kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,500
- 5,164
Shunie sungwi ni matunda fulani hivi meusi yana tetere ndani mimi sijawahi kuyaelewa japo watu wa kule wanayapenda sana@amu na Mama Sabrina wana background ya Mwanza wanazijua sungwi kwa uzuri...wanisaidie kukufafanulia maana sijui hata nizielezeeje sungwi.
Ahahaha!! We dogo tapeli sana na nakwambia huna akili fupi kama maisha ya funza kila siku. Yaani umetaka kujificha kwenye hoja dhaifu kama mtu anaejificha pembeni ya jiko la mkaa akiamini haonekani. [emoji23]Angalizo:
amu naomba pindi utakapopokea ahadi yangu usitangaze public kuwa nimekutumia pesa yoyote ile.
kuna vimbulu (paka shume) wamesimamisha masikio yao wanasubiri useme umetumiwa pesa na Engineer waanze kubwatuka kuwa najionesha, najidai.
Engineers' we don't talk shit. We use 90% of our time to plan, design, implement then we let the society judge our work.
Thanks for being patient. Chao.
Hahahaaha......aysee nimecheka sana @CCCP ENGINEER we are in the same field of engineering but kwa ninayo yaona kwa huyu jamaa kubali yaishe humuwezi.Ahahaha!! We dogo tapeli sana na nakwambia huna akili fupi kama maisha ya funza kila siku. Yaani umetaka kujificha kwenye hoja dhaifu kama mtu anaejificha pembeni ya jiko la mkaa akiamini haonekani. [emoji23]
Dhumuni ni kutaka kujiridhisha kama kweli mainjinia, MaTO ni successful kweli? kwa task moja nyepesi sana ya wewe kumtandika huyu mtoto mzuri amu na misimbazi mitano tu.. unaneng'eneka...ohooo usintanganye kwa wantyu nikikupa nyela...! Nyumbundaya mkubwa wewe.
Ampe hamsini hadharani na Mimi nampa laki hadharani! Simple as that!
Engineer wewe unajua vitu viwili tu...kujamba kwenye daladala, kupiga punyeto na kubet. [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamaniAngalizo:
amu naomba pindi utakapopokea ahadi yangu usitangaze public kuwa nimekutumia pesa yoyote ile.
kuna vimbulu (paka shume) wamesimamisha masikio yao wanasubiri useme umetumiwa pesa na Engineer waanze kubwatuka kuwa najionesha, najidai.
Engineers' we don't talk shit. We use 90% of our time to plan, design, implement then we let the society judge our work.
Thanks for being patient. Chao.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jamani kaahWaoooo thats why i love you injinia i have accepted your terms and conditions i will zip my mouth (japo nawaza ile laki ingine naipataje)
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]Ahahaha!! Atakuwa kaishakimbia kama Harmo rapa alipoona ile bastola aliyotolewa Nape....walimkamatia Pale Mazimbu. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
HKL sikuwezi aiseeeh!Ahahaha!! We dogo tapeli sana na nakwambia huna akili fupi kama maisha ya funza kila siku. Yaani umetaka kujificha kwenye hoja dhaifu kama mtu anaejificha pembeni ya jiko la mkaa akiamini haonekani. [emoji23]
Dhumuni ni kutaka kujiridhisha kama kweli mainjinia, MaTO ni successful kweli? kwa task moja nyepesi sana ya wewe kumtandika huyu mtoto mzuri amu na misimbazi mitano tu.. unaneng'eneka...ohooo usintanganye kwa wantyu nikikupa nyela...! Nyumbundaya mkubwa wewe.
Ampe hamsini hadharani na Mimi nampa laki hadharani! Simple as that!
Engineer wewe unajua vitu viwili tu...kujamba kwenye daladala, kupiga punyeto na kubet. [emoji23]
Hapana hawa watani wa jadi tu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji16][emoji16]nyie huyu Humble African sio pugi kweli??π±π±π±πππ
Engineer Dimension kuna kila dalili wewe ukawa modern with professionalism ya kutosha kabisa....avatar yako inazungumza mengi mazuri sana kabla sijakufukua zaidi kwa kutumia psychodynamic theory kukujua kwa undani zaidi. Huko perfect!Hahahaaha......aysee nimecheka sana @CCCP ENGINEER we are in the same field of engineering but kwa ninayo yaona kwa huyu jamaa kubali yaishe humuwezi.
@Rebeca 83 huwa tunaheshimiana sana... Nimekusamehe bure!nyie huyu Humble African sio pugi kweli??π±π±π±πππ
Mkuu Rebecca 83 kaa pembeni mama usicheze karibu na barabara haya magari hayana breki aisee yasije yakakupitia.nyie huyu Humble African sio pugi kweli??π±π±π±πππ
Padri mcharo mcharuko katika ubora wakoAngalizo:
amu naomba pindi utakapopokea ahadi yangu usitangaze public kuwa nimekutumia pesa yoyote ile.
kuna vimbulu (paka shume) wamesimamisha masikio yao wanasubiri useme umetumiwa pesa na Engineer waanze kubwatuka kuwa najionesha, najidai.
Engineers' we don't talk shit. We use 90% of our time to plan, design, implement then we let the society judge our work.
Thanks for being patient. Chao.
Mkuu Humble African mtoe huyo Engineer wako ktk kazi yetu pendwa ya BETTING,Kiufupi haijui ndo maana ilimshinda akakimbia labda huko kujamba na Puli yuko vizuri.Ahahaha!! We dogo tapeli sana na nakwambia huna akili fupi kama maisha ya funza kila siku. Yaani umetaka kujificha kwenye hoja dhaifu kama mtu anaejificha pembeni ya jiko la mkaa akiamini haonekani. [emoji23]
Dhumuni ni kutaka kujiridhisha kama kweli mainjinia, MaTO ni successful kweli? kwa task moja nyepesi sana ya wewe kumtandika huyu mtoto mzuri amu na misimbazi mitano tu.. unaneng'eneka...ohooo usintanganye kwa wantyu nikikupa nyela...! Nyumbundaya mkubwa wewe.
Ampe hamsini hadharani na Mimi nampa laki hadharani! Simple as that!
Engineer wewe unajua vitu viwili tu...kujamba kwenye daladala, kupiga punyeto na kubet. [emoji23]
Mkuu, amini usiamini magenius wengi ni rahisi kuwa vichaa kuliko vilaza. Kuna jamaa mmoja pia pale kjijini kwetu alikuwa kipanga cha kukata na shoka, sasa hivi anaokota chupa jalalani. Sijui hata inakuwaje mpaka inakuwa hivi.Hahahahhaha kuna kaka mmoja tumesoma wote alivyofanya mtihani wa form six amekuwa kichaaa mpaka leo na matokeo yalitoka safiii PCM
Msamehe bure huyo bebe wangu.....@Rebeca 83 huwa tunaheshimiana sana... Nimekusamehe bure!
aiseee hii kitu inaumiza sana ndugu yangu hasa uwe unamjua mtuMkuu, amini usiamini magenius wengi ni rahisi kuwa vichaa kuliko vilaza. Kuna jamaa mmoja pia pale kjijini kwetu alikuwa kipanga cha kukata na shoka, sasa hivi anaokota chupa jalalani. Sijui hata inakuwaje mpaka inakuwa hivi.