Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,078
Siyo kweli.Japo haisemwi sana lakini CCM inejibalance sana kidini. CUF kilikuwa na nguvu lakini kilionekana kama cha waislamu. CDM kilikuwa na nguvu lakini kilionekana cha wakristo. ACT kinaonekana kama cha waislamu. Lakini ukikiangali CCM ni ngumu kukipa sura ya kidini. Wapinzani wakiweza hapo watatoboa.
Nyingine ni ujinga na uoga wawananchi wa kutojua haki zaoCCM ni chama cha ukombozi, na vyama vingi vilivyopigania Uhuru wa nchi zao havipo tena madarakani lakini CCM bado ipo tu.
Yafuatayo ni baadhi ya michango iliyosababisha CCM iendelee kubaki madarakani:
Kwani unailinganisha serikali ya CCM na serikali gani nyingine iliyowahi kuwepo Tanzania? unaposema haina ubaguzi mkubwa kwa wananchi, ni serikali gani imewahi kuwa na ubaguza kwa wananchi Tanzania?
Hapa ndo uwaga ninajisemea,ikiwa ni lazima kuwa na chama ni bora tuu niwe CCM,Shida ya vyama vya upinzani ni moja tu, viongozi na wananchi wamejitenga kama maji na mafuta. Hii ni kutokana na viongozi wao kuonekana kama wanaweza kurudi CCM wakati wowote kama vile Lowassa, Slaa, Sumaye, na wengine weeengi walioenda kuunga juhudi viongozi wa ccm. Viongozi na wabunge wa upinzani wanajilimbikizia mali wao wenyewe. Hii ndio maana hata viongozi wakikamatwa na kuwekwa ndani hakuna mwananchi wa kawaida anaejali, maana hawagusi maisha yao ya kila siku kwa lolote kwa chochote. Luzuku haijawahi kuchimba hata kisima kimoja cha maji cha mfano kwenye kijiji/mtaa mmoja, wanakula tu na kumtunzia Mtei na familia yake.
Vyama vyenye asili ya kisosholist, kuanguka ngumu sana, cheki cuba, china venezuela etc,, sababu viko kwa ajili ya watu,,Haianguki kwa kuwa ni chama makini chama cha mioyo ya watu kisicho na longolongo
Nitakusema kwa Nabii Lema, akuombee urudi mbinguni mkuu.. [emoji23]Japo haisemwi sana lakini CCM inejibalance sana kidini. CUF kilikuwa na nguvu lakini kilionekana kama cha waislamu. CDM kilikuwa na nguvu lakini kilionekana cha wakristo. ACT kinaonekana kama cha waislamu. Lakini ukikiangali CCM ni ngumu kukipa sura ya kidini. Wapinzani wakiweza hapo watatoboa.
Katibu Mkuu wa Chama alishasema chama kinategemea dola kubaki madarakani.
Hii sababu ya uholela inaibeba CCM kwa asilimia 50.2. Kuruhusu uholela kwa wananchi: CCM na serikali wake inaruhusu watu wajifanyie mambo yao bila bughuza hata bila kufuata utaratibu, kanuni na sheria. Imeruhusu watu kulima, kufuga, kuvua, kuchimba, kuwinda, kujenga, kuua, kununua, kulipa, kuuza na kununua na kuendesha magari kiholela. Waliiweka serikali na sheria mbali na shughuli za wananchi wake, hivyo watu hawaipati harufu ya uwepo wa serikali na sheria kwenye maisha yao, hivyo hawaoni ubaya wa CCM na uzuri wa vyama vya upinzani. Siku CCM itakapoanza kuwaambia watu wafuate utaratibu na sheria kwenye mambo yao yote itaondoka madarakani siku hiyohiyo.
Ruzuku ya CCM ni zaidi ya 4B per month inafanya kitu gani?Serikali Yao ya CCM inachimba kwa niaba Yao.
Hapa ndo uwaga ninajisemea,ikiwa ni lazima kuwa na chama ni bora tuu niwe CCM,
hata Mbowe mwenyewe ni CCM.
Mkuu mimi sijui..ila shida iko hivi,Sasa kwa nini hutumika nguvu Za vyombo vya dola kulazimisha ushindi badala ya kuwaachia Hao wananchi wakaichagua hiyo CCM wanayoipenda?
Yuko Waziri mkuu alishasemaga hadharani kuwaambia watu na wafanyabiashara kuwa kama wanataka biashara na mambo yao yaende sawa bila kubughuziwa waichague CCM. Kauli ilimaanisha kuwa wakwepa kodi, wauza dawa za kulevya, wafanyabiashara bila leseni, wawindaji, wavuvi na wachimbaji haramu hawatabughuziwa kama wataichangia na kuichagua CCM. Hakuna mtu asiyetaka Uhuru kwenye mambo yake. Uholela ndiyo kete muhimu kwa CCM kuendelea kubaki, na hata Rais Maguli alilijuwa hilo, ndio maana alikuwa akisisitiza machinga wasibughuziwe hata kama wanaharibu mazingira, hawalipi kodi, wanazuia njia za wenzao wanaokwenda kwa miguu; na wafugaji waachwe wazurure na makundi ya mifugo yao kila pahala, wachimbaji waachwe wafukue mashimo kila pahala, mama ntilie waachwe wauze hata barabarani, masokoni na popote pale; kila nyumba ina flemu za maduka na kila duka kunauzwa chochote hata pombe, sumu za kuulia wadudu nk.; kila mtaa una glosary ya kuuza pombe, madaladala yanajaza abiria kupita kiasi na kusimama popote kubeba na kushusha abiria.Hii sababu ya uholela inaibeba CCM kwa asilimia 50.
Kuweka mifumo dunifu ya elimu ni sababu ya muhimu pia.
Hata huko kuiba kura (kama kupo) ni jambo la muda tu, iko siku wananchi hawatakubali hata kura yao moja iibiwe na yeyote. Sasa hivi hawajali wizi wa kura kwakuwa bado kuna uholela katika maisha yao, uwepo wa ardhi ya wazi ya kupumulia na vyama vya upinzani kuwa dhaifu sana na vya kiganga njaa zaidi . Siku uholela ukiisha, ardhi ya wazi hakuna na vyama vya upinzani kuwa stronger hawatakubali kura yao iibiwe hata moja.Sasa kwa nini hutumika nguvu Za vyombo vya dola kulazimisha ushindi badala ya kuwaachia Hao wananchi wakaichagua hiyo CCM wanayoipenda?
kuondoa Ukabila na dini ni sawa, lakini sio sababu kubwa kivileeee!!. Somalia ni dini na kabila moja lakini wanatifuana. Sudani, Yemen, Syria, Zambia, Marekani, Ualya wengi ni wakristo tu lakini vyama vinaangushwa vinaondolewa madarakani.Uko sahihi kabisa kwa asilimia 100.
Na kingine naongezea ambacho Ni muhimu zaidi Ni:
1. Nyerere kufuta kadri ya uwezo wake UKABILA.
2. Kujitahidi kupambania kupunguza au kudhibiti UDINI.
Hakuna kitu kinachounganisha watu kama MAKABILA na DINI.
MAKABILA chini ya UCHIEF.
Na DINI.
Nchi zote ambazo raia wake huwa wanaambana lazima huwa wanna kitu kinachounganisha, aidha DINI au KABILA.
Hasa nchi zenye makabila machache.
Tanzania Ni ngumu kuwaunganisha wasukuma, eti wake mbele kuandamana mpaka wapigwe risasi kwasababu ya mchagga Mbowe.
Huu Ni ukweli mchungu.
Mwisho kabisa, ukiachana na Hilo la CCM kuwahusisha wanajeshi kwenye serikali, vile vile CCM bado inayakumbatia makundi yote ya kijamii ambayo kiuhalisia yalisaidia sana lwenye harakati za Uhuru.
Makundi hayo Ni kama Vyama vya wafanyakazi, Wanawake, vijana, Viongozi wa dini, Wazee, Viongozi wa kimila, vyuo vikuu n.k
Mkuu mimi sijui..ila shida iko hivi,
Ni chama kipi unaweza kufikiri kinaweza kupewa dola ?...
Sisi raia tuna hamu ya ukombozi kutoka CCM lkn viongozi wa upinzani hawako hivyo...wanachumia tumbo.