Sababu za msingi zinazopelekea 'afande' wa ulawiti asikamatwe ni hizi?

Watakuelewa basi... Na wakati wao wakifanya hayo maukatili yao ndo wanajiona miamba kumbe wapuuzi tu 😂
 
Ili haki ionekane imetendeka lazima Afande aliyefadhili hiyo show naye afikishwe Mahakamani, huko ndiyo Mahakama ikamsafishe na kumpulizia manukato kabisa kuwa ni mtu safi lakini asipoguswa kabisa itakuwa uonevu tu.
 
Mkuu usiwe buh lawyer. Unafikiri kwanini Zombe na mke wa Msuya au wahalifu waliotumwa na mke wa Msuya (na fingerprints zao zikapatikana kwenye visu vilivyotekeleza mauaji) hawakutiwa hatiani?
Kutiwa hatiani hasa kwenye criminal cases inahitaji mtu ku prove beyond reasonable doubt.

Kesi ya mke wa Msuya hakuna ushahidi usioacha shaka kwamba aliwatuma ndiyo maana akaachiwa huru.

Lakini endapo jamhuri ingethibitisha pasipo kuacha shaka kwamba alishiriki kwa namna moja ama nyingine kwenye mauaji lazima angekuwa criminally liable.

Hivi ni kweli hata kwa akili ya kawaida tu hujui hata mtu aliyeshiriki tu kula njama za kutenda uhalifu hata kama yeye hakwenda eneo la tukio kisheria ni mmoja wa wahusika wa uhalifu?

Sasa wewe panga njama za tukio la ujambazi wape vijana silaha na vitu vya kuwawezesha kutenda ujambazi halalfu wewe kaa nyumbani then kwenye ushahidi ukatajwa kama mfadhili mkuu wa uwezeshaji wa kutendeka kosa la ujambazi kama hujakwenda na maji as far as ushahidi uwe concrete na usioacha shaka.
 
Kwani zile Kesi zinazosema Watuhumiwa wote Kwa pamoja walikula njama za kutenda Uhalifu wa kudhilumu binti kimapenzi hazipo?
Yule Mama alikula njama ya Kurgans ze kundi la wahalifu ili kutekeleza kosa la ubakaji, hivyo ashtakiwe Kwa kuunda genge la kutekeleza uhalifu
 
Mkuu usiwe buh lawyer. Unafikiri kwanini Zombe na mke wa Msuya au wahalifu waliotumwa na mke wa Msuya (na fingerprints zao zikapatikana kwenye visu vilivyotekeleza mauaji) hawakutiwa hatiani?
Kama upo kwenye profession ya sheria jisomee sana case laws na sheria mbalimbali utagundua hiki ninachokwambia.

Hata Penal Code yetu nadhani section 387 ama around hapo sina uhakika kuna mtu anaitwa accessory after the fact jinsi anvyohusika kama mhalifu ingawaje hakuwepo kabisa kwenye commission of an offence lakini ushiriki wake tu in connection with a criminal offence anakuwa criminally responsibility.
 
Leo umeandika fact sana mkuu. Umejitofautisha sana na wale wasiojua sheriabza nchi.

Kwa vile umeandika fact za kisheria naomba nikupe na picha ya jana ambayo nilitaka kuiandikia uzi mfupi kutoa watanzania tongotongo.


Picha moja ila moja imefichwa sura na nyingine wazi
 
We jamaa mbona nakumbuka tulisomaga kula njama ni kosa na lina hukumu kabisa?


Ile topiki ilikua inaitwa "conspiracy in criminal law in tz"
Hapo sasa ndipo unapaswa uchekeche kichwa zaidi ufahamu ni kwanini mke wa Msuya na Zombe waliaachiwa huru kwa sheria hizo hizo ulizosoma wewe.
 
Asante sana kwa nondo hii muhimu sana mkuu. Ubarikiwe mno.
 
Daah! Inauma sana kwa
Kuna kitu gani hapa kimejificha mkuu?
 
Muanzisha Uzi umeongea UONGO kwenye Kesi ya Zombe.Christopher Bageni(aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi Oysterbay)alihukumiwa kunyongwa lakini sio yeye aliyefyatua Risasi kuwaua wale Wafanyabiashara. Aliyefyatua Risasi ni Askari alikuwa anaitwa Koplo Saad Ally na si Bageni.Na huyo aliyefyatua Risasi kuwaua wale wafanyabiashara Koplo Saad Ally hakuwahi kupatikana mpaka leo. Kilichofanya Bageni ahukumiwe kunyongwa ni kwamba yeye kama Mkuu wa Upelelezi alikuwepo mpaka eneo la tukio kule kwenye mauaji(msitu wa pande),hivyo alikuwa na uwezo wa kuzuia mchakato mzima. Kilichomuokoa Zombe ni kutokuwepo eneo la tukio. Lakini pia kukosekana mawasiliano ya kwenye Mtandao wa siku kuonyesha kwamba siku ya tukio alikuwa anampa maelekezo Bageni ya kuwaua wale wafanyabiashara(mawasiliano kutoka VODACOM yalikuwa yameshafutwa kwa mujibu wa Sharia baada ya kukaa miezi 6). Aliyefia Mahabusu alikuwa anaitwa Koplo Rashid Lema.
Jitahidi kufanya research kabla ya kuandika uongo
 
Kesi ya zombie ilikua ni kufanya mauji dhidi ya wafanyabiashara au kusababisha mauaji dhidi ya wafanyabiashara ?
Ilikuwa ni kusababisha au kuhamasisha mkuu. Wewe unadhani kusababisha na kuua ni sawa? Ndio maana nimesema kusababisha, kumtuma muuaji au kuhamasisha mauaji sio kosa kisheria. Isipokuwa yule anayehusika kuua moja kwa moja ndiye mwenye makosa.
 
Daah! Inauma sana kwa

Kuna kitu gani hapa kimejificha mkuu?
Ziangalie picha vizur
Picha moja imezibwa macho
Picha ya pili haijazibwa macho.

Aloziba macho amechukua tahadhari maana bado walengwa ni watuhumiwa wa kosa tajwa
 

Kesi za uhaini kwa nini hujumuisha waliotuma pia. Hiyo si ndio kupanga na kula njama. Hapa umetunoa sema labda sheria sio msumeno ukatao mbele na nyuma basi.
 
Tunafahamu hayo, tunafahamu hakuna uhakika wa kupatikana kwa ushahidi against “Afande” tunachotaka ni kila mhusika aliyehusika kwa namna moja au nyingine consequence imfikie.

Ukimshitaki mtu hata kama hukumu haitomtia hatiani kuna kitu unakuwa umempunguzia, ikiwemo reputation.

Usifikiri wanaopush hilo hawajui, Namna ya kupata haki haijanyooka, but in the end kila mtu aumizwe, tuumie wote ili tujifunze kutendeana kwa usahihi.

Tunaishi Africa.
 
Atleast apelekwe mahakamani huko aonekane hana hatia.
 


Sikubaliani na wewe kuwa mtu akikutuma mtu mzima ufanye uhalifu ni huyo aliyefanya tu ndo atawajibika na sio aliyekutuma. Section 22 (1) ya the Penal Code (Kanuni ya Adhabu)[CAP 16 R.E 2022] inaprovide kwa kitu kinaitwa principal offenders. Ukisoma sasa 22 (1) (d) Yeyote aliyecounsel au kuprocure naye anaweza kushtakiwa kwa kosa hilo lililotendeka au kwa kosa ya procuring au counseling.

Sasa kumwagiza mtu afanye uhalifa hiyo ni kuprocure na hivyo mtu anayeprocure naye anaingia kuwa mtendaji kosa. So inawezekana kabisa aliyeagiza kosa lifanyike akashtakiwa vizuri tu ingawa atakutwa na hatia au la ni suala la ushahidi. Ndio mana kilichomuokoa Zombe kwenye kesi hiyo ni kuwa muda wa kustore mawasiliano ya simu ulikuwa ushapita na hivya ikawa ngumu kumlink Zombe kama ni ndo yule aliyekuwa anatoa order. Pia kesi hii ya Zombe inatoa mwangaza juu ya hiyo section 22 ya Penal Code.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…