Humble African
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 4,781
- 14,415
- Thread starter
-
- #441
Ahahahaha!!...kwa madaraka niliyopewa na jamhuri nambakiza kwenye fani zake za muda mrefu anazozijua kwa ustadi mkubwa kujamba kwenye daladala kwa siri na kupiga puli.Mkuu Humble African mtoe huyo Engineer wako ktk kazi yetu pendwa ya BETTING,Kiufupi haijui ndo maana ilimshinda akakimbia labda huko kujamba na Puli yuko vizuri.
@Rebeca 83 huwa tunaheshimiana sana... Nimekusamehe bure!
[emoji23][emoji39][emoji23][emoji23] nakufatiliaga kimya kimya, sikuwahi kuhisi unaweza kua na side hii,nimecheka mno mkuu!Engineer akiwa site anatafakari jinsi ya kutoa elfu hamsini taslimu! Roho inakubali....roho inakataa!
Ahahaha!! Na suruali lake kama lile linguo la kupitishia na kukung'utia unga mashineni! [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] View attachment 824440
Unamaanisha Shoga???
Yaani ana mahusiano ya kimapenzi na wanaume wenzie???
You never know... Na kwa kuwa wewe ni mwanamke, mpaka umefikia kuhisi hivi bila shaka kuna dalili utakua umeziona. Mimi sitaki kuongeza neno.
Nimekuelewa mkuu! Namfahamu kwa kina tu, ni mtu makini na mwelewa sana.Msamehe bure huyo bebe wangu.....
Hayo mambo ya kuitana pugi awaachie wale wadada wengine nahisi atakuwa kateleza namjua vyema she dont fit on those word kabisa.....
So Humble African mkaushie shemeji wako......
Kabisa atoke na asije kwenye ule Uzi wetu maana kazi haijui anabaki kuupotosha umma tu wakati betting wengine inatufanya tuheshimike mjini,Wakati wengine wananunua Coaster 2 kwa jumla ya M90+ ili waweze kulaza hesabu ya Tsh 200K kwa siku sie TUNAWEKEZA Tsh 200K na tunalaza 300K net profit after Tax halafu yeye anapotosha kutokana na kuvamia kwake fani asiyoijua.Ahahahaha!!...kwa madaraka niliyopewa na jamhuri nambakiza kwenye fani zake za muda mrefu anazozijua kwa ustadi mkubwa kujamba kwenye daladala kwa siri na kupiga puli.
Kuanzia Leo hata ule Uzi wa kubet usitembelee bombardia mkubwa wewe. Injinia majalala.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]@Rebeca 83 huwa tunaheshimiana sana... Nimekusamehe bure!
Msamehe bure huyo bebe wangu.....
Hayo mambo ya kuitana pugi awaachie wale wadada wengine nahisi atakuwa kateleza namjua vyema she dont fit on those word kabisa.....
So Humble African mkaushie shemeji yako......
Watu wengi huwa nawasuprise sana maana hata sura yangu ni ya upole na unyenyekevu sana but ukinipa muda tukazoeana mimi ni katundu Dunia nzima.[emoji23][emoji39][emoji23][emoji23] nakufatiliaga kimya kimya, sikuwahi kuhisi unaweza kua na side hii,nimecheka mno mkuu!
[emoji23] [emoji1] [emoji2] [emoji2]Unamaanisha Shoga???
Yaani ana mahusiano ya kimapenzi na wanaume wenzie???
You never know... Na kwa kuwa wewe ni mwanamke, mpaka umefikia kuhisi hivi bila shaka kuna dalili utakua umeziona. Mimi sitaki kuongeza neno.
Umenchekesha sana....ulivyomruka injinia futi 100 yaani. Ahahaha!! Sasa alijua kapata msaada kwa vile umemkataa anarudi tena shimoni... Coward muhufuka!Mkuu usiniangushie jumba bovu,nina mume humu....ππππ wanangu wataishije nikifaβ¦.π‘
Umenchekesha sana....ulivyomruka injinia futi 100 yaani. Ahahaha!! Sasa alijua kapata msaada kwa vile umemkataa anarudi tena shimoni... Coward muhufuka!
Injinia mjinga aliejenga nyumba kubwa hadi kaweka na roundabout katikati ya nyumba! [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Take it easy love.....Asante honey,sitakuaibisha tena...πππ
We mjambaji tuachane na hayo shemeji kashatengua kauli yake ya awali na amekuachia upambane na hali yako.Naona mmegeuka kuwa ma Admin ku-moderate mawazo ya watu humu...
Rebeca 83 ni mtu mzima, tena mwanamke. Sidhani kama kakurupuka kutamka hisia zake wazi hadharani.
Hakutaka kuwa MNAFIKI. Ametazama tabia za mtu, ubwatukaji wake, na attitude akalinganisha na tabia zingine walizonazo wao wanawake ndio akafikia kuhisi hivo.
Nafirkiri tuwape uhuru wadau watoe mawazo yao, kama angeandika uongo na ujinga Mods wangefanya yao.
Hivo tuna-assume kuwa amendika ukweli kabisa. Wanawake wako makini sana kwenye mambo ya ushoga.
huu ung'eng'e kama sio wa ISTsend me your CV pls.
Usijali Rebeca 83 nimekuelewa vizuri tu shemeji yangu.ni kweli nilikudhania wewe ni yule mkaka maana na yeye ana tabia ya kuleta screenshot akiwa anapigana na mtu humu...sio kwamba namruka..ila nimeona labda wewe na yule tuliyemuita pugi ni watu wawili tofauti
Hakika mkuu!Naona tunadhalilishwa .. Hapa na wewe unayeitwa ccnp engineer
Cc baba swaleheHakika mkuu!
Na huyu amenifanya hadi Nika generalize wasomi wote hadi MaTO maana na yeye anakariri alikuwa TO.
I would like to apologize kwa wasomi wote niliowakwaza sababu ya huyu mjambaji mmoja wa kwenye madaladala.
Blame on CCNP Engineer he provoked me.
Ahahaha!! Umenisuprize Mkuu!! I didn't see it coming. Mbona hii ID umependeza kuliko ile ya awali?Cc baba swalehe