Sababu za kumbwaga mpenzi wangu Mwanasheria

Hahahahahaha et uyo kuku jike keshataga au .. Curiosity


Kwan ukiachilia mbali huo ujuaji, Papuchi hakupi? Anakudharau yaan sio Mwema???.
 
Kwingine Yuko poa tatizo much know
Hahahaha poa Mkuu, umemwacha bila kumwambia ? Au ulishamwambia lkn wapi.

Hapo kama yuko vzuri kuna mambo mawili tu

Either yeye abadilike kukufaa....au wewe ubadilike kumfaa (ili uendane na uongeaji wake).
 
Maajabu hayataisha duniani 😄 😄 😄 yani hili nalo linakuumiza , hapo umempunguzia mzigo dada wa watu mapema acha akapate much know mwenzake wawe na mazungumzo yanayofanana.
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Aisee
 
Write your reply...DAAH kuwa na demu ""Nerds"" ni burudani sana kuna mazungumzo yetu tunaelewana wenyewe kwa wenyewe
 
[emoji28][emoji28][emoji28] kwahiyo unataka kusema eti Mama yetu maharufu humu
Bi mkubwa FaizaFoxy alitakiwa awe wa ubani wa mzee baba Kiranga au mtu mzima Pascal Mayalla
Nanukuu tu , Nisichukuliwe hatua[emoji28][emoji28]
 
[emoji28][emoji28][emoji28] kwahiyo unataka kusema eti Mama yetu maharufu humu
Bi mkubwa FaizaFoxy alitakiwa awe wa ubani wa mzee baba Kiranga au mtu mzima Pascal Mayalla
Nanukuu tu , Nisichukuliwe hatua[emoji28][emoji28]
When did u know that lions are only active in the night? My girl knew this since the days of Pontius of Pilates
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zangu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Very narrow mkuu kumpata wa hivyo , tena Kwa mwanamke ndo taabu kabisa wachache Sana , mwanamke wa hivyo anaamin anachokijua yeye wewe hukijui , utajikuta unakula lecture kila sku
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Hapo utaafundishwa jinsi ya kuoga hata jinsi ya kufua nguo ya ndani
 
When did u know that lions are only active in the night? My girl knew this since the days of Pontius of Pilates
Today[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] ,
 
Africa ni wanaume wachache sana wanaotaka wanawake wa hivyo, wengi wao hawataki wanawake wawape challenge maana hiyo kwao wanaitafsiri as kupandwa kichwani hivyo wengi wao wanataka wale wanawake ambao kila kitu ni "ndiyo mume wangu".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…