chama mpangala
JF-Expert Member
- Sep 3, 2015
- 549
- 841
Nope that is not sexy to me.Huyo demu anatakiwa kuwa na MTU kama Pascal Mayalla au Kiranga a.k.a Nyani Ngabu ndio at least wanaweza kuendana.
Akikutana na Kilazaa kama GENTAMYCINE there will be no hope for the future.
Demu yupo very smart na anajua vitu vingi hatari. Kama ni member WA Jf basi ye FaizaFoxy
Mkuu usipate shida, tafuta form four failure muweke ndaniDemu anajua vitu vingi hatari . Mpaka mtu mzima nakosa pozi. Kila kitu anajua yeye.
Demu anamjua Hadi Styles P? Nilikuwa sijui kama mama ake na Styles P ni Mzulu WA South Africa demu ndo kanichana yeye kupitia story.
Demu anamjua mpaka Craig Mack WA New Flavour in Ya Ear.
Demu anamjua mpaka Sylvain Wiltord?
Demu anamjua hadi Dennis Edwin. Unamjua Dennis Edwin wewe? Dennis Edwin ni kipa namba mbili wa Prison ya Mbeya msimu wa 2008/2009 or something.
Demu anamfahamu Hadi Anwar Awadh Yule shombe shombe Half Back WA kushoto wa Dar Es Young Africans way back in 1995.
Demu anajua kwanini Said Mwamba aliitwa Kizota.
Demu anamjua Hadi Mohamed Nyalusi. Unamkumbuka Mohamed Nyalusi wewe?
Demu anamjua Hadi Bruce Seldon.
Demu anamjua Hadi Soko Sugi.
Demu anamjua Hadi Mithun Chakrabothy.
Demu anajua Hadi how Madam Agathe Uwiyilingimana was assassinated in 1994.
Demu anajua Hadi picha la Tridev.
When did u know that lions are nuctornal? She knew it since the days of Pontius of Pilates.
Funny enough she was born in 1994.
Kwenye Mambo ya dini nako hayupo nyuma. She can recite Suratul Yaseen or Ayatul Qursy in as much as she can recite the Lord's Prayer which was taught by Jesus Christ of Nazareth.
She is a much know I say. Kwenye ulozi sasa ndo usiseme. Kuna siku alikuwa anaongea na.mtu kwenye simu akamwambia " mbona unanichimba kama mzizi wa muharaka!!???"
Nikamuuliza, baby unaujua Hadi Muharaka?
After that ndo nikagundua demu yupo conscious Hadi kwenye mambo ya ulozi.
Demu anajua Mambo ya ulozi utafikiri Mjukuu WA Binti Ameer.
Wife material hatakiwagi kuwa mjuaji saaana. She has to be the kind of a lady who will ask you when watching football with her " BABY HIVI HUYO NI CHRIS BROWN EEH ?"
Unamjibu nope baby, huyo anaitwa Theo Walcott.
And she replies: OOH REALLY???
Demu unajua mpaka mistari ya KR
This is too much
Kujua vitu sio tatizo tatizo NI kuwa muchknow. U muchknow unaweza kusababisha familia nzima kuchukua Kwa sababu ya mjinga mmojaMkuu usipate shida, tafuta form four failure muweke ndani
Huyo atakuona wewe ndio mjuvi wa kila kitu na utasujudiwa sana
Mwenzio anataka mbululaHao wajuaji ndio wazuri!
Mimi sipendi mtu wa kuuliza uliza maswali kana kwamba kichwani mwake pamejaa hewa tupu!
Angalau mtu wa kufundisha watoto tuhisabati wakiwa nyumbani!
Mtu hata kuwasha taa hajui mpaka akuulize! Wa nini sasa mwishowe utamtandika makofi kwa kukupandisha ghadhabu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Demu anajua vitu vingi hatari . Mpaka mtu mzima nakosa pozi. Kila kitu anajua yeye.
Demu anamjua Hadi Styles P? Nilikuwa sijui kama mama ake na Styles P ni Mzulu WA South Africa demu ndo kanichana yeye kupitia story.
Demu anamjua mpaka Craig Mack WA New Flavour in Ya Ear.
Demu anamjua mpaka Sylvain Wiltord?
Demu anamjua hadi Dennis Edwin. Unamjua Dennis Edwin wewe? Dennis Edwin ni kipa namba mbili wa Prison ya Mbeya msimu wa 2008/2009 or something.
Demu anamfahamu Hadi Anwar Awadh Yule shombe shombe Half Back WA kushoto wa Dar Es Young Africans way back in 1995.
Demu anajua kwanini Said Mwamba aliitwa Kizota.
Demu anamjua Hadi Mohamed Nyalusi. Unamkumbuka Mohamed Nyalusi wewe?
Demu anamjua Hadi Bruce Seldon.
Demu anamjua Hadi Soko Sugi.
Demu anamjua Hadi Mithun Chakrabothy.
Demu anajua Hadi how Madam Agathe Uwiyilingimana was assassinated in 1994.
Demu anajua Hadi picha la Tridev.
When did u know that lions are nuctornal? She knew it since the days of Pontius of Pilates.
Funny enough she was born in 1994.
Kwenye Mambo ya dini nako hayupo nyuma. She can recite Suratul Yaseen or Ayatul Qursy in as much as she can recite the Lord's Prayer which was taught by Jesus Christ of Nazareth.
She is a much know I say. Kwenye ulozi sasa ndo usiseme. Kuna siku alikuwa anaongea na.mtu kwenye simu akamwambia " mbona unanichimba kama mzizi wa muharaka!!???"
Nikamuuliza, baby unaujua Hadi Muharaka?
After that ndo nikagundua demu yupo conscious Hadi kwenye mambo ya ulozi.
Demu anajua Mambo ya ulozi utafikiri Mjukuu WA Binti Ameer.
Wife material hatakiwagi kuwa mjuaji saaana. She has to be the kind of a lady who will ask you when watching football with her " BABY HIVI HUYO NI CHRIS BROWN EEH ?"
Unamjibu nope baby, huyo anaitwa Theo Walcott.
And she replies: OOH REALLY???
Demu unajua mpaka mistari ya KR
This is too much
Kuna mtu alisema kamwe hawezi oa nurse wala police na hataki mfupi, nikasema kila raheri sasa mkewe ni nurse na ni mfupi bora Ulweso, siku moja baada ya kuoa nikamkumbusha mzee kulikoni eti acha tu ndiyo nilishaoa [emoji23][emoji23][emoji23]Kweli wanaume mtachomwa na moto wa petrol , juzi tu mlisema mnataka wanawake kwenye matako makubwa.
Mkalala usingizi kuamka mkasema wanawake kwenye matako makubwa hawana akili, wana probability kubwa ya kuzaa watoto vilaza.
Leo wanawake wanasheria wajuaji sana hawafai kwa kuoa.
Rafiki yangu alinambia ukifika wakati wa kuoa ni lazima ataoa mwanasheria, akikosekana atalazimika kula doctor.
Nikamuuliza sababu akajibu hawa ndo wanawake wenye akili ambao wana uwezo mkubwa wa Ku argue. Anasema anataka akiongea kitu sometimes apate challenge.
Wewe umepata mwanamke kichwa unafanya kazi unamkataa
Wewe ni nani kumkataa mdada wa hivyo[emoji23][emoji23][emoji23]
94 ni mbali 26yrs hapo degree tayariKasoma wapi?
Huyo ndiyo mzuri hata kuwasha sabufa anauliza awashie wapiMkuu usipate shida, tafuta form four failure muweke ndani
Huyo atakuona wewe ndio mjuvi wa kila kitu na utasujudiwa sana
Samahani mkuu , huo msambwanda kwenye avata yako nimeuelewa...
Kasoma wapi94 ni mbali 26yrs hapo degree tayari
Mkuu haya ila huyo demu kama kweli nikiboko nimemwogopa, amesoma wapi sheria yake, aisee ni hatari π€£π€£T
Tatizo umefikiri matukio yote yametokea siku moja.
πππππππlife haiko fairKuna mtu alisema kamwe hawezi oa nurse wala police na hataki mfupi, nikasema kila raheri sasa mkewe ni nurse na ni mfupi bora Ulweso, siku moja baada ya kuoa nikamkumbusha mzee kulikoni eti acha tu ndiyo nilishaoa [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nachojiwa wanawake wanasheria wanyenyekevu sana kwenye mahusiano. Hili na wewe unalijua ukianzia kwa kiongozi utapata jibuAfrica ni wanaume wachache sana wanaotaka wanawake wa hivyo, wengi wao hawataki wanawake wawape challenge maana hiyo kwao wanaitafsiri as kupandwa kichwani hivyo wengi wao wanataka wale wanawake ambao kila kitu ni "ndiyo mume wangu".
Demu anajua vitu vingi hatari . Mpaka mtu mzima nakosa pozi. Kila kitu anajua yeye.
Demu anamjua Hadi Styles P? Nilikuwa sijui kama mama ake na Styles P ni Mzulu WA South Africa demu ndo kanichana yeye kupitia story.
Demu anamjua mpaka Craig Mack WA New Flavour in Ya Ear.
Demu anamjua mpaka Sylvain Wiltord?
Demu anamjua hadi Dennis Edwin. Unamjua Dennis Edwin wewe? Dennis Edwin ni kipa namba mbili wa Prison ya Mbeya msimu wa 2008/2009 or something.
Demu anamfahamu Hadi Anwar Awadh Yule shombe shombe Half Back WA kushoto wa Dar Es Young Africans way back in 1995.
Demu anajua kwanini Said Mwamba aliitwa Kizota.
Demu anamjua Hadi Mohamed Nyalusi. Unamkumbuka Mohamed Nyalusi wewe?
Demu anamjua Hadi Bruce Seldon.
Demu anamjua Hadi Soko Sugi.
Demu anamjua Hadi Mithun Chakrabothy.
Demu anajua Hadi how Madam Agathe Uwiyilingimana was assassinated in 1994.
Demu anajua Hadi picha la Tridev.
When did u know that lions are nuctornal? She knew it since the days of Pontius of Pilates.
Funny enough she was born in 1994.
Kwenye Mambo ya dini nako hayupo nyuma. She can recite Suratul Yaseen or Ayatul Qursy in as much as she can recite the Lord's Prayer which was taught by Jesus Christ of Nazareth.
She is a much know I say. Kwenye ulozi sasa ndo usiseme. Kuna siku alikuwa anaongea na.mtu kwenye simu akamwambia " mbona unanichimba kama mzizi wa muharaka!!???"
Nikamuuliza, baby unaujua Hadi Muharaka?
After that ndo nikagundua demu yupo conscious Hadi kwenye mambo ya ulozi.
Demu anajua Mambo ya ulozi utafikiri Mjukuu WA Binti Ameer.
Wife material hatakiwagi kuwa mjuaji saaana. She has to be the kind of a lady who will ask you when watching football with her " BABY HIVI HUYO NI CHRIS BROWN EEH ?"
Unamjibu nope baby, huyo anaitwa Theo Walcott.
And she replies: OOH REALLY???
Demu unajua mpaka mistari ya KR
This is too much
Nimeishia kucheka tu.[emoji28][emoji28][emoji28] kwahiyo unataka kusema eti Mama yetu maharufu humu
Bi mkubwa FaizaFoxy alitakiwa awe wa ubani wa mzee baba Kiranga au mtu mzima Pascal Mayalla
Nanukuu tu , Nisichukuliwe hatua[emoji28][emoji28]
Kama anamjua mpka Craig Mack Hebu Nipe namba zake aisee. Akutane na Mwana hip hop mwenzie hapa sio Wewe mbongo flevaDemu anajua vitu vingi hatari . Mpaka mtu mzima nakosa pozi. Kila kitu anajua yeye.
Demu anamjua Hadi Styles P? Nilikuwa sijui kama mama ake na Styles P ni Mzulu WA South Africa demu ndo kanichana yeye kupitia story.
Demu anamjua mpaka Craig Mack WA New Flavour in Ya Ear.
Demu anamjua mpaka Sylvain Wiltord?
Demu anamjua hadi Dennis Edwin. Unamjua Dennis Edwin wewe? Dennis Edwin ni kipa namba mbili wa Prison ya Mbeya msimu wa 2008/2009 or something.
Demu anamfahamu Hadi Anwar Awadh Yule shombe shombe Half Back WA kushoto wa Dar Es Young Africans way back in 1995.
Demu anajua kwanini Said Mwamba aliitwa Kizota.
Demu anamjua Hadi Mohamed Nyalusi. Unamkumbuka Mohamed Nyalusi wewe?
Demu anamjua Hadi Bruce Seldon.
Demu anamjua Hadi Soko Sugi.
Demu anamjua Hadi Mithun Chakrabothy.
Demu anajua Hadi how Madam Agathe Uwiyilingimana was assassinated in 1994.
Demu anajua Hadi picha la Tridev.
When did u know that lions are nuctornal? She knew it since the days of Pontius of Pilates.
Funny enough she was born in 1994.
Kwenye Mambo ya dini nako hayupo nyuma. She can recite Suratul Yaseen or Ayatul Qursy in as much as she can recite the Lord's Prayer which was taught by Jesus Christ of Nazareth.
She is a much know I say. Kwenye ulozi sasa ndo usiseme. Kuna siku alikuwa anaongea na.mtu kwenye simu akamwambia " mbona unanichimba kama mzizi wa muharaka!!???"
Nikamuuliza, baby unaujua Hadi Muharaka?
After that ndo nikagundua demu yupo conscious Hadi kwenye mambo ya ulozi.
Demu anajua Mambo ya ulozi utafikiri Mjukuu WA Binti Ameer.
Wife material hatakiwagi kuwa mjuaji saaana. She has to be the kind of a lady who will ask you when watching football with her " BABY HIVI HUYO NI CHRIS BROWN EEH ?"
Unamjibu nope baby, huyo anaitwa Theo Walcott.
And she replies: OOH REALLY???
Demu unajua mpaka mistari ya KR
This is too much