Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,556
Wewe ndio umemjua Rayvan akiwa wcb , sisi tumemjua kumjua kuanzia akiwa TipTop connection ... Na Rayvan ametolewa na shindano la super nyota la clouds fm ndio akachukuliwa na TipTop ...
Nenda kasikilize wimbo wa Madee "Pombe Yangu " yule anaeimba "Sio Mimi eeeeh " ni Rayvan
Sent using Jamii Forums mobile app
kwanza unapomzungumzia Harmonize kumbuka unataja moja kati ya wasanii wakubwa East Africa kwa huyo tu inatosha kabisa haitakiwi umjue mwingineUkimuondoa harmonize na Lavalava Ni msanii gani Mwingine diamond kamtoa from the the ground
Sent using Jamii Forums mobile app
na harmonize utasema umeanza kumsikia BSSWewe ndio umemjua Rayvan akiwa wcb , sisi tumemjua kumjua kuanzia akiwa TipTop connection ... Na Rayvan ametolewa na shindano la super nyota la clouds fm ndio akachukuliwa na TipTop ...
Nenda kasikilize wimbo wa Madee "Pombe Yangu " yule anaeimba "Sio Mimi eeeeh " ni Rayvan
Sent using Jamii Forums mobile app
Rayvanny kapanda fiesta kabla ya kwenda WCBRayvanny.
Mjifunze kupokea criticism positivelySawa babu talent tumekuskia
Sent from my Infinix X650B using Tapatalk
Hilo jamaa lina hasira za kuliwa hela za forex. Sasa lina vent kwa kum diss DiamondWewe unaona hao uliowataja hapo,amefanya kazi ndogo,embu tuambie msanii mwingine aliyemtoa msanii kutoka chini na kumfikisha ngazi ya harmonize kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ni kwanini baadhi ya watu huwa hawapendi kufurahia mafanikio ya wengine ?Nandy kakaa sana bench WCB, hata ile sauti ya kike ya "Wasafi record" alikua yeye. Badae alichoka kusugua benchi akajikataa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukimuondoa harmonize na Lavalava Ni msanii gani Mwingine diamond kamtoa from the the ground
Sent using Jamii Forums mobile app
Rejea mfano wa Zuchu, Nandy alikosa uvumilivu wa kusubiria bench.ilikuwaje sasa,mbona tumeona kwamba nandy ni bora hata baada ya kuachwa na wcb!!!ni vigezo gani wcb wanaangalia uzuri ama kujua kucheza!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
atleast alifanikiwa kufikia ndoto zake,huwenda angekuwa kakaa bench mpaka leo hii.Rejea mfano wa Zuchu, Nandy alikosa uvumilivu wa kusubiria bench.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nandy kakaa sana bench WCB, hata ile sauti ya kike ya "Wasafi record" alikua yeye. Badae alichoka kusugua benchi akajikataa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ushabiki maandazi, unataka kusema hata kama rayvan katoka supernyota mbeya alikuwa na nguvu gan? Ya kusema diamond hajambrand? Mimi rayvan amekuwa mshikaji wangu from the scratch hata wewe hujamjua huko Tip top amefanya nyimbo kama Shikwambe huku huku mbeya!Wewe ndio umemjua Rayvan akiwa wcb , sisi tumemjua kumjua kuanzia akiwa TipTop connection ... Na Rayvan ametolewa na shindano la super nyota la clouds fm ndio akachukuliwa na TipTop ...
Nenda kasikilize wimbo wa Madee "Pombe Yangu " yule anaeimba "Sio Mimi eeeeh " ni Rayvan
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona umemmaliza bila hata kutumia Mk47 akikujibu nitagPunguza jazba mkuu, dunia yote inajua Rayvanny wimbo wake wa kwanza kumtambulisha mainstream ni Kwetu akiwa chini ya label ya WCB. Pengine bila Wasafi usingekuja kumsikia kabisa Ray, watu kutolewa na label fulani sio kwamba hawakuwa na mapito yao.
Wasanii wote wanaotoka wanamapito yao, hivi unajua kwamba Nandy alikuwa WCB kabla ajachukuliwa na Ruge? Harmonize alikuwa na album kabisa kwa Mazuu records kabla ajachukuliwa WCB.
Punguza chuki, appreciate.
Hata yeye mwenyewe nandy amewahi kusema alipitia pia WCBHahahaha poleee Nandy kapita kwingi mpaka kwa Dully na Nandy amekaa sana WCB akachoka kuskilizia. Tatizo mnafikiri hizi blogs zinawapa kila habari.
acha ujuaji unapewa facts alafu wewe unabwabwaja.