Sababu za kumbwaga mpenzi wangu Mwanasheria

Ukitaka kumla bata usimchunguze sana
 
Hahahaaa

Man! That was a Temptetation.
Better keep her off.
Utaaibika:

 
Hata Mimi nawapenda sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo yanayonikuta mimi, kitu ninachoongea ni kumsupport yeye, kwa sababu ye kila kitu anaona ndo anajua na mimi ndo namwacha aendelee kujiona mwamba, bahati nzuri hanioni kama kilaza kwa sababu kitabu nimemzid kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Demu mnyamwezi sana itakuwa.Ningempata ningefurahi sana.

Afu awe na nywele za asilia mithili ya miss Mendoza.

Ila huyu demu atakuwa kwao boys wengi na obvious mtoto wa dar.

Mchizi utakuwa unamboa sana demu na minguo yako midosho.
 
Haya sapiosexual.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Ulinitisha na chuki zako dhidi ya mafurushi furushi miye mpaka nikaogopa. Huwezi jua sasa hivi si ajabu hata ufurushi wote ungekuwa ushaniisha nimerudi kwenye mstari....

Nakulaumu !!!
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Ulinitisha na chuki zako dhidi ya mafurushi furushi miye mpaka nikaogopa. Huwezi jua sasa hivi si ajabu hata ufurushi wote ungekuwa ushaniisha nimerudi kwenye mstari....

Nakulaumu !!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Its never too late dear.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…