Jay Milionea
JF-Expert Member
- Apr 19, 2015
- 1,185
- 154
Wewe hauishi wala kwenda chooni bila Ukawa na jero jero zao wanazokulipa kuingia humu jf kuipinga katiba hii nzuri yenye maoni ya makundi yote ya wananchi. Hahahahha piga jero jero zako bhana lkn jua unapoteza tyme yako bureeeeeee. Hii inapita JIJENDE JIKABUJEEEEE!hamuishi ila kwa buk7
Ungelikuwa na upungufu wa damu ningekusaidia walau. Lkn unaupungufu wa akili nkusaidieje na umekuwa mbishi hivo?!Walaumu 6 na chenge walioandika katiba mbovu.
Mimi sina namna ya kukusaidia.
Wachumia matumbo kama nyie wanajijua ndo mana wakikutana humu ndani wanapeana hi kama mfanyavo hapo juu.Pamoja mkubwa !
Mfa maji haachi kutapatapa, naona unatapatapa hapo juu kijana, weka hoja ama jibu hoja au umetumwa kama jini?
Kura ya ndio kwa katiba inayopendekezwa ndio mpango mzima
Wewe hauishi wala kwenda chooni bila Ukawa na jero jero zao wanazokulipa kuingia humu jf kuipinga katiba hii nzuri yenye maoni ya makundi yote ya wananchi. Hahahahha piga jero jero zako bhana lkn jua unapoteza tyme yako bureeeeeee. Hii inapita JIJENDE JIKABUJEEEEE!
Utajiju, we ndo halmashauri ya kichwa changu? Unamtetea unaeje kwani?Tatizo lako una hasira sana
Katiba hii ni ndiyoooooooooooo tuuuuuuu hata kama unapinga itapita tuuuuuuuuuuMnaposhindwa ni padogo sana.
Elezea sababu japo moja tu ya kupiga kura ya ndio.
Pia jibu hoja zilizotolewa.
Hapo utaeleweka
Katiba hii ni ndiyoooooooooooo tuuuuuuu hata kama unapinga itapita tuuuuuuuuuu
We ndugu wa mpango mzima maana yake ndo kusema Katiba Inayopendekezwa lazima ipite! Haya sisi tunasubiri BVR zikamilike tuipigie kura ya ndiyo maana akina Pole pole wametuelimisha vizuri sas tumeielewa kuwa ni ya wananchi na si ya chama wala serikali.Kura ya ndio kwa katiba inayopendekezwa ndio mpango mzima
We ndugu wa mpango mzima maana yake ndo kusema Katiba Inayopendekezwa lazima ipite! Haya sisi tunasubiri BVR zikamilike tuipigie kura ya ndiyo maana akina Pole pole wametuelimisha vizuri sas tumeielewa kuwa ni ya wananchi na si ya chama wala serikali.
Tumia lugha inayoeleweka sema hoja usitake tuwalete BAKITA humu ndani!nyie ndo mnaifanya JF ianze kuonekana imejaza vijana wa kijiweni!Uzi ndo nini???.
Katiba hii ni ndiyoooooooooooo tuuuuuuu hata kama unapinga itapita tuuuuuuuuuu
Mbona nimekuwa nikisoma wakitueleza vipengele mbali mbali kuhusu maudhui ya Katiba Inayopendekezwa ambavyo ni vizuri sana nami vimenifanya nibadili msimamo na kuipenda. Au ulikuwa likizo hukosoma previous posts za hili! Hebu chukua muda upitie mambo kadha wa kadha mazuri jinsi yalivyoainishwa na JF. Ukiwa na hoja zaidi ilete tuijadili.Mnaposhindwa ni padogo sana.
Elezea sababu japo moja tu ya kupiga kura ya ndio.
Pia jibu hoja zilizotolewa.
Hapo utaeleweka
Mbona nimekuwa nikisoma wakitueleza vipengele mbali mbali kuhusu maudhui ya Katiba Inayopendekezwa ambavyo ni vizuri sana nami vimenifanya nibadili msimamo na kuipenda. Au ulikuwa likizo hukosoma previous posts za hili! Hebu chukua muda upitie mambo kadha wa kadha mazuri jinsi yalivyoainishwa na JF. Ukiwa na hoja zaidi ilete tuijadili.
Mnaposhindwa ni padogo sana.
Elezea sababu japo moja tu ya kupiga kura ya ndio.
Pia jibu hoja zilizotolewa.
Hapo utaeleweka