Sababu za kura ya HAPANA kwa Katiba Inayopendekezwa

Sababu za kura ya HAPANA kwa Katiba Inayopendekezwa

Imeweka msisitizo kwenye misingi mikuu ya taifa, Imejali makundi yote ya jamii kwa kueleza hakizao, imetegua kitendawili cha Mgombea Binafsi,Tume huru ya uchaguzi,uchaguzi Mkuu kupingwa mahakamani,ushindi wa zaidi ya 50%, Mahakama zenye mfumo Imara,msisitizo kwa miiko ya uongozi na watumishi wa umma,Mamlaka ya wananchi yako clear,Muundo wa Muungano uko poa yapo kibao mengine soma bwana kwani si unayo softcopy au hardcopy!
Uliza maswali mengine na ulitaka kitu hicho uanze ligi karibu!

Ni ibara zipi hizo ?
Weka refference.
Otherwise it be a cookie of nonsense and trash
 
Ni ibara zipi hizo ?
Weka refference.
Otherwise it be a cookie of nonsense and trash

Kwani huna copy ya Katiba ukasoma mwenyewe au umezoea kumezeshwa kila kitu,go,search,read and understand!na nia yako sio kwamba utajiwe vifungu yu have something behind yu!characteristic za mtu makini ni kuwa straight otherwise stay back!
 
Mkuu usipoteze muda na hao mavuvuzela bendera fuata upepo.
Hawana uwezo wa kusoma na kuelewa katiba, hawana uwezo wa kuweka referrence.

Katiba ni kura ya HAPANA.
Pamoja sana

Hujaelewa hoja usidandie yasiyokuhusu!tulia na pumzika nyumbani kwako umechoshwa na pilika za leo!
 
Mkuu usipoteze muda na hao mavuvuzela bendera fuata upepo.
Hawana uwezo wa kusoma na kuelewa katiba, hawana uwezo wa kuweka referrence.

Katiba ni kura ya HAPANA.
Pamoja sana

Kweli kaka, kashindwa kuweka reference.
Watu wengine mizigo sana !
 
Kweli kaka, kashindwa kuweka reference.
Watu wengine mizigo sana !

Reference: Katiba Inayopendekezwa,Bunge Maalum la Katiba (BMK),Oktoba, 2014 Dodoma-Tanzania.

Ongeeni lingine,tafuteni na msome mmeshazoea madesa na kudesa!
 
wewe hauishi wala kwenda chooni bila ukawa na jero jero zao wanazokulipa kuingia humu jf kuipinga katiba hii nzuri yenye maoni ya makundi yote ya wananchi. Hahahahha piga jero jero zako bhana lkn jua unapoteza tyme yako bureeeeeee. Hii inapita jijende jikabujeeeee!
natamani ningefahamu umri wenu nijue kwa kiwango gani mnaweza kuwa objective katika hoja zenu
 
Ni ibara zipi hizo ?
Weka refference.
Otherwise it be a cookie of nonsense and trash
Wewe acha uvivu usitake utafuniwe kila kitu. Soma Katiba Inayopendekezwa. Nakala zipo mtaani na wewe inaonekana ni mtaalam wa mtandao soma softcopy ya Katiba hiyo.
 
Katiba inayopendekezwa kwa maendeleo endelevu,jitokeze kujiandikisha na kushiriki kura ya maoni wakati utakapofika
 
Katiba inayopendekezwa kwa maendeleo endelevu,jitokeze kujiandikisha na kushiriki kura ya maoni wakati utakapofika
 
Kura ya ndio katiba mpyaaa.
Muungano wetu udumuu.
Leo watu na mataifa yanaungana eti sisi tutengane kisa uchu wa madaraka????
 
Kura ya ndio katiba mpyaaa.
Muungano wetu udumuu.
Leo watu na mataifa yanaungana eti sisi tutengane kisa uchu wa madaraka????
Sawa sawa kamanda, suala sasa ni kuisoma, kuielewa na kuipogi akura ya ndiyo hapo NEC wakishatangaza rasmi tarehe ya kuipigia kura ya maoni kwa katiba hii.
 
Jitokeze kujiandikisha ili uweze kushiriki kupiga kura ya maoni kwa kupiga kura ya ndio ili tupate katiba mpya
 
jana nimeona pale uwanjani kwenye sherehe za MUUNGANO CCM kwa kutumia kivuli cha serikali ikinadi KATIBA MPYA kwa kuwataka wananchi wapige kura ya NDIO bado nazidi kupata mshangao hivii hii kura ya KATIBA YA CHENGE bado inapigiwa debe tu!!!?? kwanza itapigwa lini maana naona kama imekufa! na ni halali yule mama kuinadi pale uwanjani kura ya ndio kwa katiba pendezwa? nashauri kwa wale wa kura ya HAPANA waanze nao kuhamasisha wananchi kama itatokea hiyo siku wananchi wapate fursa ya kupiga kura basi wapige kura yaHAPANA.
 
Sawa sawa kamanda, suala sasa ni kuisoma, kuielewa na kuipogi akura ya ndiyo hapo NEC wakishatangaza rasmi tarehe ya kuipigia kura ya maoni kwa katiba hii.
NYIE WAGONJWA WA KATIBA YA CHENGE BADO MPOO😛eace:😛eace:
 
Tanzania ya sasa na ijayo inakutegemea,jitokeze kujiandikisha ili uweze kushiriki kura ya maoni kwa kuipigia kura ya ndio katiba inayopendekezwa.
 
Reference: Katiba Inayopendekezwa,Bunge Maalum la Katiba (BMK),Oktoba, 2014 Dodoma-Tanzania.

Ongeeni lingine,tafuteni na msome mmeshazoea madesa na kudesa!

Najua huwezi kuweka rejea maana hakuna kifungu cha maana ktk hiyo katiba ya chenge.
 
Back
Top Bottom