Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa yaani. Na wengi wanajifunza mambo ya hovyo kupitia kwenye hizo video za utupuhizo video zimeleta vijana wakulelewa na mamishangazi
yaani hawataki kufanya kazi ngumungumu wapate pesa, wanakula chips PODA haikosamo kha[emoji23]
Hakuna kitabu cha Sayansi kinachotaja directly kuhusu moto. Lakini Sayansi inakubali kuwa Mungu yupo na kuna kanuni zake alizoweka.Kwenye sayansi ni wapi pameongelewa moto baada ya kifo?
Una addiction na porn mkuu?Helpless, I'm sorry.
Proof your wordsAnd you will continue watching them..?
Huo ni ulevi mkubwa. Ila anaweza kuachana nao akifuata utaratibuKuna ex wng mmoja ameshakua addicted na izo video mpk namuonea huruma
Kwanini unasema hayana ukweli mkuu, wewe unaangaliaga porn?hayo yote uliyoyabold hayana ukweli,kama ni ndio thibitisha
Mkuu huwa unaangaliaga au uliwahi kuangalia?hayo yote uliyoyabold hayana ukweli,kama ni ndio thibitisha
Vyovyote vile iwavyo usiangalie hizo porn. Porn ni tofauti na really sex.Kwani utupu ni nini?je nikiwarekodi wakiwa na mavazi hayo hazitokua video za utupu na kunisisimua hadi kupelekea kufanya ulichotaja hapo juu?
nilishaangalia sana ,sasahivi siangalii maana sina muda muda wa ujinga ujinga ila hakuna lolote katika hayo uliyoandikaMkuu huwa unaangaliaga au uliwahi kuangalia?
Kwa hiyo nikifanya sex sio dhambi na moto hautanipataVyovyote vile iwavyo usiangalie hizo porn. Porn ni tofauti na really sex.
Mungu na moto ni vitu viwili tofauti, hakuna nilipoongelea kutokuwepo kwa MunguHakuna kitabu cha Sayansi kinachotaja directly kuhusu moto. Lakini Sayansi inakubali kuwa Mungu yupo na kuna kanuni zake alizoweka.
Sawa. Ila kuna wenzako wengi wanakubaliana na haya niliyoandika hapa. Na kuna watu wengi wamo humu wanajua madhara ya porn.nilishaangalia sana ,sasahivi siangalii maana sina muda muda wa ujinga ujinga ila hakuna lolote katika hayo uliyoandika
Kwanini nimeandika udwanzi? Kwamba siyo kweli porn ina madhara?Umeandika Udwanzi
Kuna utofauti kati ya kufanya sex na kuangalia wenzako wakifanya sex. Really sex na pornography is quite different. Really sex has its characteristics and pornography has its own characteristics.Kwa hiyo nikifanya sex sio dhambi na moto hautanipata
hata bia kuna watu inawaletea madhara, wengine wanakunywa wanaenjoy na hakuna lolote,so ukileta uzi wa madhara ya bia utakua uzi wa kitopolo.kila kitu kikizidi kina madhara hata maji ya kunywaSawa. Ila kuna wenzako wengi wanakubaliana na haya niliyoandika hapa. Na kuna watu wengi wamo humu wanajua madhara ya porn.
Of all the things, you should stop watching pornography. It's killing your manhoodUmeandika Udwanzi