Sababu za kumbwaga mpenzi wangu Mwanasheria

Achana nae huyo ni tapeli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
🤣🤣🤣🤣🤣 nigger you fabricated some of the stuffs, that too much for a homie to digest....fuuuuwk...


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
😂😂😂huyo mshakaji wangu sio demu, bora ulivyomtema.
 
Si mbaya akijua kila kitu hapa duniani hata akiweza ajue na vilivyopo kwenye sayari nyingine,bado nitajivunia kuwa nae...

Ila tu awe msikivu na mnyenyekevu mwenye hekima anapozungumza ama pale anaponirekebisha..

Na ajue wapi pa kuongea na wapi akae kimya!!Awe na staha katika mazungumzo, akiwa na sifa hzi nitazidi kujivunia tofauti na hapo nitamuona mjuaji tu anayependa mashindano!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Much know Hawezi kuwa mstaarabu kiasi hicho. Hakunaga much know WA hivyo duniani
 
Ukweli uliomchungu wanaume wengi hasa wa Afrika hatupendi wanawake wanaojua mengi (Elimu)
Maana tutashindwa kuwatawala na kuwapelekesha tuwezavyo!!

Sasa wee unataka upelekeshwe na mwanamke kaka?
 
T
🤣🤣🤣🤣🤣 nigger you fabricated some of the stuffs, that too much for a homie to digest....fuuuuwk...


Sent from my iPhone using JamiiForums
Tatizo umefikiri matukio yote yametokea siku moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…