Sababu tatu kwanini Wachungaji wengi wanasumbuliwa na Zinaa

Sababu tatu kwanini Wachungaji wengi wanasumbuliwa na Zinaa

Ndo mnasema Mapadre waoe mbona sasa wachungaji wameoa na bado wanakula kondoo Kwa kisingizio Cha kuangushwa na shetani.
Umezamishwa kwenye kisima eti ubatizo wa Maji Mengi na Umeokoka Shetani anakushindaje
Hahaha
 
Mtu yeyeto mfano mwanafunzi wa uchawi akimuangusha mchungaji urukishwa madaraja ya vyeo vya kichawi huku akipewa nguvu zaidi na lusifa, pia ni Kazi ambayo ni hatari sana kwa maajent uogopa maana ukikosea tu au ukikutana na mchungaji mwenye nguvu umepigwa na kuzimu inakua imepata hasara, adhabu yake ni lazima uuliwe au ulete kafara ya ndugu zako kuzimu. Ni hatari sana kuwa na ndugu mchawi anapangiwa wa kumtoa kafara apende asipende, mchawi hana huruma utenda maagizo. Mchawi ni mtumwa ni lzm afanye vile alivyoagizwa na shetani akikosea au kwenda kinyume adhabu zinamuhusu shetani hana huruma kabisa na mwanadamu sijui watu wanafuraha gani kuwa wachawi, maisha magumu sana ya kifungo kitumwa.
 
Mchungaji akianguka yamfaa kumuombea mkisimama vizuri kiroho mtaona mchezo mzima, na mara nyingi ajent akishamuangusha mchungaji uhama kanisa. Anaweza akasimamishwa kuhudumu kwa mda akifanyiwa matengenezo kama ni shambulio atarudi kuwa SAwa na atakuwa imara zaidi.
 
Ndo mnasema Mapadre waoe mbona sasa wachungaji wameoa na bado wanakula kondoo Kwa kisingizio Cha kuangushwa na shetani.
Umezamishwa kwenye kisima eti ubatizo wa Maji Mengi na Umeokoka Shetani anakushindaje
Hah
 
Siyo mchungaji hata sisi tuombeane....binafsi ukifunga na kuzama kwenye maombi basi utakuwa ni mwendo wa kutongozwa tuuuuu!! Na wadada pisi kali....za benki kuuu..bandari....state house nk.....wanakuja na ofa kibao..yaani me tuna majaribiwa u sana...lkn mie niseme ukweli nakomaaga tu....ila siku moja nilianguka kwa mke wa waziri flani hivi jilani yangu....alikosana na Mumewe....akaja bana si nikafanya kweli...ila duuuu!! Ngoja nije...
 
Back
Top Bottom