Gamba la Chuma
JF-Expert Member
- Feb 11, 2012
- 1,243
- 342
KABLA HUJASOMA HIYO YA fisadi CHENGE aka MAKENGEZA soma hii hapa
View attachment 247157
Mwisho wa siku lazima turudi kw rasimu ya Warioba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KABLA HUJASOMA HIYO YA fisadi CHENGE aka MAKENGEZA soma hii hapa
View attachment 247157
pigia kura ya HAPANA katiba ya FISADI CHENGE & CoTanzania ya sasa na ijayo inakutegemea,jitokeze kujiandikisha ili uweze kushiriki kura ya maoni kwa kuipigia kura ya ndio katiba inayopendekezwa.
Mwisho wa siku lazima turudi kw rasimu ya Warioba
pigia kura ya HAPANA katiba ya FISADI CHENGE & Co
Utarudi mwenyewe kwa babu sisi na Katiba mpya hakun kurudi nyuma.
pigia kura ya HAPANA katiba ya FISADI CHENGE & Co
Ndio wamekupangia kushinda jukwaa la katiba ?
Basi jitahidi kuwa logical zaidi badala ya kubadilibadili IDs na kutoa pumba zilezile.
Pia punguza jazba na hasira
Toa sababu japo moja tu.
Ht kama ingekuwa nzuri,ilmradi chenge alihusika kuiandika basi Haifai.
Kama lazima ipite kwa njia mnazofaham nyie yann kuitangaza tuipigie kura ya ndio?
Katika Katiba Inayopendekezwa idadi ya wabunge haikutajwa. Kwa kujiridhisha na kuelewa masuala ya Bunge soma kuanzia ibara 139 hadi ya 162. Vinginevyo Katiba Inayopendekezwa ni muhimu kuipigia kura ya ndiyo.:yo:jamani naomba mnisaidie ibara inayotaja idadi ya wa bunge maana sijaiona .
jamani naomba mnisaidie ibara inayotaja idadi ya wa bunge maana sijaiona .
Wewe ndugu elewa kuwa hakuna anaelazimishwa humu ndani, bali unaelimishwa juu ya mambo mazuri yaliyomo ndani ya katiba inayopendekezwa, heee vp wewe mbna unataka kupotosha umma?Kama lazima ipite kwa njia mnazofaham nyie yann kuitangaza tuipigie kura ya ndio?
Katika Katiba Inayopendekezwa idadi ya wabunge haikutajwa. Kwa kujiridhisha na kuelewa masuala ya Bunge soma kuanzia ibara 139 hadi ya 162. Vinginevyo Katiba Inayopendekezwa ni muhimu kuipigia kura ya ndiyo.:yo: