Gelion Kayombo
Senior Member
- Feb 17, 2018
- 149
- 199
- Thread starter
- #201
Mkuu uko sahihi kwa sababu na wewe mwenyewe ni mganga wa kienyeji. Kwa sababu kama umewahi kutumia matunda au majani yoyote kama tiba basi jua na wewe mwenyewe ni mganga wa kienyeji. Hata hivyo mimi siuzi madawa hayo ya kienyeji. Pia mkuu, mwakani nitaandika kitabu kizuri cha Kiswahili na Kiingereza kuhusu masuala haya nadhani kktasaidia wengi na wewe ukiwemoWewe ni mganga wa kienyeji mwisho utasema unauza dawa za walioathirika na punyeto..