Sababu ya Senzo kuacha kazi Simba S. C. hizi hapa

Mkuu ulisemaje tena vile
 
Simba tulijichimbia kaburi wenyewe..

Simu hatukurudisha ...Ona Sasa mtu anafidiwa timu nono.. ,,[emoji1787]

Tafadhali, Mwenye hizo simu azilete ..haraka!

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Ongeza sauti ongeza sauti kuna watu kule nyuma hawajasikia vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…