Sababu ya Dube kuomba kuondoka Azam

Sababu ya Dube kuomba kuondoka Azam

Dube analeta utoto, kama unajua una mkataba na timu yako huwezi kukurupuka tu kutaka kuondoka, hizo ni bangi.

Hata kama anatakiwa na hiyo timu ya wafuga majini, awaambie viongozi wa wafuga majini waende kuongea na Azam wamalizane..

Hiki walichofanya kwa Dube ni kama wamemtuma kuvuruga mambo makusudi ili wapate mlango wa kuingilia..

Ili waanze kufanya mazungumzo na Azam, kwa kigezo mchezaji hana raha hapo alipo, kumbe wao ndio walimuagiza akose hiyo raha.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Wewe choqo hukuwahi kuropoka hapa juu ya aliyoyafanya Fei yanga?. Au ndio ushakulia msumari?.
 
Wewe choqo hukuwahi kuropoka hapa juu ya aliyoyafanya Fei yanga?. Au ndio ushakulia msumari?.
Fei toto angewapiga tu kule CAS, bahati yenu Samia aliwaondolea aibu..

Utopolo masuala ya mikataba ya wachezaji yanawapiga chenga sana, nyie ni mbumbumbu huu ndio ukweli mtukane, mcheke, mnune au mlie.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Kipindi Cha yanga Fei mlikuwa walopokaji wazuri kuwa Fei ana haki! Vipi Dube hana haki yakuomba mkataba wake kusitishwa?.
Ana haki Dube na Azam wana haki ya kutoa dau sio siasa. Sema unataka kiasi gani kulingana na mkataba mtu ajipime. Hii ni biashara.
 
Fei toto angewapiga tu kule CAS, bahati yenu Samia aliwaondolea aibu..

Utopolo masuala ya mikataba ya wachezaji yanawapiga chenga sana, nyie ni mbumbumbu huu ndio ukweli mtukane, mcheke, mnune au mlie.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Dube aombe kuvunja mkataba mushoqer ya Mo mnalialia ..
 
Labda akienda Yanga watantengeneza kwa mtalaamu ili kuondoa misumari, ila kwa Simba haitamsaidia sana
 
Labda akienda Yanga watantengeneza kwa mtalaamu ili kuondoa misumari, ila kwa Simba haitamsaidia sana
Yeah misumari dawa yake dini. Sasa kule kwa makolo wale vibwengo si watamuua kabisa.
Maana vijana wote wanachechemea.
 
Dube analeta utoto, kama unajua una mkataba na timu yako huwezi kukurupuka tu kutaka kuondoka, hizo ni bangi.

Hata kama anatakiwa na hiyo timu ya wafuga majini, awaambie viongozi wa wafuga majini waende kuongea na Azam wamalizane..

Hiki walichofanya kwa Dube ni kama wamemtuma kuvuruga mambo makusudi ili wapate mlango wa kuingilia..

Ili waanze kufanya mazungumzo na Azam, kwa kigezo mchezaji hana raha hapo alipo, kumbe wao ndio walimuagiza akose hiyo raha.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Unaweza kufanya Mambo ya ajabu na usisingizie bangi
 
Back
Top Bottom