Sababu za kwanini MaT.O (Tanzania one) hawafanikiwi kimaisha!?

Sababu za kwanini MaT.O (Tanzania one) hawafanikiwi kimaisha!?

Ila Mkuu Humble African ma T.O wengi wamefanikiwa ni wachache sana ambao hawajafanikiwa na kama wapo watakuwa ni wazembe wa hali ya juu na vile hawajapenda kujichanganya na watu (kama ulivyotanabaisha hapo juu kuwa baadhi huwa wanajisikia sana ambacho si kitu kizuri) in real life......

Niko na imani bwana CCNP Engineer atakuwa na maisha mazuri tu hapa atakuwa anakuja kuchora watu na kupotea kama member wengine wanavyofanya......
Kuna mmoja namjua ni wa miaka kati ya 2010 - 2015 jamaa anaingia toi na makaratasi ya daftari
 
Sawa mkuu Humble African nasubiri comrade wa PCM afike huku nikituliza monkey mind taratibu.
Ananijua kwa uzuri wa kutosha msako wangu akija Nina nondo zake kibao nimekusanya namfurusha mapema tu...hadi siku yake ya kesho inageuka "zohari" tupu.

Akinishinda naenda Msata Kwa Mshana tunampiga "surhati zubaa" anazubaa miaka nane kwenye saloon anayozoa nywele. [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
vijana mliosoma shule za kajambanani mnashida sana.

huu ujinga mnaojadili hapa hauwezi kuuta unajadiliwa na sisi kaka zenu tuliosoma international school of tanganyika au wadogo zetu waliosoma feza boys.

sisi tukikutana huwa tunapeana updates za investment na miradi mbalimbali tuliyoianzisha ambayo inalipa kodi serikalini na kutoa ajira kwa maelfu ya watanzania.

kati ya alumni wenzangu wa IST ni yusuf bakhresa na mohamed dewji.
another nshomile in town?
 
anabet kwa Mhindi na masela ambao wasio na vision wala mission wenye ngeu za kutosha usoni, wakiwa vifua wazi vitovu vikubwa kama lile lisehemu la kutafutia stesheni kwenye redio Mbao za zamani




[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] *****
 
Ahahaha!! Mshkaji ana ghubu na anajiona sana kama mtu special kuanzia humu JF ...yeye ndio kipanga, yeye ndio akili kubwa kama le mutuz..!

Akifanikiwa huyu Ndezi nakunya mavi ya karanga karanga kama mbuzi hapa na kinyerezi. [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Addicted bettor wa betting.
Ah ah ah ah ah HKL yako inafanya kazi
 
Wewe Raynavero mimi pia EGM,humble imemuuma sana kuambiwa kasoma hkl,na kweli hiko kikomb ni cha failures,ya kuvutavuta kama vile ualimu ilivyokuwaga kote umekosa anaulizwa "hata ualimu pia amekosa?" japo sikatai kuna wanaosomea hobby ila wengi ndo hali zinakuwa tia maji tia maji
Kumbeee
 
anabet kwa Mhindi na masela ambao wasio na vision wala mission wenye ngeu za kutosha usoni, wakiwa vifua wazi vitovu vikubwa kama lile lisehemu la kutafutia stesheni kwenye redio Mbao za zamani




[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] *****
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Mkuu endelea kuenjoy huku ukisubiri nibinye mtu kende alie kinyantuzu.
 
Mkuu don't take it so serious...mimi na huyu bwana tunajuana vizuri tangu kwenye magroup ya WhatsApp ya Forex.

Thus, grab your popcorn na ufurahie huu utani wa Mimi na huyu jamaa yangu engineer asie na akili.
Huwa sina kawaida ya kufurahia maanguko ya wengine na kufanya utani kwenye habari za depression na suicide.

Schadenfreude is not my thing.
 
kadoda11 tupe basi kazi tuliosoma kajamba nani kidumu ufagio tunawahi namba tulioweka miguu kwenye beseni ili tukeshe usiku,tulioshindia makande shule
 
Back
Top Bottom