Sababu za kiroho kwanini Tanzania ya Mama Samia itakuwa yenye neema kubwa sana kwa Watanzania

Sababu za kiroho kwanini Tanzania ya Mama Samia itakuwa yenye neema kubwa sana kwa Watanzania

Uyasemayo yanafanana na ukweli.Bi samia ana bahati ambayo inaweza kutokea mara chache sana.
watanzania tutatembelea nyota yake ya bahati. kwa kawaida nyota na tabia ya kiongozi mkubwa wa nchi au mfalme huwa inakuwa reflected kwenye nyota na tabia za watu anao waongoza. Mifano ipo mingi sana
 
Ndio sababu amesema sababu ,za" kiroho " yaan mambo yanatokea hata hujui kwa nini yameyokea hivo , rais asinge fariki mama asingekalia kiti.
asante mwalimu
 
Umeongea kitu mguso sanaaa ila swali Je, ataweza mikiki ya kupangiwa cha kufanya na kuwekewa mipaka ya hiki usiguse ni cha Fulani, Namna utendaji wa Mzee wetu ulihitaji Ujasiri wa hali ya juu mno muhimu tuzidi kumuomba Mungu tu na kumuombea JOHN P MAGUFULI apumzike kwa Amani maana kama kazi kaifanya haswaa, Mungu ibariki Tanzania na ukambariki kiongozi wetu mteule Rais SAMIA S HASSAN
 
Una kiwango kikubwa cha uchafu akilini mwako,mama samia ni chaguo la mungu,na magufuli aliongozwa na shetani kumchagua mama samia awe makamu wa rais? Unasema ete hakupigiwa kura wala hakuiba kura,kwenye uchaguzi mkuu ulikuwa hujazaliwa?,mbona watu mnapenda kuonyesha ujinga wenu hadharani?
k
 
Leo majira ya saa 4 asbh,nikiwa natokea mwanza kuja dar,nilipofika sehemu moja panaitwa maganzo,karibu na mgodi wa mwadui,kuna hotel moja ina itwa west park hotel,nikaegesha gari pembeni karibu na mkaratusi,nikashuka na kuagiza supu ya samaki sato,nikiwa nakunywa hiyo supu,kwenye luninga kukawa na hotuba fupi ya hayati jpm kumhusu mama samia,jamaa mmoja akaingia hapo na kuagiza bia, wakati anakunywa akawa anapiga Kelele,watu wakamwambia anyamaze,lkn akawaambia mnasikiliza upumbavu,magufuli ni kitu gn? Mama mmoja aksimama akamwambia baba tunaomba utusamehe,nyamaza kimya,yule bwana akasima na kusukuma yule mama,kilichofanyika ni watu woote ktk hiyo bar wakaanza kumshambuli kwa chupa na makreti ya chupa,yule bwana amepigwa na kuumizwa sn,damu puani na mdomoni, baadae nafikiri kuna mtu alipiga simu polisi wakaja, wakawakuta watu wanatafuta petrol wachome moto,yaani ilikuwa ni hatari,nakumbuka aliulizwa na askari yeye anaitwa nani? Aiitamka jina kama luyaga,au luyange kama sikosei,baada ya kuniona mimi nimesimama pembeni nikishangaa na kusikitika kwa kilichotokea,alikuja kuniuliza juu ya kilichotokea,nikaeleza km nilivyoona,baadae wananchi wakawaambia wale askari kwa nini anamtukana kiongoz wetu aliefariki,na kwa nin atutukane sisi kuwa tunafanya upumbavu,?, wakasema yeye kuwa wa chadema hakumfanyi apate uhalali wa kumtuka Jpm,tunomba umwondoe hapa,tutachoma moto,watu wakaanza kupiga miluzi apigwee apigwee,Ni hatari,
Duuh!!
 
SABABU NAMBA MOJA: Mama Samia Suluhu Hassan ni CHAGUO LA MUNGU moja kwa moja. Kwa lugha nyingine Mama Samia amechaguliwa na Mungu moja kwa moja kuwa Rais wa nchi hii. Namaanisha hivi urais wa Mama Samia is a result of a Divine/ Heavenly Decree. Mungu mwenyewe ndio ameamua kumuita Magufuli na in his stead akamsimika Mama Samia Suluhu Hassan kuongoza Taifa hili la Tanzania.

URAIS WA MAMA SAMIA SULUHU HASSAN IS A PURELY ACT OF GOD. ( VIS MAJOR ) Hajachaguliwa na mtu wala timu wala hajaiba kura wala hajafanya chochote isipokuwa Mungu mwenyewe kwa sababu anazozijua mwenyewe ( ambazo obviously lazima ziwe sababu sahihi na bora to the interest of all the people of Tanzania bila kujali dini zao vyamavyao makabila yao au rangi zao ) ameamua kumchagua Mama Samia Suluhu Hassan.

Hakika tangu tupate uhuru Mama Samia ndio Rais wa kwanza ambae amechaguliwa kuongoza taifa hili na Mungu mwenyewe moja kwa moja. Nyerere aliteuliwa na chama chake,Mzee Mwinyi aliteuliwa na chama chake, Mzee Mkapaalichaguliwa kwa kupigiwa kura na watanzania kama ilivyo kuwa kwa Kikwtete na Magufuli lakini Mama Samia amechaguliwa na Mungu mwenyewe kwa hiyo Watanzania tutarajie neema kubwa sana chini ya uongozi wa mama Samia kwa sababu Mama Samia amechaguliwa na Mungu moja kwa moja kwa moja na kazi ya Mungu haina makosa.

Kwa wale watanzania ambao walipo teza haki zao katika kipindi cha miaka mitano nawaambia FURAHINI KATIKA BWANA NASEMA TENA FURAHINI SANA ( WAFILIPI 4: 4-7 ) kwa sababu HII NI SIKU AMBAYO BWANA AMEIFANYA ( ZABURI 118: 24 ) Mungu anakwenda kuirudisha miaka hiyo mitano ambayo imeliwa na nzige ( YOELI 2:25-27)

kwa wasio amini katika Mungu kama Kiranga bila shaka mnaamini katika "nature" sasa itoshe kusema kwamba MAMA SAMIA SULUHU HASSAN HAS BEEN NATURALLY SELECTED TO BE THE PRESIDENT OF THIS BELOVED NATION BY MOTHER NATURE HERSELF. Nature ndio imeamua Magufuli arejee katika kwayo na nafasi yake iwe replaced by Mama Samia SULUHU HASSAN.

SABABU NAMBA MBILI : IN THE REALM OF THE SPIRIT " WOMEN ARE A PORTAL WHICH CONNECT THE HEAVEN TO THE EARTH ". Katika ulimwengu wa rohoni MWANAMKE NI LANGO LINALO TUMIKA KUUNGANISHA KATI YA MBINGU NA DUNIA. Mfano wake ni huu wewe binadamu roho yako imetoka kwa Mungu mbinguni, ili uje hapa duniani lazima upitie kwenye tumbo la mwanamke.

Hapo mwanamke ametumika kama lango.

Hata wakristo wanao amini katika Uungu wa Kristo wanajua kwamba KRISTO ( AMBAE NI NAFSI YA PILI YA MUNGU ILIYO ISHI MBINGUNI ) alikuja duniani kupitia mwanamke.( MAMA MARIA ) Mama MARIA alitumika kama lango la kuinganisha mbingu (KRISTO ) na dunia.

Mungu akitaKA kuleta mbingu duniani hufanya hivyo kupitia mwanamke. Believe my words Mungu anaenda kuileta MBINGU (NEEMA) nchini Tanzania kupitia MAMA SAMIA SULUHU HASSAN. MUNGU MWENYEWE ANAENDA KULIONGOZA TAIFA LA TANZANIA KUPITIA MAMA SAMIA. MAMA SAMIA AMETUMIKA KAMA LANGO AMBALO MUNGU MWENYEWE ANALITUMIA KUDHIHIRISHA MAPENZI NA MIPANGO YAKE JUU YA TAIFA LA TANZANIA

MUNGU IBARIKI TANZANIA

MUNGU MBARIKI RAIS WETU MAMA SAMIA SULUHU HASSAN AMBAE WEWE MWENYEWE UME MCHAGUA KULIONGOZA TAIFA LAKO HILI LILILO BARIKIWA KULIKO MATAIFA YOTE DUNIANI
Huyu mama asijekutugeuka tu, yatamkuta yaliyomkuta aliyemtangulia. Asije akasema hajaambiwa.
 
Huyo Mama makandokando yake tunayo msitake tuanze mashambulizi wakati wa msiba.

Personally I would be glad hayo makandokando yashuke right this moment! Short of that wengine watasema ’majungu!’

Just a personal wish anyway!
 
Mama Samia Hajachaguliwa na Mungu ni Takwa la Katiba...isome katiba inasemaje kuhusu Rais aliye madarakani akifa nani anashika uongozi wa nchi na kwa namna gani....


Would you still be in denial if the Hands of nature took its course and they both become “the late”

Life has a meaning only to the ones who consider it’s meaning!
 
Mkuu,

Hata kupendekezwa kuwa mgombea kuna mlolongo mrefu kapitia, tunaheshimu msiba tu kukataa kuanza kujadili makandokando hapa.

We are giving her a chance to see if she can reform.


I honestly thought with the passing of “our dear” president then we would learn not to hold things for the after?!?

Yatoeni watu wajue otherwise “watu” watayahesabu kama maneno tu na si reality!

All the best to the “Chief in Command!”
 
hujapenda kufikiria mkuu. Mungu asingemuita Magufuli then Mama Samia asingeweza kuwa Rais leo hii. so nasisitiza Mama Samia ni chaguo la Mungu


Somehow I’m convinced to believe your statement!

Otherwise in another world, I would consider this superstition!
 
Mungu gani amemchagua Samia Suluhu Hassan? Kama kura si walipigiwa wote yeye na Magufuli?

Kama waliiba si waliiba wote? Au umesahau kama Samia alikua mgombea mwenza?
Mkuu huo ndio ukweli Mama Samia amechaguliwa na Mungu moja kwamoja
 
Back
Top Bottom