Sababu za kuacha kutazama video za utupu

Sababu za kuacha kutazama video za utupu

Hilo ni janga la vijana/wanaume wengi na madhara ni makubwa sana
Ni kweli madam, lakini hata vijana wa kike na hata wanawake watu wazima wameingia katika janga hili.

Hili niliwahi shuhudia wanawake wengi wanataka kutumiwa connection fulani.
 
Sawa sawa mkuu ,na wanawake unawashauri nn wanaojichua kunako maeneo
 
Sawa sawa mkuu ,na wanawake unawashauri nn wanaojichua kunako maeneo
Kwa ujumla binadamu anatakiwa kufanya sex na siyo kuangalia watu wengine wakifanya sex na kuishia kujichua. Nature ndivyo inavyotaka. Kuangalia wengine wakifanya sex na kuishia kujichua ni kuvunja kanuni ya asili. Hivyo haitakiwi kwa binadamu yeyote awaye.
 
Ni kweli madam, lakini hata vijana wa kike na hata wanawake watu wazima wameingia katika janga hili.

Hili niliwahi shuhudia wanawake wengi wanataka kutumiwa connection fulani.
Wanawake nao hatuko nyuma kwenye hili, ila ni kujiharibu tu sio vitu vya kushabikia hivyo.
 
Wacha tuangalie bwana...hayo madhara naona ni madogo ukilinganisha na kuungwa kwenye grid ya taifa au kupata gono.
Mkuu nature inataka watu wafanye sex na siyo kuangalia wengine wakifanya sex na kuishia kujichua. Kufanya hivyo ni kinyume na kwenda na nature
 
Mkuu nature inataka watu wafanye sex na siyo kuangalia wengine wakifanya sex na kuishia kujichua. Kufanya hivyo ni kinyume na kwenda na nature
Sawa ni kinyume lakini bora hiyo kinyume kuliko kuumwa ngoma au kupata gono.
Hii ya kuangalia inanihakikishia usalama wa afya yangu kwa asilimia 💯 na hilo ndio muhimu
 
mimi babu yangu ndio aliniachia kikopo cha mafuta ya magando nikiwa najiunga na kidato cha kwanza akaniambia mjukuu wangu ukitaka fanikiwa iwe kweny masomo au kazi hata mandeleo hakikisha unamwaga cha kwanza kila unapohisi uhitaji na kweli nimefanikiwa kusonga mbele.. sasahivi nina mke na watoto wawili nakula mbususu vibaya kabisa nyeto mara moja moja kumuenzi babu yangu apumzike kwa amani...
 
Back
Top Bottom