Sababu za kura ya HAPANA kwa Katiba Inayopendekezwa

Sababu za kura ya HAPANA kwa Katiba Inayopendekezwa

sasa hiyo idadi ninayoisikia kwenye vyombo vya habar na wasomi wengi kuwa idadi haizid 390 inatoka wapi?.pili wakat nafuatilia BMK nilikuwa nasikia wabunge wakisema katiba itaje idadi isizid wabunge 360

Usipende san kusikia bila kufuatilia mambo. Sikia, fuatilia na soma yaliyoandikwa kwnye Katiba Inayopendekezwa imeeleza utaratibu mzima utakavyokuwa. Wapo Wabunge wa kuchaguliwa na wa kuteuliwa. Idadi ya Wabunge wa kuchaguliwa itatokana na majimbo ya uchaguzi yatakayotangazwa na Tume Huru ya Uchaguzi. Maneno yasikusumbue soma katiba hiyo ili upate majibu sahihi nakuondokana na nasikia, nasikia, nasikia. Chukua hatua soma ndg yangu wasikupelekepeleke bila ridhaa yako.
 
ndg nilifuatilia sana bunge maalumu la katiba ndo maana nauliza kwanini kuwe natofauti hiyo kwani kilichojadiliwa ndicho kilichochapwa kwenye katiba inayo pendekezwa.kuisoma tu haitoshi lazima kutafuta na ushaur maana hili swala sio sawa na kusoma gazeti la udaku.pia tofauti zetu tukizitumia vizur tutafika vizur tena kwa pamoja na salama kwani la msingi ni kutafakar kuwa yanayotutofautisha yana maslah kwa nchi au inapigiwa kifua ili kulinda maslah ya wachache.
 
ndg nilifuatilia sana bunge maalumu la katiba ndo maana nauliza kwanini kuwe natofauti hiyo kwani kilichojadiliwa ndicho kilichochapwa kwenye katiba inayo pendekezwa.kuisoma tu haitoshi lazima kutafuta na ushaur maana hili swala sio sawa na kusoma gazeti la udaku.pia tofauti zetu tukizitumia vizur tutafika vizur tena kwa pamoja na salama kwani la msingi ni kutafakar kuwa yanayotutofautisha yana maslah kwa nchi au inapigiwa kifua ili kulinda maslah ya wachache.

Nkesh aka Nkeshimana isome tena na tena na kama huelewi omba msaada hapa JF, Bunge linafanya kazi kwa utaratibu na kuna taarifa rasmi za bunge hakuna namna yoyote ya majadiliano ya BMK kutoingizwa kwenye Katiba inayopendekezwa, sio sawa! Hao wanaosoma gazeti la udaku wanaelewa wanachokisoma na ndo maana wananunua wape heshima yao, na taarifa zinazoandikwa zimefanyiwa kazi na ndio maana wahusika wanaoandikwa hawaendi mahakamani jifunze kutafakari kwa makini usikurupuke!
 
Goodpoor huna jipya,kasome mwenyewe usisubiri kuambiwa we vipi?

Tatizo lako una jazba sana.
Mimi nimeishaisoma ndio maana nimeweka maoni yangu na rejea kadhaa (ibara) kuwa katiba hiyo haifai, ni ya kuipigia HAPANA.
 
Kuna sababu nyingi za kuipigia kura ya hapana katiba inayopendekezwa.
Kati ya sababu hizo ni ubatili wa mchakato wenyewe ambao ulihodhiwa na ccm, kutokuwa na sifa za msingi za katiba, kutokuwa na muafaka wa kitaifa zaidi ya kulinda maslahi ya ccm na baadhi ya wabunge hasa wasio na elimu na uwezo, kuacha mambo yote ya msingi yaliyopendekezwa na wananchi nk.

Lakini pia katika kuipitia katiba yenyewe inayopendekezwa nimeona mapungufu mengi, hasa katika muundo wa serikali ambao una mikanganyiko mingi ibara za 1(1), 75, 76, 77 na 163.

Inaruhusu viongozi wa umma kuwa na fedha nje ya nchi ( ie issue km ya vijisenti vya chenge haitokuwa kashfa tena) ibara 29(2)(b).

Katiba hii pia bado inapingana katika maeneo mengi na Katiba ya Zanzibar ya mwaka (1984) toleo la 2010.

Tume huru ya uchaguzi ni jina tu, lakini sio huru - viongozi wake wote wanateuliwa na Rais ambaye ni mwenyekiti wa ccm - Ibara 217(2) na 222(1).

Nadhani ilikuwa vema kwa Bunge Maalumu kuzingatia maoni ya Tume ya Jaji Warioba.

Uchambuzi mzuri sana.
Tunataka katiba inayoweka separation of powers baina ya Mahakama, Bunge na Serikali.
 
Tatizo lako una jazba sana.
Mimi nimeishaisoma ndio maana nimeweka maoni yangu na rejea kadhaa (ibara) kuwa katiba hiyo haifai, ni ya kuipigia HAPANA.

Wewe ndo unajaziba kila kitu kiko wazi tunasubiri kujiandikisha afu tukapige kura!
 
Uchambuzi mzuri sana.
Tunataka katiba inayoweka separation of powers baina ya Mahakama, Bunge na Serikali.

Hujaelewa kitu hapo uko too general mzuri kivipi toa maoni yako!kama mwenzio kaingia shimoni na wewe unafuata!Mgawanyo wa madaraka unaoutaka wewe upi hukusoma wewe.
 
Kuna sababu nyingi za kuipigia kura ya hapana katiba inayopendekezwa.
Kati ya sababu hizo ni ubatili wa mchakato wenyewe ambao ulihodhiwa na ccm, kutokuwa na sifa za msingi za katiba, kutokuwa na muafaka wa kitaifa zaidi ya kulinda maslahi ya ccm na baadhi ya wabunge hasa wasio na elimu na uwezo, kuacha mambo yote ya msingi yaliyopendekezwa na wananchi nk.

Lakini pia katika kuipitia katiba yenyewe inayopendekezwa nimeona mapungufu mengi, hasa katika muundo wa serikali ambao una mikanganyiko mingi ibara za 1(1), 75, 76, 77 na 163.

Inaruhusu viongozi wa umma kuwa na fedha nje ya nchi ( ie issue km ya vijisenti vya chenge haitokuwa kashfa tena) ibara 29(2)(b).

Katiba hii pia bado inapingana katika maeneo mengi na Katiba ya Zanzibar ya mwaka (1984) toleo la 2010.

Tume huru ya uchaguzi ni jina tu, lakini sio huru - viongozi wake wote wanateuliwa na Rais ambaye ni mwenyekiti wa ccm - Ibara 217(2) na 222(1).

Nadhani ilikuwa vema kwa Bunge Maalumu kuzingatia maoni ya Tume ya Jaji Warioba.


Ha ha ha ha Goodpoor bado sana jifunze na utulie usilete UKAWA NA MAMBO YA CCM KWENYE KATIBA INAYOPENDEKEZWA SIO YA VYAMA!
 
Uchambuzi mzuri sana.
Tunataka katiba inayoweka separation of powers baina ya Mahakama, Bunge na Serikali.
Hujaelewa kitu hapo uko too general mzuri kivipi toa maoni yako!kama mwenzio kaingia shimoni na wewe unafuata!Mgawanyo wa madaraka unaoutaka wewe upi hukusoma wewe.

Nani kakupangia jukwaa hili ?
Unalipwa fedha za bure maana upstairs kweupe!
Unajua maana ya Separation of powers (kutenganisha mamlaka) anayoongelea Martinez ?

...au we unachojua ni mgawanyo tu
 
Last edited by a moderator:
Mwakaboko Queeen !!,
I need you to answer for me this one question so I can determine your scope of understanding.

What do you understand by the concept of separation of powers ?
 
Mwakaboko Queeen !!,
I need you to answer for me this one question so I can determine your scope of understanding.

What do you understand by the concept of separation of powers ?
Sasa kama we unajua majibu ya hilo swali kwanini unamuuliza hatuko class hapa, chamsingi we uelewe alichokisema hapo mwanzo
 
Tatizo lako una jazba sana.
Mimi nimeishaisoma ndio maana nimeweka maoni yangu na rejea kadhaa (ibara) kuwa katiba hiyo haifai, ni ya kuipigia HAPANA.
Usiwe mvivu kama ukivyokawa kuke Olevel kiasi kikakupelekea kufeli pepa zako za Necta ya Form 4, maoni yako hapo juu yote yanaonekana ni pumba maana majibu yake yamo vyema kwenye katiba, we unasema haifaia ya kwako nzuri iko wapi? Yetu sisi watanzania ndo hiyo hapo sasa wewe endelea kupiga kelele tu tuone kama utafika na ubishi wako huo.
 
Usiwe mvivu kama ukivyokawa kuke Olevel kiasi kikakupelekea kufeli pepa zako za Necta ya Form 4, maoni yako hapo juu yote yanaonekana ni pumba maana majibu yake yamo vyema kwenye katiba, we unasema haifaia ya kwako nzuri iko wapi? Yetu sisi watanzania ndo hiyo hapo sasa wewe endelea kupiga kelele tu tuone kama utafika na ubishi wako huo.

Sasa hapo mvivu nani ?
Kuwa mkweli.
Jamaa amemwaga facts na points za ukweli with logical references.
Namkubali na nitapiga kura ya HAPANA.
 
Sasa hapo mvivu nani ?
Kuwa mkweli.
Jamaa amemwaga facts na points za ukweli with logical references.
Namkubali na nitapiga kura ya HAPANA.
yani wewe na huyo unayemtetea mnaonekana jinsi gani mlivyo wavivu, najua umetumwa kuunga mkono upotoshwaji wa kuipinga katiba hii ilojaaa mambo mazuri, soma usipende kusomewa na kuwa mshabiki wa mambo usiyoyajua.
 
Bw. Dragunov Sniper, jibu kwa hoja matusi ya nini? Kama unaiubali katiba pendekezwa toa hoja.
Wewe unamwambia mwenzio kama anaikubali hiyo katiba atoe hoja, na wewe weka hoja zako za kuipinga ili watu wakueleweshe, maana usiwe mtu wa kubwabwaja pasipo mantiki, jiangalie wewe kwanza ndo wengine wafate.
 
Nani kakupangia jukwaa hili ?Unalipwa fedha za bure maana upstairs kweupe!Unajua maana ya Separation of powers (kutenganisha mamlaka) anayoongelea Martinez ?...au we unachojua ni mgawanyo tu
Bw. Gamba la Chuma, Separation of power inaanzia kwenye uundwaji wa miimili yenyewe ya serikali. Kama Mihimili ya Mahakama na Baraza la Mawaziri inaunsda kwa uteuzi wa Mh. Rais, ni vigumu sana kuwa na separation of powers kutokana na kukosekana kwa objectivity. Hii inatokana na sababu kuwa Rais atafanya uteuzi kwa kulinda Maslahi ya chama au ya kwake binafsi, kama ilivyokuwa kwa akina makonda, n.k. NB: kwa kuwa haya ni mamlaka ya kikatiba hili laweza kufanywa na Raisi yeyyote hata awe wa UKAWA.
 
Last edited by a moderator:
Bw. Gamba la Chuma, Separation of power inaanzia kwenye uundwaji wa miimili yenyewe ya serikali. Kama Mihimili ya Mahakama na Baraza la Mawaziri inaunsda kwa uteuzi wa Mh. Rais, ni vigumu sana kuwa na separation of powers kutokana na kukosekana kwa objectivity. Hii inatokana na sababu kuwa Rais atafanya uteuzi kwa kulinda Maslahi ya chama au ya kwake binafsi, kama ilivyokuwa kwa akina makonda, n.k. NB: kwa kuwa haya ni mamlaka ya kikatiba hili laweza kufanywa na Raisi yeyyote hata awe wa UKAWA.
Kisa Ukawa wamekupa kazi ya kuingia humu ndani kwa jero jero basi ndo unaongea huo upuuzi, hahaha umechemsha kweli bwana Kobe mzee, naona umeishiwa hoja, na umekataa kuweka hoja ya maana sasa umejifanya kuongelea mambo ya separayion of powers, acha umbeya wewe wa kupotosha watu humu, Ukawa wameshafulia kitambo waone sasahv wanavyotangatanga wakigombea majimbo na vyeo.
 
Kisa Ukawa wamekupa kazi ya kuingia humu ndani kwa jero jero basi ndo unaongea huo upuuzi, hahaha umechemsha kweli bwana Kobe mzee, naona umeishiwa hoja, na umekataa kuweka hoja ya maana sasa umejifanya kuongelea mambo ya separayion of powers, acha umbeya wewe wa kupotosha watu humu, Ukawa wameshafulia kitambo waone sasahv wanavyotangatanga wakigombea majimbo na vyeo.

Bw. Jay Milionea bahati mbaya sina chama mimi ni MTANZANIA; na ndo'mana ID yangu haina post nyingi ka'zako japo ina miaka 5, kwa sababu huwa sikurupiki natoa hoja. Wewe ambaye unashinda JF na kuropoka bila kutoa hoja sijui hatima yako ni ipi. Pia sidhani kama hata hiyo rasimu ya Katiba pendekezwa umeisoma Bw. Jay Milionea?
 
Nani kakupangia jukwaa hili ?
Unalipwa fedha za bure maana upstairs kweupe!
Unajua maana ya Separation of powers (kutenganisha mamlaka) anayoongelea Martinez ?

...au we unachojua ni mgawanyo tu


Asante kwa kunikubali na unatambua uwepo wangu,gamba la udongo likinyeshewa na mvua linabomoka!!!!!!!

image.jpg
 
Back
Top Bottom