Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Kuna mmoja namjua ni wa miaka kati ya 2010 - 2015 jamaa anaingia toi na makaratasi ya daftariIla Mkuu Humble African ma T.O wengi wamefanikiwa ni wachache sana ambao hawajafanikiwa na kama wapo watakuwa ni wazembe wa hali ya juu na vile hawajapenda kujichanganya na watu (kama ulivyotanabaisha hapo juu kuwa baadhi huwa wanajisikia sana ambacho si kitu kizuri) in real life......
Niko na imani bwana CCNP Engineer atakuwa na maisha mazuri tu hapa atakuwa anakuja kuchora watu na kupotea kama member wengine wanavyofanya......
Ananijua kwa uzuri wa kutosha msako wangu akija Nina nondo zake kibao nimekusanya namfurusha mapema tu...hadi siku yake ya kesho inageuka "zohari" tupu.Sawa mkuu Humble African nasubiri comrade wa PCM afike huku nikituliza monkey mind taratibu.
another nshomile in town?vijana mliosoma shule za kajambanani mnashida sana.
huu ujinga mnaojadili hapa hauwezi kuuta unajadiliwa na sisi kaka zenu tuliosoma international school of tanganyika au wadogo zetu waliosoma feza boys.
sisi tukikutana huwa tunapeana updates za investment na miradi mbalimbali tuliyoianzisha ambayo inalipa kodi serikalini na kutoa ajira kwa maelfu ya watanzania.
kati ya alumni wenzangu wa IST ni yusuf bakhresa na mohamed dewji.
Ah ah ah ah ah HKL yako inafanya kaziAhahaha!! Mshkaji ana ghubu na anajiona sana kama mtu special kuanzia humu JF ...yeye ndio kipanga, yeye ndio akili kubwa kama le mutuz..!
Akifanikiwa huyu Ndezi nakunya mavi ya karanga karanga kama mbuzi hapa na kinyerezi. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Addicted bettor wa betting.
Ahahaha!! Watu mna macho ya mwewe!? Mimi nilimuignore baada ya kusense hicho kitu....lakini wewe mkuu umeamua kuzaa nae kabisa.another nshomile in town?
Mzee baba umekuja HongeraMazee unachekelea suala la watu kupata depression na kujimaliza kwa suicide?
KumbeeeWewe Raynavero mimi pia EGM,humble imemuuma sana kuambiwa kasoma hkl,na kweli hiko kikomb ni cha failures,ya kuvutavuta kama vile ualimu ilivyokuwaga kote umekosa anaulizwa "hata ualimu pia amekosa?" japo sikatai kuna wanaosomea hobby ila wengi ndo hali zinakuwa tia maji tia maji
i speak reality bro.another nshomile in town?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu endelea kuenjoy huku ukisubiri nibinye mtu kende alie kinyantuzu.anabet kwa Mhindi na masela ambao wasio na vision wala mission wenye ngeu za kutosha usoni, wakiwa vifua wazi vitovu vikubwa kama lile lisehemu la kutafutia stesheni kwenye redio Mbao za zamani
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] *****
Ah ah ah una utan wa ngum wwMisukule ya Ontario,mmoja alishtuka mwingine akaendelea kulamba unga,ngoja injinia aje hapa
Huwa sina kawaida ya kufurahia maanguko ya wengine na kufanya utani kwenye habari za depression na suicide.Mkuu don't take it so serious...mimi na huyu bwana tunajuana vizuri tangu kwenye magroup ya WhatsApp ya Forex.
Thus, grab your popcorn na ufurahie huu utani wa Mimi na huyu jamaa yangu engineer asie na akili.
Safi sana! Nakuruhusu ugeuze hii thread kama daftari la mazoezi...keep practising mpaka uridhike best.Humble African na Kaparo hatimae nimeweza,ahsanteni
Hongera ya nini mkubwa, naangalia watu wanavyojipanga kula nyama za Mahepe hapa.Mzee baba umekuja Hongera