa mfumo wa Mbowe au wanaotoka ukanda ule wamekuwa wakali na wanamtetea bila kujali maisha baada ya uchaguzi.

Inashangaza, mtu anasema hajali hata Mbowe akiongoza milele lakini anajali kwanini CCM isiongoze milele. Ili kuondosha ombwe hili tunahitaji dira ya mwenyekiti mpya.


HOJA YA NNE: KUSHINDWA KUPAMBANA NA MFUMO WA CCM YA SASA
Wakati ambapo CCM wakiwapa vijana exposure na kuwalea katika misingi ya uongozi bora hali imekuwa tofauti kwa CHADEMA. Kati ya mwaka 2010 mpaka 2018 kulikuwa na harakati nyingi za chama hususani mpango wa CHADEMA NI MSINGI ambapo lenho kubwa lilikuwa kufika mashinani kuimarisha chama hususani vijijini na kuwavutia vijana wengi wa vyuo vikuu kupitia CHASO lakini mipango yote hiyo imebuma na msisimko wa vijana wengi kwa chama umeshuka vibaya mno hivyo chama kinahitaji mwenyekiti mpya atakayetengeneza safu ya utendaji bora na kutekeleza maazimio ya chama yatakayopelekea kuendana na mfumo wa siasa za sasa za CCM wanaoimarisha Chipukizi, mabaraza ya vijana, wazee na wanawake huku wakisajili wanachama wengi kwa mfumo wa kidigitali.


HOJA YA TANO: KUONGOZA CHAMA KWA KUZINGATIA ITIKADI BADALA YA BUSARA
Duniani kote hakuna chama cha upinzani kinachokamata dola kwasababu eti kiongozi mkuu ana busara kama kipo nitajieni.

Chama lazima kiende kwa itikadi na falsafa zitakazokaa katika fikra za wanachama na wananchi. Katika nyakati tofauti tumeona chama kikipoteza mwelekeo kwa kutokusimamia itikadi. Mfano chama kiliingizwa kwenye fungate la 4R pasipokugundua kwamba ni karata ya chama tawala hivyo kujikuta baadae kimeachwa solemba. Watu wanauawa, watu wanatekwa, rasilimali za nchi zinaibiwa, uhuru wa kujieleza unakandamizwa, uchaguzi unaingiliwa kinyume na utaratibu, uwakilishi wa wananchi unadumazwa.

SAUTI YA MWENYEKITI WA CHAMA HAITOSHI ANAHITAJIKA MWINGINE.
Tubishane kwa hoja sasa✅
 

Attachments

  • IMG_20241219_124828.jpg
    IMG_20241219_124828.jpg
    70.3 KB · Views: 5
HOJA ZA MSINGI NA ZENYE MASHIKO, MBOWE WITH ALL DUE RESPECT, ASTAAFU KWA HESHIMA NA HAKUNA ATAYETWAA LEGACY YAKE, ila mabadiliko ni muhimu ampishe lissu alete mageuzi anayoyatamani, kimsingi lissu ni mfia imani, hawezi kukipoteza chama zaidi sana ata risk maisha yake kkitetea chama anachokiongoza.
NI LISSU TU ndio mwenye future ya chadema, mbowe akirudi itakua ni busness as ussual, kuwasindikiza ccm nchi ya ahadi.
nina hakika wana chadema wangekua ndo wapiga kura, lissu angeshinda asubuhi, bahati mbaya ni muundo flani wa viongozi ambao wote ni watiifu wa mbowe bila kujali uhalisia wa mambo (chawa).

ila mbowe akirud upinzani utakosa hoja kabisa.
 
Hamjambo Watanzania!

Ni dhahiri joto la uchaguzi ndani ya chama cha upinzani cha CHADEMA limepamba moto na katika ufuatiliaji wangu kwenye mitandao ya kijamii hususani Youtube,X na Instagram nimeona maoni ya wananchi na wanachama wengi wa kawaida wanamhitaji Lissu kuliko Mbowe. Kwa usanisi wangu nimegundua hoja 5 zinazowekwa mezani.


HOJA YA 1: KURUDISHA DEMOKRASIA NDANI YA CHAMA
Wakati ambapo jina la chama linatanabaishwa kuwa na msingi mkubwa wa demokrasia lakini kuna wingu zito la udikteta liliingizwa chamani na Mhe. Mbowe kwa kuondosha ukomo wa madaraka.

Hii inafanya kufifisha harakati za kupigania demokrasia hata nje ya chama. Watu wanahoji inakuwaje CHADEMA waliounga mkono rasimu ya katiba ya Warioba iliyosheheni vifungu vya ukomo wa madaraka kwa viongozi wa umma lakini ndani ya chama chenyewe hawataki ukomo wa madaraka?

Kwa mantiki hiyo Mhe.Lissu au mtu mwingine apewe fursa ya uenyekiti wa chama na kanuni ya ukomo wa madaraka kwa viongozi wa chama itizamwe upya.


HOJA YA PILI: MISIMAMO YA KISIASA
Kwa siku za hivi karibuni Mhe.Mbowe ameonekana kushuka morali ya kusimamia maslahi ya chama. Ukiacha tuzo aliyoandaa na kumpa Mama huku akitahadharishwa na Lissu lakini bado ameonekana kutokujenga taswira ya chama kinataka nini?

Awali tulidhani katiba mpya na tume huru ya uchaguzi lakini ukiacha kukosekana kwa nuru ya hivyo vyote kupatikana bado Mwenyekiti alikuwa mstari wa mbele kuhakikisha chama kinashiriki uchaguzi wa serikali za mitaa bila kuwepo kwa tume huru wala katiba bora.

Hii inaonyesha ombwe la uongozi hivyo CHADEMA inahitaji mtu atakayeonyesha njia ya aidha katiba mpya ipiganiwe ili ilete tume huru na uchaguzi huru na haki ili upinzani ujipenyeze kwa haki kukamata dola vinginevyo itakuwa kama kushiriki siasa za ruzuku.


HOJA YA TATU: KUKOMESHA UKABILA NA UKANDA NDANI YA CHAMA
Hoja hii haipendwi na mara zote ikiibuliwa wahafidhina wa Mwenyekiti Mbowe hujibu kwa ukali sana lakini kwa mwenendo wa uchaguzi wa ndani ya chama toka enzi za kina Chacha Wangwe, Zitto Kabwe na hata sasa Kamanda Lissu anagombea kuna watu mfano Henry Kilewo ambaye ni mwenyekiti wa BAVICHA Dar anatoa hoja za kumtetea Mhe.Mbowe abaki madarakani bila kujali maslahi ya chama. Mfano, hakuna kikao chochote cha BAVICHA mkoa wa Dar es salaam kilichoketi kumuidhinisha Mbowe lakini machawa hususani wanufaika wa mfumo wa Mbowe au wanaotoka ukanda ule wamekuwa wakali na wanamtetea bila kujali maisha baada ya uchaguzi.

Inashangaza, mtu anasema hajali hata Mbowe akiongoza milele lakini anajali kwanini CCM isiongoze milele. Ili kuondosha ombwe hili tunahitaji dira ya mwenyekiti mpya.


HOJA YA NNE: KUSHINDWA KUPAMBANA NA MFUMO WA CCM YA SASA
Wakati ambapo CCM wakiwapa vijana exposure na kuwalea katika misingi ya uongozi bora hali imekuwa tofauti kwa CHADEMA. Kati ya mwaka 2010 mpaka 2018 kulikuwa na harakati nyingi za chama hususani mpango wa CHADEMA NI MSINGI ambapo lenho kubwa lilikuwa kufika mashinani kuimarisha chama hususani vijijini na kuwavutia vijana wengi wa vyuo vikuu kupitia CHASO lakini mipango yote hiyo imebuma na msisimko wa vijana wengi kwa chama umeshuka vibaya mno hivyo chama kinahitaji mwenyekiti mpya atakayetengeneza safu ya utendaji bora na kutekeleza maazimio ya chama yatakayopelekea kuendana na mfumo wa siasa za sasa za CCM wanaoimarisha Chipukizi, mabaraza ya vijana, wazee na wanawake huku wakisajili wanachama wengi kwa mfumo wa kidigitali.


HOJA YA TANO: KUONGOZA CHAMA KWA KUZINGATIA ITIKADI BADALA YA BUSARA
Duniani kote hakuna chama cha upinzani kinachokamata dola kwasababu eti kiongozi mkuu ana busara kama kipo nitajieni.

Chama lazima kiende kwa itikadi na falsafa zitakazokaa katika fikra za wanachama na wananchi. Katika nyakati tofauti tumeona chama kikipoteza mwelekeo kwa kutokusimamia itikadi. Mfano chama kiliingizwa kwenye fungate la 4R pasipokugundua kwamba ni karata ya chama tawala hivyo kujikuta baadae kimeachwa solemba. Watu wanauawa, watu wanatekwa, rasilimali za nchi zinaibiwa, uhuru wa kujieleza unakandamizwa, uchaguzi unaingiliwa kinyume na utaratibu, uwakilishi wa wananchi unadumazwa.

SAUTI YA MWENYEKITI WA CHAMA HAITOSHI ANAHITAJIKA MWINGINE.
Tubishane kwa hoja sasa✅
MBOWE amelamba asali na sasa anataka kuchonga mzinga
 
Hamjambo Watanzania!

Ni dhahiri joto la uchaguzi ndani ya chama cha upinzani cha CHADEMA limepamba moto na katika ufuatiliaji wangu kwenye mitandao ya kijamii hususani Youtube,X na Instagram nimeona maoni ya wananchi na wanachama wengi wa kawaida wanamhitaji Lissu kuliko Mbowe. Kwa usanisi wangu nimegundua hoja 5 zinazowekwa mezani.


HOJA YA 1: KURUDISHA DEMOKRASIA NDANI YA CHAMA
Wakati ambapo jina la chama linatanabaishwa kuwa na msingi mkubwa wa demokrasia lakini kuna wingu zito la udikteta liliingizwa chamani na Mhe. Mbowe kwa kuondosha ukomo wa madaraka.

Hii inafanya kufifisha harakati za kupigania demokrasia hata nje ya chama. Watu wanahoji inakuwaje CHADEMA waliounga mkono rasimu ya katiba ya Warioba iliyosheheni vifungu vya ukomo wa madaraka kwa viongozi wa umma lakini ndani ya chama chenyewe hawataki ukomo wa madaraka?

Kwa mantiki hiyo Mhe.Lissu au mtu mwingine apewe fursa ya uenyekiti wa chama na kanuni ya ukomo wa madaraka kwa viongozi wa chama itizamwe upya.


HOJA YA PILI: MISIMAMO YA KISIASA
Kwa siku za hivi karibuni Mhe.Mbowe ameonekana kushuka morali ya kusimamia maslahi ya chama. Ukiacha tuzo aliyoandaa na kumpa Mama huku akitahadharishwa na Lissu lakini bado ameonekana kutokujenga taswira ya chama kinataka nini?

Awali tulidhani katiba mpya na tume huru ya uchaguzi lakini ukiacha kukosekana kwa nuru ya hivyo vyote kupatikana bado Mwenyekiti alikuwa mstari wa mbele kuhakikisha chama kinashiriki uchaguzi wa serikali za mitaa bila kuwepo kwa tume huru wala katiba bora.

Hii inaonyesha ombwe la uongozi hivyo CHADEMA inahitaji mtu atakayeonyesha njia ya aidha katiba mpya ipiganiwe ili ilete tume huru na uchaguzi huru na haki ili upinzani ujipenyeze kwa haki kukamata dola vinginevyo itakuwa kama kushiriki siasa za ruzuku.


HOJA YA TATU: KUKOMESHA UKABILA NA UKANDA NDANI YA CHAMA
Hoja hii haipendwi na mara zote ikiibuliwa wahafidhina wa Mwenyekiti Mbowe hujibu kwa ukali sana lakini kwa mwenendo wa uchaguzi wa ndani ya chama toka enzi za kina Chacha Wangwe, Zitto Kabwe na hata sasa Kamanda Lissu anagombea kuna watu mfano Henry Kilewo ambaye ni mwenyekiti wa BAVICHA Dar anatoa hoja za kumtetea Mhe.Mbowe abaki madarakani bila kujali maslahi ya chama. Mfano, hakuna kikao chochote cha BAVICHA mkoa wa Dar es salaam kilichoketi kumuidhinisha Mbowe lakini machawa hususani wanufaika wa mfumo wa Mbowe au wanaotoka ukanda ule wamekuwa wakali na wanamtetea bila kujali maisha baada ya uchaguzi.

Inashangaza, mtu anasema hajali hata Mbowe akiongoza milele lakini anajali kwanini CCM isiongoze milele. Ili kuondosha ombwe hili tunahitaji dira ya mwenyekiti mpya.


HOJA YA NNE: KUSHINDWA KUPAMBANA NA MFUMO WA CCM YA SASA
Wakati ambapo CCM wakiwapa vijana exposure na kuwalea katika misingi ya uongozi bora hali imekuwa tofauti kwa CHADEMA. Kati ya mwaka 2010 mpaka 2018 kulikuwa na harakati nyingi za chama hususani mpango wa CHADEMA NI MSINGI ambapo lenho kubwa lilikuwa kufika mashinani kuimarisha chama hususani vijijini na kuwavutia vijana wengi wa vyuo vikuu kupitia CHASO lakini mipango yote hiyo imebuma na msisimko wa vijana wengi kwa chama umeshuka vibaya mno hivyo chama kinahitaji mwenyekiti mpya atakayetengeneza safu ya utendaji bora na kutekeleza maazimio ya chama yatakayopelekea kuendana na mfumo wa siasa za sasa za CCM wanaoimarisha Chipukizi, mabaraza ya vijana, wazee na wanawake huku wakisajili wanachama wengi kwa mfumo wa kidigitali.


HOJA YA TANO: KUONGOZA CHAMA KWA KUZINGATIA ITIKADI BADALA YA BUSARA
Duniani kote hakuna chama cha upinzani kinachokamata dola kwasababu eti kiongozi mkuu ana busara kama kipo nitajieni.

Chama lazima kiende kwa itikadi na falsafa zitakazokaa katika fikra za wanachama na wananchi. Katika nyakati tofauti tumeona chama kikipoteza mwelekeo kwa kutokusimamia itikadi. Mfano chama kiliingizwa kwenye fungate la 4R pasipokugundua kwamba ni karata ya chama tawala hivyo kujikuta baadae kimeachwa solemba. Watu wanauawa, watu wanatekwa, rasilimali za nchi zinaibiwa, uhuru wa kujieleza unakandamizwa, uchaguzi unaingiliwa kinyume na utaratibu, uwakilishi wa wananchi unadumazwa.

SAUTI YA MWENYEKITI WA CHAMA HAITOSHI ANAHITAJIKA MWINGINE.
Tubishane kwa hoja sasa✅
MBOWE amelamba asali na sasa anataka kuchonga mzinga
 
Hamjambo Watanzania!

Ni dhahiri joto la uchaguzi ndani ya chama cha upinzani cha CHADEMA limepamba moto na katika ufuatiliaji wangu kwenye mitandao ya kijamii hususani Youtube,X na Instagram nimeona maoni ya wananchi na wanachama wengi wa kawaida wanamhitaji Lissu kuliko Mbowe. Kwa usanisi wangu nimegundua hoja 5 zinazowekwa mezani.


HOJA YA 1: KURUDISHA DEMOKRASIA NDANI YA CHAMA
Wakati ambapo jina la chama linatanabaishwa kuwa na msingi mkubwa wa demokrasia lakini kuna wingu zito la udikteta liliingizwa chamani na Mhe. Mbowe kwa kuondosha ukomo wa madaraka.

Hii inafanya kufifisha harakati za kupigania demokrasia hata nje ya chama. Watu wanahoji inakuwaje CHADEMA waliounga mkono rasimu ya katiba ya Warioba iliyosheheni vifungu vya ukomo wa madaraka kwa viongozi wa umma lakini ndani ya chama chenyewe hawataki ukomo wa madaraka?

Kwa mantiki hiyo Mhe.Lissu au mtu mwingine apewe fursa ya uenyekiti wa chama na kanuni ya ukomo wa madaraka kwa viongozi wa chama itizamwe upya.


HOJA YA PILI: MISIMAMO YA KISIASA
Kwa siku za hivi karibuni Mhe.Mbowe ameonekana kushuka morali ya kusimamia maslahi ya chama. Ukiacha tuzo aliyoandaa na kumpa Mama huku akitahadharishwa na Lissu lakini bado ameonekana kutokujenga taswira ya chama kinataka nini?

Awali tulidhani katiba mpya na tume huru ya uchaguzi lakini ukiacha kukosekana kwa nuru ya hivyo vyote kupatikana bado Mwenyekiti alikuwa mstari wa mbele kuhakikisha chama kinashiriki uchaguzi wa serikali za mitaa bila kuwepo kwa tume huru wala katiba bora.

Hii inaonyesha ombwe la uongozi hivyo CHADEMA inahitaji mtu atakayeonyesha njia ya aidha katiba mpya ipiganiwe ili ilete tume huru na uchaguzi huru na haki ili upinzani ujipenyeze kwa haki kukamata dola vinginevyo itakuwa kama kushiriki siasa za ruzuku.


HOJA YA TATU: KUKOMESHA UKABILA NA UKANDA NDANI YA CHAMA
Hoja hii haipendwi na mara zote ikiibuliwa wahafidhina wa Mwenyekiti Mbowe hujibu kwa ukali sana lakini kwa mwenendo wa uchaguzi wa ndani ya chama toka enzi za kina Chacha Wangwe, Zitto Kabwe na hata sasa Kamanda Lissu anagombea kuna watu mfano Henry Kilewo ambaye ni mwenyekiti wa BAVICHA Dar anatoa hoja za kumtetea Mhe.Mbowe abaki madarakani bila kujali maslahi ya chama. Mfano, hakuna kikao chochote cha BAVICHA mkoa wa Dar es salaam kilichoketi kumuidhinisha Mbowe lakini machawa hususani wanufaika wa mfumo wa Mbowe au wanaotoka ukanda ule wamekuwa wakali na wanamtetea bila kujali maisha baada ya uchaguzi.

Inashangaza, mtu anasema hajali hata Mbowe akiongoza milele lakini anajali kwanini CCM isiongoze milele. Ili kuondosha ombwe hili tunahitaji dira ya mwenyekiti mpya.


HOJA YA NNE: KUSHINDWA KUPAMBANA NA MFUMO WA CCM YA SASA
Wakati ambapo CCM wakiwapa vijana exposure na kuwalea katika misingi ya uongozi bora hali imekuwa tofauti kwa CHADEMA. Kati ya mwaka 2010 mpaka 2018 kulikuwa na harakati nyingi za chama hususani mpango wa CHADEMA NI MSINGI ambapo lenho kubwa lilikuwa kufika mashinani kuimarisha chama hususani vijijini na kuwavutia vijana wengi wa vyuo vikuu kupitia CHASO lakini mipango yote hiyo imebuma na msisimko wa vijana wengi kwa chama umeshuka vibaya mno hivyo chama kinahitaji mwenyekiti mpya atakayetengeneza safu ya utendaji bora na kutekeleza maazimio ya chama yatakayopelekea kuendana na mfumo wa siasa za sasa za CCM wanaoimarisha Chipukizi, mabaraza ya vijana, wazee na wanawake huku wakisajili wanachama wengi kwa mfumo wa kidigitali.


HOJA YA TANO: KUONGOZA CHAMA KWA KUZINGATIA ITIKADI BADALA YA BUSARA
Duniani kote hakuna chama cha upinzani kinachokamata dola kwasababu eti kiongozi mkuu ana busara kama kipo nitajieni.

Chama lazima kiende kwa itikadi na falsafa zitakazokaa katika fikra za wanachama na wananchi. Katika nyakati tofauti tumeona chama kikipoteza mwelekeo kwa kutokusimamia itikadi. Mfano chama kiliingizwa kwenye fungate la 4R pasipokugundua kwamba ni karata ya chama tawala hivyo kujikuta baadae kimeachwa solemba. Watu wanauawa, watu wanatekwa, rasilimali za nchi zinaibiwa, uhuru wa kujieleza unakandamizwa, uchaguzi unaingiliwa kinyume na utaratibu, uwakilishi wa wananchi unadumazwa.

SAUTI YA MWENYEKITI WA CHAMA HAITOSHI ANAHITAJIKA MWINGINE.
Tubishane kwa hoja sasa✅
Kwa sasa lissu ndo anayefaa kuwa mwenyekiti chadema, mbowe akae pembeni kwa maslahi ya chama
 
HOJA ZA MSINGI NA ZENYE MASHIKO, MBOWE WITH ALL DUE RESPECT, ASTAAFU KWA HESHIMA NA HAKUNA ATAYETWAA LEGACY YAKE, ila mabadiliko ni muhimu ampishe lissu alete mageuzi anayoyatamani, kimsingi lissu ni mfia imani, hawezi kukipoteza chama zaidi sana ata risk maisha yake kkitetea chama anachokiongoza.
NI LISSU TU ndio mwenye future ya chadema, mbowe akirudi itakua ni busness as ussual, kuwasindikiza ccm nchi ya ahadi.
nina hakika wana chadema wangekua ndo wapiga kura, lissu angeshinda asubuhi, bahati mbaya ni muundo flani wa viongozi ambao wote ni watiifu wa mbowe bila kujali uhalisia wa mambo (chawa).

ila mbowe akirud upinzani utakosa hoja kabisa.
Lissu asiposhinda uchaguzi, CCM wana njia nyeupe zaidi zaidi 2025.
 
Hamjambo Watanzania!

Ni dhahiri joto la uchaguzi ndani ya chama cha upinzani cha CHADEMA limepamba moto na katika ufuatiliaji wangu kwenye mitandao ya kijamii hususani Youtube,X na Instagram nimeona maoni ya wananchi na wanachama wengi wa kawaida wanamhitaji Lissu kuliko Mbowe. Kwa usanisi wangu nimegundua hoja 5 zinazowekwa mezani.


HOJA YA 1: KURUDISHA DEMOKRASIA NDANI YA CHAMA
Wakati ambapo jina la chama linatanabaishwa kuwa na msingi mkubwa wa demokrasia lakini kuna wingu zito la udikteta liliingizwa chamani na Mhe. Mbowe kwa kuondosha ukomo wa madaraka.

Hii inafanya kufifisha harakati za kupigania demokrasia hata nje ya chama. Watu wanahoji inakuwaje CHADEMA waliounga mkono rasimu ya katiba ya Warioba iliyosheheni vifungu vya ukomo wa madaraka kwa viongozi wa umma lakini ndani ya chama chenyewe hawataki ukomo wa madaraka?

Kwa mantiki hiyo Mhe.Lissu au mtu mwingine apewe fursa ya uenyekiti wa chama na kanuni ya ukomo wa madaraka kwa viongozi wa chama itizamwe upya.


HOJA YA PILI: MISIMAMO YA KISIASA
Kwa siku za hivi karibuni Mhe.Mbowe ameonekana kushuka morali ya kusimamia maslahi ya chama. Ukiacha tuzo aliyoandaa na kumpa Mama huku akitahadharishwa na Lissu lakini bado ameonekana kutokujenga taswira ya chama kinataka nini?

Awali tulidhani katiba mpya na tume huru ya uchaguzi lakini ukiacha kukosekana kwa nuru ya hivyo vyote kupatikana bado Mwenyekiti alikuwa mstari wa mbele kuhakikisha chama kinashiriki uchaguzi wa serikali za mitaa bila kuwepo kwa tume huru wala katiba bora.

Hii inaonyesha ombwe la uongozi hivyo CHADEMA inahitaji mtu atakayeonyesha njia ya aidha katiba mpya ipiganiwe ili ilete tume huru na uchaguzi huru na haki ili upinzani ujipenyeze kwa haki kukamata dola vinginevyo itakuwa kama kushiriki siasa za ruzuku.


HOJA YA TATU: KUKOMESHA UKABILA NA UKANDA NDANI YA CHAMA
Hoja hii haipendwi na mara zote ikiibuliwa wahafidhina wa Mwenyekiti Mbowe hujibu kwa ukali sana lakini kwa mwenendo wa uchaguzi wa ndani ya chama toka enzi za kina Chacha Wangwe, Zitto Kabwe na hata sasa Kamanda Lissu anagombea kuna watu mfano Henry Kilewo ambaye ni mwenyekiti wa BAVICHA Dar anatoa hoja za kumtetea Mhe.Mbowe abaki madarakani bila kujali maslahi ya chama. Mfano, hakuna kikao chochote cha BAVICHA mkoa wa Dar es salaam kilichoketi kumuidhinisha Mbowe lakini machawa hususani wanufaika wa mfumo wa Mbowe au wanaotoka ukanda ule wamekuwa wakali na wanamtetea bila kujali maisha baada ya uchaguzi.

Inashangaza, mtu anasema hajali hata Mbowe akiongoza milele lakini anajali kwanini CCM isiongoze milele. Ili kuondosha ombwe hili tunahitaji dira ya mwenyekiti mpya.


HOJA YA NNE: KUSHINDWA KUPAMBANA NA MFUMO WA CCM YA SASA
Wakati ambapo CCM wakiwapa vijana exposure na kuwalea katika misingi ya uongozi bora hali imekuwa tofauti kwa CHADEMA. Kati ya mwaka 2010 mpaka 2018 kulikuwa na harakati nyingi za chama hususani mpango wa CHADEMA NI MSINGI ambapo lenho kubwa lilikuwa kufika mashinani kuimarisha chama hususani vijijini na kuwavutia vijana wengi wa vyuo vikuu kupitia CHASO lakini mipango yote hiyo imebuma na msisimko wa vijana wengi kwa chama umeshuka vibaya mno hivyo chama kinahitaji mwenyekiti mpya atakayetengeneza safu ya utendaji bora na kutekeleza maazimio ya chama yatakayopelekea kuendana na mfumo wa siasa za sasa za CCM wanaoimarisha Chipukizi, mabaraza ya vijana, wazee na wanawake huku wakisajili wanachama wengi kwa mfumo wa kidigitali.


HOJA YA TANO: KUONGOZA CHAMA KWA KUZINGATIA ITIKADI BADALA YA BUSARA
Duniani kote hakuna chama cha upinzani kinachokamata dola kwasababu eti kiongozi mkuu ana busara kama kipo nitajieni.

Chama lazima kiende kwa itikadi na falsafa zitakazokaa katika fikra za wanachama na wananchi. Katika nyakati tofauti tumeona chama kikipoteza mwelekeo kwa kutokusimamia itikadi. Mfano chama kiliingizwa kwenye fungate la 4R pasipokugundua kwamba ni karata ya chama tawala hivyo kujikuta baadae kimeachwa solemba. Watu wanauawa, watu wanatekwa, rasilimali za nchi zinaibiwa, uhuru wa kujieleza unakandamizwa, uchaguzi unaingiliwa kinyume na utaratibu, uwakilishi wa wananchi unadumazwa.

SAUTI YA MWENYEKITI WA CHAMA HAITOSHI ANAHITAJIKA MWINGINE.
Tubishane kwa hoja sasa[emoji736]
Mbona ccm inaongozwa kwa itikadi za kidini husemi.

Wakati ule kiliongozwa na wasukuma hukuona au
 
Hamjambo Watanzania!

Ni dhahiri joto la uchaguzi ndani ya chama cha upinzani cha CHADEMA limepamba moto na katika ufuatiliaji wangu kwenye mitandao ya kijamii hususani Youtube,X na Instagram nimeona maoni ya wananchi na wanachama wengi wa kawaida wanamhitaji Lissu kuliko Mbowe. Kwa usanisi wangu nimegundua hoja 5 zinazowekwa mezani.


HOJA YA 1: KURUDISHA DEMOKRASIA NDANI YA CHAMA
Wakati ambapo jina la chama linatanabaishwa kuwa na msingi mkubwa wa demokrasia lakini kuna wingu zito la udikteta liliingizwa chamani na Mhe. Mbowe kwa kuondosha ukomo wa madaraka.

Hii inafanya kufifisha harakati za kupigania demokrasia hata nje ya chama. Watu wanahoji inakuwaje CHADEMA waliounga mkono rasimu ya katiba ya Warioba iliyosheheni vifungu vya ukomo wa madaraka kwa viongozi wa umma lakini ndani ya chama chenyewe hawataki ukomo wa madaraka?

Kwa mantiki hiyo Mhe.Lissu au mtu mwingine apewe fursa ya uenyekiti wa chama na kanuni ya ukomo wa madaraka kwa viongozi wa chama itizamwe upya.


HOJA YA PILI: MISIMAMO YA KISIASA
Kwa siku za hivi karibuni Mhe.Mbowe ameonekana kushuka morali ya kusimamia maslahi ya chama. Ukiacha tuzo aliyoandaa na kumpa Mama huku akitahadharishwa na Lissu lakini bado ameonekana kutokujenga taswira ya chama kinataka nini?

Awali tulidhani katiba mpya na tume huru ya uchaguzi lakini ukiacha kukosekana kwa nuru ya hivyo vyote kupatikana bado Mwenyekiti alikuwa mstari wa mbele kuhakikisha chama kinashiriki uchaguzi wa serikali za mitaa bila kuwepo kwa tume huru wala katiba bora.

Hii inaonyesha ombwe la uongozi hivyo CHADEMA inahitaji mtu atakayeonyesha njia ya aidha katiba mpya ipiganiwe ili ilete tume huru na uchaguzi huru na haki ili upinzani ujipenyeze kwa haki kukamata dola vinginevyo itakuwa kama kushiriki siasa za ruzuku.


HOJA YA TATU: KUKOMESHA UKABILA NA UKANDA NDANI YA CHAMA
Hoja hii haipendwi na mara zote ikiibuliwa wahafidhina wa Mwenyekiti Mbowe hujibu kwa ukali sana lakini kwa mwenendo wa uchaguzi wa ndani ya chama toka enzi za kina Chacha Wangwe, Zitto Kabwe na hata sasa Kamanda Lissu anagombea kuna watu mfano Henry Kilewo ambaye ni mwenyekiti wa BAVICHA Dar anatoa hoja za kumtetea Mhe.Mbowe abaki madarakani bila kujali maslahi ya chama. Mfano, hakuna kikao chochote cha BAVICHA mkoa wa Dar es salaam kilichoketi kumuidhinisha Mbowe lakini machawa hususani wanufaika wa mfumo wa Mbowe au wanaotoka ukanda ule wamekuwa wakali na wanamtetea bila kujali maisha baada ya uchaguzi.

Inashangaza, mtu anasema hajali hata Mbowe akiongoza milele lakini anajali kwanini CCM isiongoze milele. Ili kuondosha ombwe hili tunahitaji dira ya mwenyekiti mpya.


HOJA YA NNE: KUSHINDWA KUPAMBANA NA MFUMO WA CCM YA SASA
Wakati ambapo CCM wakiwapa vijana exposure na kuwalea katika misingi ya uongozi bora hali imekuwa tofauti kwa CHADEMA. Kati ya mwaka 2010 mpaka 2018 kulikuwa na harakati nyingi za chama hususani mpango wa CHADEMA NI MSINGI ambapo lenho kubwa lilikuwa kufika mashinani kuimarisha chama hususani vijijini na kuwavutia vijana wengi wa vyuo vikuu kupitia CHASO lakini mipango yote hiyo imebuma na msisimko wa vijana wengi kwa chama umeshuka vibaya mno hivyo chama kinahitaji mwenyekiti mpya atakayetengeneza safu ya utendaji bora na kutekeleza maazimio ya chama yatakayopelekea kuendana na mfumo wa siasa za sasa za CCM wanaoimarisha Chipukizi, mabaraza ya vijana, wazee na wanawake huku wakisajili wanachama wengi kwa mfumo wa kidigitali.


HOJA YA TANO: KUONGOZA CHAMA KWA KUZINGATIA ITIKADI BADALA YA BUSARA
Duniani kote hakuna chama cha upinzani kinachokamata dola kwasababu eti kiongozi mkuu ana busara kama kipo nitajieni.

Chama lazima kiende kwa itikadi na falsafa zitakazokaa katika fikra za wanachama na wananchi. Katika nyakati tofauti tumeona chama kikipoteza mwelekeo kwa kutokusimamia itikadi. Mfano chama kiliingizwa kwenye fungate la 4R pasipokugundua kwamba ni karata ya chama tawala hivyo kujikuta baadae kimeachwa solemba. Watu wanauawa, watu wanatekwa, rasilimali za nchi zinaibiwa, uhuru wa kujieleza unakandamizwa, uchaguzi unaingiliwa kinyume na utaratibu, uwakilishi wa wananchi unadumazwa.

SAUTI YA MWENYEKITI WA CHAMA HAITOSHI ANAHITAJIKA MWINGINE.
Tubishane kwa hoja sasa✅
Mh. Mbowe amejijengea heshima kubwa sana ndani ya CDM kutokana na historia yake ya utumishi wa kutukuka. Ni kiongozi aliyejitolea kwa hali na mali hadi kukifikisha chama hapa kilipofikia hivi sasa.

Ni dhahiri kuwa alikwishatoa ahadi ya kustaafu katika nafasi hii ya juu kabisa ya uongozi wa kitaifa. Natambua zilikuwapo sababu za msingi sana za kufanya hivyo(na zipo hai hadi muda huu) na zilizopelekea kutolewa kwa ahadi hii.

Siasa ni sayansi, kwa hiyo ni lazima ziendeshwe kwa misingi ya kisayansi. Natambua ya kwamba Mh. Mbowe bado hajaweka hadharani dhamira yake ya kugombea tena katika nafasi hiyo.

Ila kila mtu anajua ametoa ahadi ya hadi ifikapo siku ya Jumamosi ya tarehe 21-12-2024, ndipo atapoongea na wanahabari ili kuzungumzia jambo hilo. Kimahesabu kila mtu makini anaweza kutambua kwa nini tamko lilitolewa Jumanne ya tarehe 18-12-2024, na kwa nini ametenga siku 3 ili ifike siku ya tamko la uamuzi wake!?

Ni 2, 3 na kisha hatimaye ikaja 5 siyo!? Huu ni mpangilio unaopaswa kutambulika na wale wenye hekima tu. Hii ni hesabu ambayo ipo "very well calculated" Siku ya Jumamosi itawaacha wengi na mshangao mkuu. Kesho nayo ni siku.
 
Ambianeni hadi mchoke

Eti ya yeye anatumikia wazungu ni kweli na Kulipwa nao?
 
Hamjambo Watanzania!

Ni dhahiri joto la uchaguzi ndani ya chama cha upinzani cha CHADEMA limepamba moto na katika ufuatiliaji wangu kwenye mitandao ya kijamii hususani Youtube,X na Instagram nimeona maoni ya wananchi na wanachama wengi wa kawaida wanamhitaji Lissu kuliko Mbowe. Kwa usanisi wangu nimegundua hoja 5 zinazowekwa mezani.


HOJA YA 1: KURUDISHA DEMOKRASIA NDANI YA CHAMA
Wakati ambapo jina la chama linatanabaishwa kuwa na msingi mkubwa wa demokrasia lakini kuna wingu zito la udikteta liliingizwa chamani na Mhe. Mbowe kwa kuondosha ukomo wa madaraka.

Hii inafanya kufifisha harakati za kupigania demokrasia hata nje ya chama. Watu wanahoji inakuwaje CHADEMA waliounga mkono rasimu ya katiba ya Warioba iliyosheheni vifungu vya ukomo wa madaraka kwa viongozi wa umma lakini ndani ya chama chenyewe hawataki ukomo wa madaraka?

Kwa mantiki hiyo Mhe.Lissu au mtu mwingine apewe fursa ya uenyekiti wa chama na kanuni ya ukomo wa madaraka kwa viongozi wa chama itizamwe upya.


HOJA YA PILI: MISIMAMO YA KISIASA
Kwa siku za hivi karibuni Mhe.Mbowe ameonekana kushuka morali ya kusimamia maslahi ya chama. Ukiacha tuzo aliyoandaa na kumpa Mama huku akitahadharishwa na Lissu lakini bado ameonekana kutokujenga taswira ya chama kinataka nini?

Awali tulidhani katiba mpya na tume huru ya uchaguzi lakini ukiacha kukosekana kwa nuru ya hivyo vyote kupatikana bado Mwenyekiti alikuwa mstari wa mbele kuhakikisha chama kinashiriki uchaguzi wa serikali za mitaa bila kuwepo kwa tume huru wala katiba bora.

Hii inaonyesha ombwe la uongozi hivyo CHADEMA inahitaji mtu atakayeonyesha njia ya aidha katiba mpya ipiganiwe ili ilete tume huru na uchaguzi huru na haki ili upinzani ujipenyeze kwa haki kukamata dola vinginevyo itakuwa kama kushiriki siasa za ruzuku.


HOJA YA TATU: KUKOMESHA UKABILA NA UKANDA NDANI YA CHAMA
Hoja hii haipendwi na mara zote ikiibuliwa wahafidhina wa Mwenyekiti Mbowe hujibu kwa ukali sana lakini kwa mwenendo wa uchaguzi wa ndani ya chama toka enzi za kina Chacha Wangwe, Zitto Kabwe na hata sasa Kamanda Lissu anagombea kuna watu mfano Henry Kilewo ambaye ni mwenyekiti wa BAVICHA Dar anatoa hoja za kumtetea Mhe.Mbowe abaki madarakani bila kujali maslahi ya chama. Mfano, hakuna kikao chochote cha BAVICHA mkoa wa Dar es salaam kilichoketi kumuidhinisha Mbowe lakini machawa hususani wanufaika wa mfumo wa Mbowe au wanaotoka ukanda ule wamekuwa wakali na wanamtetea bila kujali maisha baada ya uchaguzi.

Inashangaza, mtu anasema hajali hata Mbowe akiongoza milele lakini anajali kwanini CCM isiongoze milele. Ili kuondosha ombwe hili tunahitaji dira ya mwenyekiti mpya.


HOJA YA NNE: KUSHINDWA KUPAMBANA NA MFUMO WA CCM YA SASA
Wakati ambapo CCM wakiwapa vijana exposure na kuwalea katika misingi ya uongozi bora hali imekuwa tofauti kwa CHADEMA. Kati ya mwaka 2010 mpaka 2018 kulikuwa na harakati nyingi za chama hususani mpango wa CHADEMA NI MSINGI ambapo lenho kubwa lilikuwa kufika mashinani kuimarisha chama hususani vijijini na kuwavutia vijana wengi wa vyuo vikuu kupitia CHASO lakini mipango yote hiyo imebuma na msisimko wa vijana wengi kwa chama umeshuka vibaya mno hivyo chama kinahitaji mwenyekiti mpya atakayetengeneza safu ya utendaji bora na kutekeleza maazimio ya chama yatakayopelekea kuendana na mfumo wa siasa za sasa za CCM wanaoimarisha Chipukizi, mabaraza ya vijana, wazee na wanawake huku wakisajili wanachama wengi kwa mfumo wa kidigitali.


HOJA YA TANO: KUONGOZA CHAMA KWA KUZINGATIA ITIKADI BADALA YA BUSARA
Duniani kote hakuna chama cha upinzani kinachokamata dola kwasababu eti kiongozi mkuu ana busara kama kipo nitajieni.

Chama lazima kiende kwa itikadi na falsafa zitakazokaa katika fikra za wanachama na wananchi. Katika nyakati tofauti tumeona chama kikipoteza mwelekeo kwa kutokusimamia itikadi. Mfano chama kiliingizwa kwenye fungate la 4R pasipokugundua kwamba ni karata ya chama tawala hivyo kujikuta baadae kimeachwa solemba. Watu wanauawa, watu wanatekwa, rasilimali za nchi zinaibiwa, uhuru wa kujieleza unakandamizwa, uchaguzi unaingiliwa kinyume na utaratibu, uwakilishi wa wananchi unadumazwa.

SAUTI YA MWENYEKITI WA CHAMA HAITOSHI ANAHITAJIKA MWINGINE.
Tubishane kwa hoja sasa✅
You nailed it
 
Kulambishwa lambishwa Asali Mtu mzima haipendezi, hiyo ni Hadaa ya huyo Mama wa Kiunguja.

Bora Lissu ampelekeshe huyo Mama anayesema Katiba yetu ya Tanzania "ni Kijitabu tu" tuwe kila siku tuko mabarabarani.
🤣 🤣 🤣
 
Mh. Mbowe amejijengea heshima kubwa sana ndani ya CDM kutokana na historia yake ya utumishi wa kutukuka. Ni kiongozi aliyejitolea kwa hali na mali hadi kukifikisha chama hapa kilipofikia hivi sasa.

Ni dhahiri kuwa alikwishatoa ahadi ya kustaafu katika nafasi hii ya juu kabisa ya uongozi wa kitaifa. Natambua zilikuwapo sababu za msingi sana zilizokuwapo (na zipo hadi muda huu) na zilizopelekea kutolewa kwa ahadi hii.

Siasa ni sayansi, kwa hiyo ni lazima ziendeshwe kwa misingi ya kisayansi. Natambua ya kwamba Mh. Mbowe bado hajaweka hadharani dhamira yake ya kugombea tena katika nafasi hiyo.

Ila kila mtu anajua ametoa ahadi ya hadi ifikapo siku ya Jumamosi ya tarehe 21-12-2024, ndipo atapoongea na wanahabari ili kuzungumzia jambo hilo. Kimahesabu kila mtu makini anaweza kutambua kwa nini tamko lilitolewa Jumanne ya tarehe 18-12-2024, na kwa nini ametenga siku 3 ili ifike siku ya tamko la uamuzi wake!?

Ni 2, 3 na kisha hatimaye ikaja 5 siyo!? Huu ni mpangilio unaopaswa kutambulika na wale wenye hekima tu. Hii ni hesabu ambayo ipo "very well calculated" Siku ya Jumamosi itawaacha wengi na mshangao mkuu. Kesho nayo ni siku.
🙋‍♂️✍️🎯👏🆗
 
Ni dhahiri kuwa alikwishatoa ahadi ya kustaafu katika nafasi hii ya juu kabisa ya uongozi wa kitaifa. Natambua zilikuwapo sababu za msingi sana zilizokuwapo (na zipo hadi muda huu) na zilizopelekea kutolewa kwa ahadi hii
 
Back
Top Bottom