Sababu za kwanini MaT.O (Tanzania one) hawafanikiwi kimaisha!?

Umesema kweli bro, kakosea kufanya generalization.
 
Mh hawa watu wanajuana lakin....
Kama wanajuana au hawajuani ni kitu tofauti.

Kama kumtukania mtu mama yake ni jambo la aibu katika jamii, haijalishi kwamba watu wanajuana au hawajuani, kumtukania mtu mama yake linakuwa jambo la aibu.

Tatizo, tumefanya jambo la suicide kuwa dogo sana, imekubalika kufanyiwa mzaha.

I could care less about who is mocking who.

My point is, suala la suicide limefanyiwa mzaha.
 
Iliwahi kunitokea nikiwa nasoma O-level kuna mjuaji mmoja alikuwa anakuja na maneno magumu yasiyo hata na maana ili aonekane ni master wa lugha.

Namnukuu anasema "let me cundulaligates you" yeye anakwambia maana yake ni kama "let me advice you" Ahahaha!!

Mara utamsikia Kagonojasibility is tantamount...Ahahaha! [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Nimefurahi umemshtukia mapema mpagani!
 
Kiranga kwann utan wa watu wengine wew una kuuma...?
 
Hii aione Nyani Ngabu
 
Last edited:
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ah ah ah ah Mi STD Vll nacheka tuu
 
Yani hapa tu ushasumbuka mara?

Na wewe ni kati ya wenye ugonjwa wa hao ma TO wa kuwaka bila sababu?
Wewe mzee nenda kule intelligence ukaandae nondo zako za kipagani tutakukuta huko...huku mavijana tumepinda tutakulaza na viatu kwa maneno ya shombo... Maana naona unarusha mapu.mbu tu bila utaratibu... Unajitekenya na kucheka mwenyewe.

Take a pill and chill....!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Nakuona unatafuta huruma ya hadhira.... Ahahaha!! Yaani wewe unavyo mmock God Leo ulidhani wote tunaenjoy lakini mbona tunakaaga kimya na kukuacha umalizane nae Leo Mimi kummock mtani wangu wewe imekuuma sana? Acha unafiki asiempenda Mungu asie muona hawezi kumpenda anaemuona.

Go home kiranga you are drunk.
 
@ Kiranga
 
Duuuh yaan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…