Sababu za kisayansi kwanini Mwanaume anayevaa vizuri hung'oa wanawake wengi wakali kuliko mwenye gari

zsikia mkuu huu utaishia kwa jibu hili kila mwanamke ana mawazo yake ni sikufichi niliwah kutaka kuroga demu wa mshikaji mmoja mvita bangi tu nywele achani nguo chafu nilishindwa jamaa sijui alimroga vp ule manzi

pia kuhusu kujienda ni same way as kuwa na pesa ngoja nikuadisie sasa kuna jamaa mmoja anajua kuroga uyo apa mtaan simu mbili mda wote smart kiatu kisafi sasa nenda anapoish utakimbia hata mademu washamshtukia kuna hana hela anajismartphotisha tu siku hz wanamkwepa
 
Maandiko yanasema ishi nao kwa akili hata kuroga una roga kwa akili.

Anyways ninacho kizungumzia hapa ni attraction.

Getting the girls to be attracted to you is one thing and keeping them with you is another thing.

U must first attract them before you think of keeping them
 
Kupendeza ndio Ugonjwa wangu huo

Btw sometimes Huwa Nina Waka na kunukia kiasi kwamba nikienda sehemu ambazo Kuna wanawake wengi mpaka unaona jinsi wanavyo teseka Kwa kukata shingo zao na kukutazama ,

Mleta thread uko sahihi kabisa njia pekee ya kuwa kamata wanawake Kwa haraka na wepesi na sometimes wao kuwa Wana kutaka kimapenzi ni wewe kuwa Smart, ila kuwa na gari ni nyundo kubwa zaidi
 
Mimi huwa wana nipa celebrity treatment and I treat them.as fans and they like it
 
Nakubal 100% ukiloga utawaweka sanaaaaa tena unapewa yoteyote, Ila ukiloga ukawa na Pesa ndo unawamiliki kabisa.
Namaanisha Ukiloga Utawapata lakini ukiwa na Pesa watakaa kwa kutulia zaid.
 
Nakubal 100% ukiloga utawaweka sanaaaaa tena unapewa yoteyote, Ila ukiloga ukawa na Pesa ndo unawamiliki kabisa.
Namaanisha Ukiloga Utawapata lakini ukiwa na Pesa watakaa kwa kutulia zaid.
naunga mkono hoja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…