Sababu za kumbwaga mpenzi wangu Mwanasheria

Hahaaaaaa.
Najitahidi kusoma mambo mengi tofauti na career yangu.
Lakini majina yote uliyotaja namjua chakaraboti tu[emoji23][emoji23].

Hata mimi manzi wa hivyo simtaki aiseeh
Mimi nimeambulia huyo Chakarabouty na Madame Agathe wa Rwanda, wengine wote na vitu vya ulozi nimetoka kapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi kuna bichwa limevimba kule nusra lipasuke

Najua ni nje ya mada lakini umeicheki avatar yangu mkuu?
 
Who da fuq is styles p? Anyway kama umempenda ishi nae

Najua ni nje ya mada lakini umeicheki avatar yangu mkuu?
 
Unajua aje pengine mzazi wake alikuwa karibu nao na akamhadithia, mtoto ana kichwa kizuri kashika kila aliloambiwa na yeye anaeleza kwa wengiine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nafikiri kanuni hii ndio inayompata Magufuli. Licha ya mazuri anayojaribu kufanya, kutokana na hulka ya kuonesha anajua kila jambo, na wengine wote ni mazuzu, basi hapati sifa za dhati bali dharau na kupuuzwa, kama sio chuki kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lawyers are jack of all trades master of none,ndo maana ikaitwa Noble proffession au wakaitwa learned brothers or sisters,wasomi n.k..jikaze tu mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli uliomchungu wanaume wengi hasa wa Afrika hatupendi wanawake wanaojua mengi (Elimu)
Maana tutashindwa kuwatawala na kuwapelekesha tuwezavyo!!
Ndo mana nimefikia uamzi wa kuoa demu mwenye cheti cha nursing nitamfungulia duka la madawa nikiugua ananitibu , hawa degree holder sio wote ila wengi wao miyeyusho Sana , they look more beautiful but in the long run lazima mtibuane , too much know , yaan unakuwa na mwanamke lakn unakuwa kana kwamba mpo wote vidume ndani .....
 
Usijali,ni aina ya watu wanaopenda kujua vitu vingi sana, ivi inawalizimu kuvifatiliaa..

Mengine yalobaki n hobby tu ,kama ambavyo wewe unaweza mpangia kikosi cha Tanga mpaka Suh yake.


Being Talkative haimfanyi tumuhesabu vibaya.



Na laiti kama utamlimit, utakua umeamua kushikilia Ubongo wake kama wanawake Wa Kisukuma.
 
Very narrow mkuu kumpata wa hivyo , tena Kwa mwanamke ndo taabu kabisa wachache Sana , mwanamke wa hivyo anaamin anachokijua yeye wewe hukijui , utajikuta unakula lecture kila sku
 
Demu anazingua bangi. Ujuaji wake sio kwangu Tu hadi Kwa watu Baki.

She is a kind of a woman ambae mtaenda Kwa mganga, mganga atawaambia leteni kuku jike mweusi na kabla mganga hajaendelea kuzungumza she will jump into his mouth and ask " Huyo kuku mweusi jike awe ameshataga au hata ambae hajawahi kutaga?"
Mganga akisema nendeni mkavunje nazi njia panda she would ask him tukavunje njia panda jike au njia panda dume?

Muulize Mshanajr what will a witchdoctor do to a customer who is acting much know
 
Title ilivokaa nikafikiri dem atakuwa much know kwenye profession yake kumbe ni kwenye upuuzi huo.

Sasa hapo anawajua yeye au ni wew unawajua?au tuseme alikuandikia kwenye karatasi akakupa uje uanzishe uzi huu.Nikuulize sasa

Kuna shida gani akijua?kwahiyo unataka wife material wa kucheki nae movie awe anakuuliza?yan hujawaza muchknow inaweza kusaidia vipi katika maendeleo ya familia wew unataka awe mpumbavu ili uwe unatazama nae movie.Na kesho utakuwa utaandika uzi mwingine wanawaka hawajishughulishi,wavivu na wanategemea wanaume.

Jitathmini afu chukua hatua ala.[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😀😀😀umenivunja mbavu mkuu.. Vp haijui chemical formula ya vumbi la mkongo?
 
Na wewe ni muchknow. Halafu umewahi kusikia wapi MTU anaitwa muchknow Kwa sababu ya kujua vitu vingi kwenye professional yake?
 
Nipe namba zake huyo ananifaa mimi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…