Every thing that happens in the physical world, represents something in the realm of the spirit.
In other words, kila kinacho tokea katika ulimwengu wa damu na nyama huwa kinaanzia kwenye ulimwengu wa roho.
Back to my point: Kuenea Kwa kirusi cha Corona nchini China ni adhabu kutoka Kwa Allah.
Kwanini: Serikali ya uchina licha ya kuwaua na kufanya dhulma kubwa Sana dhidi ya waislamu wa China lakini pia imefanya kufuru kubwa Sana dhidi ya uislamu. Moja Kati ya kufuru zilizo fanywa na Serikali ya uchina dhidi ya uislamu ni pamoja na kuchoma Quoran Tukufu.
Hicho kirusi ni pigo na adhabu kutoka Kwa Allah.
This is my personal opinion. It may not be a fact
Hiyo inaitwa ISTIDRAAJ katika lugha ya kiarabu mana yake KUPURURIWA. Mtume anasema :Mbona Mmarekani ishaua sana waislamu huko middle east lakini hakuna kiluchotokea acha feelings za wafia dini
Sent using Jamii Forums mobile app
Every thing that happens in the physical world, represents something in the realm of the spirit.
In other words, kila kinacho tokea katika ulimwengu wa damu na nyama huwa kinaanzia kwenye ulimwengu wa roho.
Back to my point: Kuenea Kwa kirusi cha Corona nchini China ni adhabu kutoka Kwa Allah.
Kwanini: Serikali ya uchina licha ya kuwaua na kufanya dhulma kubwa Sana dhidi ya waislamu wa China lakini pia imefanya kufuru kubwa Sana dhidi ya uislamu. Moja Kati ya kufuru zilizo fanywa na Serikali ya uchina dhidi ya uislamu ni pamoja na kuchoma Quoran Tukufu.
Hicho kirusi ni pigo na adhabu kutoka Kwa Allah.
This is my personal opinion. It may not be a fact
Acheni ulevi wa kiimani ingawa sijui wewe ni dini gani. Msitake kufanya imani ziwe complicated hivi. Kitu kilekile kikitokea kwa mtu huyu kinakuwa treated tofauti na kwa mwingine. Sasa utajuaje kama kwa Wachina hii ni adhabu au kufutiwa dhambi.Maradhi yakimpata mtu mwema inakua ni mtihani kwake na majaribio pamoja na kufutiwa dhambi,
na yakimpata muovu inakua ni ukumbusho kwake kurudi kwa Mungu,
na kuna waovu wengine wanaachiwa wastarehe bila kupata onyo ili siku wakikata roho adhabu iwapate kisawasawa
Hio sio kazi ya binaadamu kujudgeSasa utajuaje kama kwa Wachina hii ni adhabu au kufutiwa dhambi.
Kwahiyo mleta mada kaambiwa na Mungu au kawezaje kufahamu.Hio sio kazi ya binaadamu kujudge
Japokuwa mimi ni mkristo lakini nakubaliana na wewe kwa %1,000,000,000 kwa sababu Kitabu chochote kile kinachozungumzia kuhusu uwepo wa MUNGU kinakuwa na pumzi ya MUNGU,Every thing that happens in the physical world, represents something in the realm of the spirit.
In other words, kila kinacho tokea katika ulimwengu wa damu na nyama huwa kinaanzia kwenye ulimwengu wa roho.
Back to my point: Kuenea Kwa kirusi cha Corona nchini China ni adhabu kutoka Kwa Allah.
Kwanini: Serikali ya uchina licha ya kuwaua na kufanya dhulma kubwa Sana dhidi ya waislamu wa China lakini pia imefanya kufuru kubwa Sana dhidi ya uislamu. Moja Kati ya kufuru zilizo fanywa na Serikali ya uchina dhidi ya uislamu ni pamoja na kuchoma Quoran Tukufu.
Hicho kirusi ni pigo na adhabu kutoka Kwa Allah.
This is my personal opinion. It may not be a fact
Ebola mnaadhibiwa kwa kosa la kugoma kuitoa madarakani CCM Shetani kwa nguvuWe jamaa matukio mengi unaandika opinions zako, sikatai. Sasa corona imetokea China na ishasambaa nchi zaidi ya kumi nini maana ya adhabu ya Allah. Na unataka kusema wale raia ndo walichoma Qur'an, mbona rais bado yupo na viongozi waandamizi. Na sisi Ebola huwa tunadhibiwa kwa kosa lipi
Logically consistent, comprehensible, repeatable.Unataka nikuthibitishie Kwa kutumia kiwango gani cha uthibitisho? ( Standard of proof)
Maana kuthibitisha wala sio kazi kubwa mzee
Acha ulongo weweEvery thing that happens in the physical world, represents something in the realm of the spirit.
In other words, kila kinacho tokea katika ulimwengu wa damu na nyama huwa kinaanzia kwenye ulimwengu wa roho.
Back to my point: Kuenea Kwa kirusi cha Corona nchini China ni adhabu kutoka Kwa Allah.
Kwanini: Serikali ya uchina licha ya kuwaua na kufanya dhulma kubwa Sana dhidi ya waislamu wa China lakini pia imefanya kufuru kubwa Sana dhidi ya uislamu. Moja Kati ya kufuru zilizo fanywa na Serikali ya uchina dhidi ya uislamu ni pamoja na kuchoma Quoran Tukufu.
Hicho kirusi ni pigo na adhabu kutoka Kwa Allah.
This is my personal opinion. It may not be a fact
Inawezekana hakumkataza na kosa hilo kwa hiyo na yeye anaadhibiwa kwa kosa lake hilo , kisha siku ya qiyama kila mmoja atalipwa kwa matendo yake. Nakutolea mfano:
Kwanini wewe akikutafuna sisimizi mmoja tu unawauwa wote?
Mjenzi aliefanya kosa katika ujenzi, siku likiporomoka wote waliokuwemo humo huangukiwa, jee ndio tuseme Mungu amekosea, la hasha amefanya hivo kwa hekima yake , yeye ndie alietuleta duniani wakati tulikua hatupo, siku akiamua kuchukua chake hakuna wa kumlaumu