Sababu za kiroho za kusambaa Kwa kirusi cha Corona nchini China

Sababu za kiroho za kusambaa Kwa kirusi cha Corona nchini China

Every thing that happens in the physical world, represents something in the realm of the spirit.

In other words, kila kinacho tokea katika ulimwengu wa damu na nyama huwa kinaanzia kwenye ulimwengu wa roho.

Back to my point: Kuenea Kwa kirusi cha Corona nchini China ni adhabu kutoka Kwa Allah.

Kwanini: Serikali ya uchina licha ya kuwaua na kufanya dhulma kubwa Sana dhidi ya waislamu wa China lakini pia imefanya kufuru kubwa Sana dhidi ya uislamu. Moja Kati ya kufuru zilizo fanywa na Serikali ya uchina dhidi ya uislamu ni pamoja na kuchoma Quoran Tukufu.

Hicho kirusi ni pigo na adhabu kutoka Kwa Allah.

This is my personal opinion. It may not be a fact

Sasa hicho kirusi hakiwapati waislamu?
 
... akikujibu nistue kiongozi.

Hapo majibu yatatoka ndivyo sivyo - Atamwaga puvu tu. Hii hali ya kujiona mnyongo na kuhitaji kila mtu ajue kuwa unaonewa si nzuri kabisa.
Kila linalofanyika, kuna wanaolihusisha na mabo ya dini.
 
Every thing that happens in the physical world, represents something in the realm of the spirit.

In other words, kila kinacho tokea katika ulimwengu wa damu na nyama huwa kinaanzia kwenye ulimwengu wa roho.

Back to my point: Kuenea Kwa kirusi cha Corona nchini China ni adhabu kutoka Kwa Allah.

Kwanini: Serikali ya uchina licha ya kuwaua na kufanya dhulma kubwa Sana dhidi ya waislamu wa China lakini pia imefanya kufuru kubwa Sana dhidi ya uislamu. Moja Kati ya kufuru zilizo fanywa na Serikali ya uchina dhidi ya uislamu ni pamoja na kuchoma Quoran Tukufu.

Hicho kirusi ni pigo na adhabu kutoka Kwa Allah.

This is my personal opinion. It may not be a fact
mkuu kuna siku ulisema ulipatwa na mikasa ya majini na ukakiri YESU alikuponya na kua utatupa details zaidi ya kilichokupata.Tupatie basi mrejesho.
 
[emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]mleta uzi huu ni uchafuu umetuletea [emoji90][emoji90][emoji90][emoji90][emoji90]garbage


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Shida yao ni kutotambua aidha kwa kujua au kutokujua kile Mungu alichosema kuhusu kipi kiliwe na kipi kisiliwe na hayo ndiyo matokeo yake. Mungu alishasema hivi
LAW. :11:13
Kisha katika ndege hawa watakuwa ni machukizo kwenu; hawataliwa, ndio machukizo; tai, na furukombe, na kipungu;

LAW. :11:19
na korongo, na koikoi kwa aina zake, na hudihudi, na popo.

Sasa wao wanafakamia supu ya popo hatimaye inawatokea puani.Tukisema hivi wanaibuka watu kusema wasabato hivi wasabato vile wanasahau siyo wasabato ila ni Mungu mwenyewe lakini yote ni sababu ya tamaa ya mwanadamu hataki kuwekewa limit na viongozi wa dini wasio na hofu ya Mungu wanatake advantage kuwapotosha kuleni tu, hilo agano la kale sisi ni wa agano jipya hatufungwi na sheria nk
 
Shida yao ni kutotambua aidha kwa kujua au kutokujua kile Mungu alichosema kuhusu kipi kiliwe na kipi kisiliwe na hayo ndiyo matokeo yake. Mungu alishasema hivi
LAW. :11:13
Kisha katika ndege hawa watakuwa ni machukizo kwenu; hawataliwa, ndio machukizo; tai, na furukombe, na kipungu;

LAW. :11:19
na korongo, na koikoi kwa aina zake, na hudihudi, na popo.

Tukisema hivi wanaibuka watu kusema wasabato hivi wasabato vile wanasahau siyo wasabato ila ni Mungu mwenyewe
... mwisho wa dunia lini Mkuu?
 
Hakuna ajuaye hiyo mkuu, ni siri ya Mungu,sisi tunapaswa kujiandaa kila muda kana kwamba anarudi leo ila kuweka mipango yetu pia ya maisha kana kwamba atarudi miaka 100 ijayo.
... mwisho wa dunia lini Mkuu?
 
... akikujibu nistue kiongozi.
Adhabu ikija haichagui
Allah anasema:
25. Na iogopeni Fitna ambayo haitowasibu walio dhulumu peke yao kati yenu. Na jueni kuwa Mwenyezi Mungu ni Mkali wa kuadhibu.
Ikiwa kuna watu wanafanya maovu na hakuna anaewakataza basi adhabu ikija haichagui
 
Adhabu ikija haichagui
Allah anasema:
25. Na iogopeni Fitna ambayo haitowasibu walio dhulumu peke yao kati yenu. Na jueni kuwa Mwenyezi Mungu ni Mkali wa kuadhibu.
Ikiwa kuna watu wanafanya maovu na hakuna anaewakataza basi adhabu ikija haichagui
... adhabu haichagui kwamba wote (waliokuwemo na wasiokuwemo) wataathirika siyo? Kwanini kosa la mwingine asiyehusika naye aadhibiwe?
 
Hakuna ajuaye hiyo mkuu, ni siri ya Mungu,sisi tunapaswa kujiandaa kila muda kana kwamba anarudi leo ila kuweka mipango yetu pia ya maisha kana kwamba atarudi miaka 100 ijayo.
... Bi Ellen White na wenzie walishatueleza itakuwa lini Mkuu.
 
... adhabu haichagui kwamba wote (waliokuwemo na wasiokuwemo) wataathirika siyo? Kwanini kosa la mwingine asiyehusika naye aadhibiwe?
Inawezekana hakumkataza na kosa hilo kwa hiyo na yeye anaadhibiwa kwa kosa lake hilo , kisha siku ya qiyama kila mmoja atalipwa kwa matendo yake. Nakutolea mfano:
Kwanini wewe akikutafuna sisimizi mmoja tu unawauwa wote?
Mjenzi aliefanya kosa katika ujenzi, siku likiporomoka wote waliokuwemo humo huangukiwa, jee ndio tuseme Mungu amekosea, la hasha amefanya hivo kwa hekima yake , yeye ndie alietuleta duniani wakati tulikua hatupo, siku akiamua kuchukua chake hakuna wa kumlaumu
 
We jamaa matukio mengi unaandika opinions zako, sikatai. Sasa corona imetokea China na ishasambaa nchi zaidi ya kumi nini maana ya adhabu ya Allah. Na unataka kusema wale raia ndo walichoma Qur'an, mbona rais bado yupo na viongozi waandamizi. Na sisi Ebola huwa tunadhibiwa kwa kosa lipi
Maradhi yakimpata mtu mwema inakua ni mtihani kwake na majaribio pamoja na kufutiwa dhambi,
na yakimpata muovu inakua ni ukumbusho kwake kurudi kwa Mungu,
na kuna waovu wengine wanaachiwa wastarehe bila kupata onyo ili siku wakikata roho adhabu iwapate kisawasawa
 
Mbona Mmarekani ishaua sana waislamu huko middle east lakini hakuna kiluchotokea acha feelings za wafia dini

Sent using Jamii Forums mobile app
Mifano katika Quran na hadithi ipo mengi tu Allah anafanya atakavyo, kuna watu wa aina tofauti
1. Anapofanya kosa hupewa mtihani na matatizo ili arudi. Allah anasema katika 32:21
21. Na tutawaonjesha adhabu khafifu kabla ya adhabu kubwa, huenda labda watarejea.

2. Anapofanya kosa huachiwa na kuendelea kupewa starehe kwa muda (kama akipata mitihani inakua midogo midogo) ili azidi kiburi kisha siku atapotiwa mikononi kwa kifo au adhabu huwa hatoki, na hii mifano ipo mingi duniani kama faraoh na wenzake. Allah anasema 3:180:
Wala wasidhani wale ambao wanafanya ubakhili katika aliyo wapa Mwenyezi Mungu katika fadhila zake kuwa ni kheri yao. Bali hiyo ni shari kwao. Watafungwa kongwa za yale waliyo yafanyia ubakhili Siku ya Kiyama. Na urithi wa mbingu na ardhi ni wa Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu anazo khabari za yote myatendayo
Na mifano ipo mingi ya watu kama hao hupewa mali na starehe hata kama anafanya maovu, lakini siku yake ikifika adhabu inakua kali mno
 
kwa hiyo hicho Kirusi kinaua wasio Waisilamu tu?
 
Back
Top Bottom