Sababu za kuacha kutazama video za utupu

Sababu za kuacha kutazama video za utupu

Mkuu hakuna cha unafuu. Effects zake ni very detrimental mkuu.
Hamna. Mbona mie nimekuwa nikiangalia toka nina miaka 14 na nanyetuka tuu. Na kwa miaka yo hiyo mpaka sasa 42 yrs sijui mlango wa hospital ukoje wala sindano ya doctor inafananaje.
 
Hamna. Mbona mie nimekuwa nikiangalia toka nina miaka 14 na nanyetuka tuu. Na kwa miaka yo hiyo mpaka sasa 42 yrs sijui mlango wa hospital ukoje wala sindano ya doctor inafananaje.
Mkuu madhara yake siyo rahisi kuyaona kwa sababu hayaji kama ugonjwa wa malaria, kaswende nk. Madhara yake ni kama nilivyo taja pale juu
 
Nimewahi sikia kwamba ukizikomalia hizo "vidio" utaanza kupenda kula "ndogo" af then utaanza kutamani "kuliwa" ndogo pia, naskia pia ndo chanzo vijana wengi kuwa "mapunga".

JF Naombeni clarification juu ya hayo.🙏🙏
Ni kweli kabisa aisee, video na picha za ngono ni chanzo kikubwa cha janga hili la mapenzi ya jinsia moja. Binafsi nimewahi shuhudia vijana zaidi ya kumi(10) ambao wapo chini ya miaka 18 wamejibanza mawahi wanaangalia video hizo kwenye simu ya mwenzao.

Pia video nying za ngono zinahawasisha ushoga kwa namna moja au nyingine mfano:-
1. Zipo zinazoonyesha mwanaume akila tigo.
2. Zipo zinazonyesha wahusika zaidi ya wawili (threesome). Either wanawake wawili na mwanaume mmoja na hapo utashangaa wanawake wana kiss. Pia zipo za wanaume zaid ya mmoja mwanamke mmoja na hapa ni vile vile wnaume pia wanagusana

3. Zipo zinazoonyesha jinsia moja wakifanya mapenzi, iwe ni wanaume tu au wanawake tu. Na hapa ndio haswa huwa vichocheo kwa watazamaji.

Ombi langu kwa wazazi, ni vyema ku set simu zenu ili watoto wenu washindwe kuingia kweny baadh ua website ambazo ni hatari kwa makuzi yao. Utakuta mzazi katoka kazini anampa simu mtoto a download games. Sasa kama mtoto anaweza kudownload games atashindwa kuongia website za ngono kweli.
 
Mkuu vp nikipitia walau mara moja kwa wiki kama kiburudisho tu na baada ya kumaliza wala sijichui maana nilishaachaga muda mrefu saaana kupiga nyeto na saivi naangalia Kama navocheki Mpira tu, nayo inamadhara pia?
 
Mkuu vp nikipitia walau mara moja kwa wiki kama kiburudisho tu na baada ya kumaliza wala sijichui maana nilishaachaga muda mrefu saaana kupiga nyeto na saivi naangalia Kama navocheki Mpira tu, nayo inamadhara pia?
Mkuu haiwezekani kufanya mara moja kwa wiki. Huo ni ulevi mkuu ambao utafanya mara nyingi tu kwa wiki
 
Twitter kumejazwa video za ngono kuliko chapisho lolote, Ni muhimu Sana me au ke kuzama Twitter ili ujifunze different kind of staili hzo ...

[emoji39][emoji39]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Binafsi, nikianza kutazama tu napatwa na usingizi huku namung'unya ulimi, inabidi tu niache kwa kweli! Nikiona tupu za wazungu ndo napata allergy kabisaa, macho yanawasha! Sijui nimerogwa!
 
Mwamba umejaza hisia kwenye andiko lako hayo yote ulioelezea ni madhara ya punyere ambayo umeyakonekt na picha za ngono ili kuifanya habar iwe ya kusisimua
Kuna watu ni chaputa nguli na hawana access na hizo mambo zenu za porn.hub wala playboy magazine ina maana hao hawahusiki hapa?
 
Wewe ni mganga wa kienyeji mwisho utasema unauza dawa za walioathirika na punyeto..
 
Kwani kujichua na kufanya mapenzi na mwanamke kuna utofauti gani maana matendo yote yanapelekea kutoa mbegu njee naona waandishi wengi wameegea sana kwenye tendo la upigaji punyeto
Wenye ujuzi zaidi wanaeleweshe kama nipo wrong
 
Binafsi, nikianza kutazama tu napatwa na usingizi huku namung'unya ulimi, inabidi tu niache kwa kweli! Nikiona tupu za wazungu ndo napata allergy kabisaa, macho yanawasha! Sijui nimerogwa!
Kivipi mkuu? Unakuwa unatamani au namna gani vipi?
 
Kwani kujichua na kufanya mapenzi na mwanamke kuna utofauti gani maana matendo yote yanapelekea kutoa mbegu njee naona waandishi wengi wameegea sana kwenye tendo la upigaji punyeto
Wenye ujuzi zaidi wanaeleweshe kama nipo wrong
Kuna utofauti mkubwa kati ya punyeto na real sex. Pia nguvu inayotumuka kwenye punyeto ni tofauti na kwenye real sex
 
Back
Top Bottom