yesamrich
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 2,520
- 4,526
Vp kwa wanawakeHilo ni janga la vijana/wanaume wengi na madhara ni makubwa sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vp kwa wanawakeHilo ni janga la vijana/wanaume wengi na madhara ni makubwa sana
Wanawake nao wapo baadhi walio addicted na hiloVp kwa wanawake
Swali lipi sijakujibu? Nimeshakujibu mkuuhuna facts mzee, unaruka ruka, mara huku mara kule
maswali juu hapo umeshindwa jibu
hujajibu, umejikanyaga na kurukaruka,Swali lipi sijakujibu? Nimeshakujibu mkuu
Eeh hamna namna, ndio maana yalikuwepo in the 1st place 😂😄😄😄 Ila pia kuna mambo mengine lazima watu wafanye, haijalishi kama mazuri au mabaya
Mkuu unajua kuwa tayari umeshapata madhara? Kama unafanya kila siku kama ulivyo andika hapo juu, tayari wewe ni muathirikahuna facts mzee, unaruka ruka, mara huku mara kule
maswali juu hapo umeshindwa jibu
kama yapi ?umeshapata madhara?
wa nini exactly ? ngoma au ?wewe ni muathirika
Mkuu, inawezekana bado hujaanza kukutana na madhara niliyotaja hapo juu, ila tambua kuwa wewe tayari ni mlevi wa hiyo kitu. Mpaka sasa wewe huna tofauti kwa ulevi na mvuta sigara au mlevi wa pombehujajibu, umejikanyaga na kurukaruka,
sawa, so ntakutana nayo lini bwana daktari bingwa ?inawezekana bado hujaanza kukutana na madhara niliyotaja hapo juu
Siyo utapata lini mkuu, wewe tayari umeshapata hayo madhara mkuu.sawa, so ntakutana nayo lini bwana daktari bingwa ?
kama yapi ?madhara mkuu.
"Naji'chua' kwa siku mara 5, asubuhi-viwili, mchana, jioni na usiku kabla kulala" Haya ndiyo madhara yake umeyataja. Umeshakuwa addicted. Na kuwa addicted ni hatua ya awali, bado hatua inayofuata ya kuanza kuleta madhara menginekama yapi ?
madhara mengine kama yapi ? tuko page#3 ujue, kutaja hutajikuleta madhara mengine
Nini tena kakukumbusha.Umenikumbusha
Madhara mengine nimetaja kwenye chapisho kule mwanzo. Kayasomemadhara mengine kama yapi ? tuko page#3 ujue, kutaja hutaji
like I said, ni hisia na mawazo yako , hakuna uhalisia wala factsMadhara mengine nimetaja kwenye chapisho kule mwanzo. Kayasome
Sawa mkuu. Nimekupa fact kuwa wewe tayari ni addicted, lakini bado unabisha kuwa sina facts?like I said, ni hisia na mawazo yako , hakuna uhalisia wala facts
Mkuu faida ipo ya kuangalia hizo video. Faida iliyopo ni ya muda mfupi lakini kwa malengo ya muda mrefu kuna hasara kubwa. Ni sawa na mtu anayetumia energy drinks, au viagra. Anapata faida kwa muda mfupi ila madhara ni makubwa sana kwa muda mrefu ujao.Ila mleta mada sijaona uliposema kama wewe umewahi kuangalia ukaamua kuacha au hujawahi kuangalia kabisa
Je uliangaliatu bila kujichua au ulijichua?
Nakama uliwahi kuangalia uliathirika kiasi gani na ndani ya muda gani?
Hivi katika hali ya kawaida hakuna hata faida moja ya kujichua?
Mbona hujazungumzia wanaojichua bila kuangalia hizo video?
Jaribu kuwa shuhuda wa mada yako hii tata