Sababu za kura ya HAPANA kwa Katiba Inayopendekezwa

Sababu za kura ya HAPANA kwa Katiba Inayopendekezwa

hamuishi ila kwa buk7
Wewe hauishi wala kwenda chooni bila Ukawa na jero jero zao wanazokulipa kuingia humu jf kuipinga katiba hii nzuri yenye maoni ya makundi yote ya wananchi. Hahahahha piga jero jero zako bhana lkn jua unapoteza tyme yako bureeeeeee. Hii inapita JIJENDE JIKABUJEEEEE!
 
Hasira na papara zako zimesababisha mpaka watu wajue IDs zako zote dada Claudiaeliakimu.

Kumbe kwenye huu uzi anayeunga mkono katiba ya chenge ni mtu mmoja tu mwenye IDs tofauti.

Kumbe huyo Claudiaeliakimu huwa anaanzisha thread na kujijibu mwenyewe
Mfa maji haachi kutapatapa, naona unatapatapa hapo juu kijana, weka hoja ama jibu hoja au umetumwa kama jini?
 
Katiba inayopendekezwa ndio mpango mzima wa 2015,jitokeze kujiandikisha ili uweze kushirki kura ya maoni kwa kupiga kura ya ndio ,tanzania ni kisiwa cha amani,tuienzi amani hiyo kwa kushiriki kikamilifu kupiga kura ya maoni wakati utakapofika
 
Wewe hauishi wala kwenda chooni bila Ukawa na jero jero zao wanazokulipa kuingia humu jf kuipinga katiba hii nzuri yenye maoni ya makundi yote ya wananchi. Hahahahha piga jero jero zako bhana lkn jua unapoteza tyme yako bureeeeeee. Hii inapita JIJENDE JIKABUJEEEEE!

Tatizo lako una hasira sana
 
Kura ya ndio kwa katiba inayopendekezwa ndio mpango mzima
We ndugu wa mpango mzima maana yake ndo kusema Katiba Inayopendekezwa lazima ipite! Haya sisi tunasubiri BVR zikamilike tuipigie kura ya ndiyo maana akina Pole pole wametuelimisha vizuri sas tumeielewa kuwa ni ya wananchi na si ya chama wala serikali.
 
We ndugu wa mpango mzima maana yake ndo kusema Katiba Inayopendekezwa lazima ipite! Haya sisi tunasubiri BVR zikamilike tuipigie kura ya ndiyo maana akina Pole pole wametuelimisha vizuri sas tumeielewa kuwa ni ya wananchi na si ya chama wala serikali.

BVR hata sio za kusubiri we jipange kisaikolojia kuipa ridha katiba inayopendekezwa usipoteze muda wako!
 
Mnaposhindwa ni padogo sana.
Elezea sababu japo moja tu ya kupiga kura ya ndio.
Pia jibu hoja zilizotolewa.
Hapo utaeleweka
Mbona nimekuwa nikisoma wakitueleza vipengele mbali mbali kuhusu maudhui ya Katiba Inayopendekezwa ambavyo ni vizuri sana nami vimenifanya nibadili msimamo na kuipenda. Au ulikuwa likizo hukosoma previous posts za hili! Hebu chukua muda upitie mambo kadha wa kadha mazuri jinsi yalivyoainishwa na JF. Ukiwa na hoja zaidi ilete tuijadili.
 
Mbona nimekuwa nikisoma wakitueleza vipengele mbali mbali kuhusu maudhui ya Katiba Inayopendekezwa ambavyo ni vizuri sana nami vimenifanya nibadili msimamo na kuipenda. Au ulikuwa likizo hukosoma previous posts za hili! Hebu chukua muda upitie mambo kadha wa kadha mazuri jinsi yalivyoainishwa na JF. Ukiwa na hoja zaidi ilete tuijadili.

Taja jambo moja tu utushawishi.
 
Mnaposhindwa ni padogo sana.
Elezea sababu japo moja tu ya kupiga kura ya ndio.
Pia jibu hoja zilizotolewa.
Hapo utaeleweka

Imeweka msisitizo kwenye misingi mikuu ya taifa, Imejali makundi yote ya jamii kwa kueleza hakizao, imetegua kitendawili cha Mgombea Binafsi,Tume huru ya uchaguzi,uchaguzi Mkuu kupingwa mahakamani,ushindi wa zaidi ya 50%, Mahakama zenye mfumo Imara,msisitizo kwa miiko ya uongozi na watumishi wa umma,Mamlaka ya wananchi yako clear,Muundo wa Muungano uko poa yapo kibao mengine soma bwana kwani si unayo softcopy au hardcopy!
Uliza maswali mengine na ulitaka kitu hicho uanze ligi karibu!
 
Back
Top Bottom