Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Nadhani pengine bado hajakutana na timu ya madaktari wazuri zaidi. Penginehuyu ni jipu kwa majeraha ni kubeti tu ila mgonjwa huyu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nadhani pengine bado hajakutana na timu ya madaktari wazuri zaidi. Penginehuyu ni jipu kwa majeraha ni kubeti tu ila mgonjwa huyu.
Wananchi walivyosema hivyo mliwaona wanambania bi Fetty.Na ndivyo inavyopaswa kuwa. Dau hili hapa, amua mwenyewe.
Wewe choqo hukuwahi kuropoka hapa juu ya aliyoyafanya Fei yanga?. Au ndio ushakulia msumari?.Dube analeta utoto, kama unajua una mkataba na timu yako huwezi kukurupuka tu kutaka kuondoka, hizo ni bangi.
Hata kama anatakiwa na hiyo timu ya wafuga majini, awaambie viongozi wa wafuga majini waende kuongea na Azam wamalizane..
Hiki walichofanya kwa Dube ni kama wamemtuma kuvuruga mambo makusudi ili wapate mlango wa kuingilia..
Ili waanze kufanya mazungumzo na Azam, kwa kigezo mchezaji hana raha hapo alipo, kumbe wao ndio walimuagiza akose hiyo raha.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Kipindi Cha yanga Fei mlikuwa walopokaji wazuri kuwa Fei ana haki! Vipi Dube hana haki yakuomba mkataba wake kusitishwa?.Na ndivyo inavyopaswa kuwa. Dau hili hapa, amua mwenyewe.
Wananchi walitoa dau?Wananchi walivyosema hivyo mliwaona wanambania bi Fetty.
Fei toto angewapiga tu kule CAS, bahati yenu Samia aliwaondolea aibu..Wewe choqo hukuwahi kuropoka hapa juu ya aliyoyafanya Fei yanga?. Au ndio ushakulia msumari?.
Ana haki Dube na Azam wana haki ya kutoa dau sio siasa. Sema unataka kiasi gani kulingana na mkataba mtu ajipime. Hii ni biashara.Kipindi Cha yanga Fei mlikuwa walopokaji wazuri kuwa Fei ana haki! Vipi Dube hana haki yakuomba mkataba wake kusitishwa?.
Dube aombe kuvunja mkataba mushoqer ya Mo mnalialia ..Fei toto angewapiga tu kule CAS, bahati yenu Samia aliwaondolea aibu..
Utopolo masuala ya mikataba ya wachezaji yanawapiga chenga sana, nyie ni mbumbumbu huu ndio ukweli mtukane, mcheke, mnune au mlie.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Aisee, huwa pia anakuja kwenye mechi za mnyamaWananchi tumekaa nae sana VIP B Lupaso huwa hakosi mechi zetu akiwa free.
Sijui na sidhani.Wananchi walitoa dau?
Simba2 na Yanga0 tulikuwa naye upande wetu.Aisee, huwa pia anakuja kwenye mechi za mnyama
Yeah misumari dawa yake dini. Sasa kule kwa makolo wale vibwengo si watamuua kabisa.Labda akienda Yanga watantengeneza kwa mtalaamu ili kuondoa misumari, ila kwa Simba haitamsaidia sana
Unaweza kufanya Mambo ya ajabu na usisingizie bangiDube analeta utoto, kama unajua una mkataba na timu yako huwezi kukurupuka tu kutaka kuondoka, hizo ni bangi.
Hata kama anatakiwa na hiyo timu ya wafuga majini, awaambie viongozi wa wafuga majini waende kuongea na Azam wamalizane..
Hiki walichofanya kwa Dube ni kama wamemtuma kuvuruga mambo makusudi ili wapate mlango wa kuingilia..
Ili waanze kufanya mazungumzo na Azam, kwa kigezo mchezaji hana raha hapo alipo, kumbe wao ndio walimuagiza akose hiyo raha.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app