Sababu ya Diamond kuwazidi wasanii wenzake kwenye kutoa vipaji vipya

Sababu ya Diamond kuwazidi wasanii wenzake kwenye kutoa vipaji vipya

Punguza jazba mkuu, dunia yote inajua Rayvanny wimbo wake wa kwanza kumtambulisha mainstream ni Kwetu akiwa chini ya label ya WCB. Pengine bila Wasafi usingekuja kumsikia kabisa Ray, watu kutolewa na label fulani sio kwamba hawakuwa na mapito yao.
Wasanii wote wanaotoka wanamapito yao, hivi unajua kwamba Nandy alikuwa WCB kabla ajachukuliwa na Ruge? Harmonize alikuwa na album kabisa kwa Mazuu records kabla ajachukuliwa WCB.

Punguza chuki, appreciate.
Ni mwendo wa fact tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ndio umemjua Rayvan akiwa wcb , sisi tumemjua kumjua kuanzia akiwa TipTop connection ... Na Rayvan ametolewa na shindano la super nyota la clouds fm ndio akachukuliwa na TipTop ...


Nenda kasikilize wimbo wa Madee "Pombe Yangu " yule anaeimba "Sio Mimi eeeeh " ni Rayvan

Sent using Jamii Forums mobile app
Mpasheeeee huyooooh na akome kuweweseka na mahaba kwa WCB yake, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha Pumba wewe labda Nandy wa uko Kwenu Nanjilinji..


Safari ya mziki kwa Nandy Ilianza pale alipopata Deal la kwenda kushiriki mashindano ya "Tecno Own the stage, tena alikua Chuo (CBE)
akiwa kwenye kipindi cha mithiani aliamua kufanya maamuzi magumu kuacha chuo na kwenda kushiriki mashindano hayo ya Tecno hali iliyomkosanisha na familia yake kuacha chuo kisa mziki.

Baada ya kurudi Tanzania aliitwa na Ruge ofisini kwake na kumwambia aje na CD za nyimbo Zake anazohisi ni kali


Baada ya Ruge kusikilizia alizivunja CD na kuzitupa kwenye dustbin na kumuuliza Nandy kama yupo tayari kuanza upya, Nandy akasema Yes Boss

Baada ya hapo Akaingizwa THT

Ebu twambie huyo Nandy aliyekua WCB ni yupi na Mwaka Gani?
Jaman weeee unajua kumpa mtu za uso lol, Hadi linamshuka hahahaha waleleeeeeeeeeeeeh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ushabiki maandazi, unataka kusema hata kama rayvan katoka supernyota mbeya alikuwa na nguvu gan? Ya kusema diamond hajambrand? Mimi rayvan amekuwa mshikaji wangu from the scratch hata wewe hujamjua huko Tip top amefanya nyimbo kama Shikwambe huku huku mbeya!

Na ameenda Tip Top amekaa miaka si chini ya 4 lakini kwao hatumi hata jero hata nguo za kuvaa hana alikuwa anapewanguo na akina Tundaman Used anavaa Instagram yake followers walikuwa 300 na alipoingia WCB ndio katusua unataka kusema mond hajambrand!! Tatzo wabongo mna uchawi yaani hamtaki kuamini kuwa diamond ana uwezo mkubwa kuliko wasanii wote mnaowaweka nyie
Hapa uliongea kama nabii
 
Back
Top Bottom