Sababu za kwanini MaT.O (Tanzania one) hawafanikiwi kimaisha!?


Hiyo B'nes law kuna muhindi mmoja namkumbuka kwenye UE alitupa Swali la Scenario kwenye Hire purchase yani mpaka leo naotaga nipo Chumba cha mtihani halaf nimebaki peke yangu sina nilichojaza naambiwa zimebaki nusu saa..
 
Ipite tu mm nishajizoelea tu halafu kama wanajua wananikomoa mm wala hawanikomoi na ban zao za uonevu
[emoji1] [emoji1] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wakukomoe kwani ukipigwa ban huli,hunyi,halali?
 
Mvumilivu hula mbivu mimi nimrfunzwa kuvumilia bana namvumilia injinia wangu
Naamini hawezi kuniumbua Kwa kutuma hiyo hela.

Nawajua Mainjinia wa aina CCNP engineer wamefulia sana....yaani asubuhi asubuhi huko site wanafakamia mapera na sungwi. [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Njaa Kali!
 
Hiyo B'nes law kuna muhindi mmoja namkumbuka kwenye UE alitupa Swali la Scenario kwenye Hire purchase yani mpaka leo naotaga nipo Chumba cha mtihani halaf nimebaki peke yangu sina nilichojaza naambiwa zimebaki nusu saa..
yaani mimi hilo somo hapana kwa kweli ndo maana sikuwezaga kusoma HKL za kina humble
 
Waoooo thats why i love you injinia i have accepted your terms and conditions i will zip my mouth (japo nawaza ile laki ingine naipataje)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…