Iselamagazi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 6,020
- 6,161
Yeah!Nasadiki kwa Mungu mmoja, Muumba wa mbingu na nchi, na vitu vyote, vinavyoonekana na visivyoonekana.
Huu msemo wa kusema eti fulani amechaguliwa na Mungu, umekaa kisiasa zaidi kuliko kiimani