Wivu.com
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wivu.com
Harmonize aliokotwa na diamond hajui hata kuimba rayvanny mwenyewe hua anakiri kabla ya kusainiwa wasafi alikaa zaidi ya miaka miwiliUkimuondoa harmonize na Lavalava Ni msanii gani Mwingine diamond kamtoa from the the ground
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa manager alikua seven mosha ila huyu big dada wa saivi ni utopolo mtupuDiamond ana managers ila Kiba ana supporters wale sio managers. Tofauti yao ipo hapo.
Hawezi kukujibu akiona ni factCc Spartacus the mnyama mkali, Robidinyo
Ni mwendo wa fact tuPunguza jazba mkuu, dunia yote inajua Rayvanny wimbo wake wa kwanza kumtambulisha mainstream ni Kwetu akiwa chini ya label ya WCB. Pengine bila Wasafi usingekuja kumsikia kabisa Ray, watu kutolewa na label fulani sio kwamba hawakuwa na mapito yao.
Wasanii wote wanaotoka wanamapito yao, hivi unajua kwamba Nandy alikuwa WCB kabla ajachukuliwa na Ruge? Harmonize alikuwa na album kabisa kwa Mazuu records kabla ajachukuliwa WCB.
Punguza chuki, appreciate.
Subiraa piaailikuwaje sasa,mbona tumeona kwamba nandy ni bora hata baada ya kuachwa na wcb!!!ni vigezo gani wcb wanaangalia uzuri ama kujua kucheza!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio sisi na unajua hiloHuwa inabadilikaga kwenu tu chaupele?..kwamba nyie ndo ma game changers yani?..
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpasheeeee huyooooh na akome kuweweseka na mahaba kwa WCB yake, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe ndio umemjua Rayvan akiwa wcb , sisi tumemjua kumjua kuanzia akiwa TipTop connection ... Na Rayvan ametolewa na shindano la super nyota la clouds fm ndio akachukuliwa na TipTop ...
Nenda kasikilize wimbo wa Madee "Pombe Yangu " yule anaeimba "Sio Mimi eeeeh " ni Rayvan
Sent using Jamii Forums mobile app
Jaman weeee unajua kumpa mtu za uso lol, Hadi linamshuka hahahaha waleleeeeeeeeeeeehAcha Pumba wewe labda Nandy wa uko Kwenu Nanjilinji..
Safari ya mziki kwa Nandy Ilianza pale alipopata Deal la kwenda kushiriki mashindano ya "Tecno Own the stage, tena alikua Chuo (CBE)
akiwa kwenye kipindi cha mithiani aliamua kufanya maamuzi magumu kuacha chuo na kwenda kushiriki mashindano hayo ya Tecno hali iliyomkosanisha na familia yake kuacha chuo kisa mziki.
Baada ya kurudi Tanzania aliitwa na Ruge ofisini kwake na kumwambia aje na CD za nyimbo Zake anazohisi ni kali
Baada ya Ruge kusikilizia alizivunja CD na kuzitupa kwenye dustbin na kumuuliza Nandy kama yupo tayari kuanza upya, Nandy akasema Yes Boss
Baada ya hapo Akaingizwa THT
Ebu twambie huyo Nandy aliyekua WCB ni yupi na Mwaka Gani?
Hapa uliongea kama nabiiHuu ushabiki maandazi, unataka kusema hata kama rayvan katoka supernyota mbeya alikuwa na nguvu gan? Ya kusema diamond hajambrand? Mimi rayvan amekuwa mshikaji wangu from the scratch hata wewe hujamjua huko Tip top amefanya nyimbo kama Shikwambe huku huku mbeya!
Na ameenda Tip Top amekaa miaka si chini ya 4 lakini kwao hatumi hata jero hata nguo za kuvaa hana alikuwa anapewanguo na akina Tundaman Used anavaa Instagram yake followers walikuwa 300 na alipoingia WCB ndio katusua unataka kusema mond hajambrand!! Tatzo wabongo mna uchawi yaani hamtaki kuamini kuwa diamond ana uwezo mkubwa kuliko wasanii wote mnaowaweka nyie