Sababu za msingi zinazopelekea 'afande' wa ulawiti asikamatwe ni hizi?

Sababu za msingi zinazopelekea 'afande' wa ulawiti asikamatwe ni hizi?

Ilikuwa ni kusababisha au kuhamasisha mkuu. Wewe unadhani kusababisha na kuua ni sawa? Ndio maana nimesema kusababisha, kumtuma muuaji au kuhamasisha mauaji sio kosa kisheria. Isipokuwa yule anayehusika kuua moja kwa moja ndiye mwenye makosa.
Futa Uzi mpuuuzi huna unalojua zombe na mke wa msuya walipona kutokana na kukosekana ushahidi usio acha Shaka. Na sio kwa sheria hizo za ujinga ujinga unazo sema wewe
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kuwachosha. Wiki hii tumeshuhudia vijana 4 kati ya 6 waliofanya uhalifu wa kumlawiti binti wa Yombo Dovya wakifikishwa mbele za Pontio Pilato na kusomewa mashtaka,
Kama sheria haitambui mtu aliyetuma watu kutekeleza uhalifu inakuaje wale wanaotuma watu kufanya maandamano au kukusanya watu kwa namna moja ama nyingine kwa lengo flani la kuandamana wanakamatwa .?

Je, anayechochea (mchochezi) jambo kwa wanachokiita ni kinyume na sheria na anayemtuma mtu kufanya uhalifu kunatofauti gani?
 
Mkuu mifano unayotoa haisaddifu sheria za nchi yetu. Unapotosha ama kwa makusudi au kwa kutokujua. Kama Zombe alimwamuru Bageni aende na askari porini na Bageni alipofika huko porini akaamuru wafanyabiashara wauawe ushahidi upo wapi? Huoni kwamba hapa kuna double standards?
Soma vizuri nilichoandika
 
Hapo kikubwa case iishe tu, yule mtoto aliutaka na hilo liwe fundisho kwake.

Familia zinalala njaa watoto hawasomeshwi, Mama zao wanatelekezwa sababu ya hawa malaya chipukiz wa elfu mbili wanajiita GenZ wa tz.

Binafsi naona hatia ipo kwa waliotekeleza ubakaji hasa yule mwamba wa kutifua mtaro, bj na Camera man. Mama wa watu hana hatia kabisa alitoa hukumu ya haki.
 
Alitakiwa kukamatwa na hao wafiraji wengine na wote wawe sehemu ya kesi hiyo hadi mahakama itakapotamka vinginevyo.
Kumbuka:
hukumu hutolewa na mahakama na sio mapolisi!
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kuwachosha. Wiki hii tumeshuhudia vijana 4 kati ya 6 waliofanya uhalifu wa kumlawiti binti wa Yombo Dovya wakifikishwa mbele za Pontio Pilato na kusomewa mashtaka, ijapokuwa walikana kuhusika na kitendo hicho kibaya.
View attachment 3074754
Watuhumiwa 4 waliombaka na kumlawiti binti wa Yombo Dovya wakiwa mahakamani

Jambo la kushangaza na ambalo watanzania wengi wanashindwa kupata majibu ni kwanini 'afande' aliyewatuma wale wahuni (na ambaye alisikika akiombwa msamaha na binti aliyekuwa akibakwa na kulawitiwa mubashara) hakamatwi? Swali la pili ni je, wale watuhumiwa 2 wa ulawiti waliobaki ni akina nani na kwanini hawakamatwi? Je, wana uhusiano wowote na huyo afande asiyekamatika? Hiki ndicho kitendawili ambacho watanzania wangependa kupata majibu yake.

Kabla ya kutoa majibu na kueleza kwanini afande hakamatiki, naomba nirejee kesi 2 zinazofanana na hii ya afande zilizowahi kufikishwa mahakamani na kugonga mwamba.

Kesi ya kwanza ni ile ya aliyekuwa kamanda wa upelelezi wa Dar es Salaam, ndugu Abdallah Zombe ambaye aliwatuma askari polisi kuwaua wafanyabiashara wa madini na kuwapora mamilioni ya fedha. Kwa ufupi, kesi ilipotinga mahakamani, wale askari waliotumwa kuua walijitetea kuwa walifanya mauaji yale kwa kutii amri ya mkubwa wao wa kazi, ndugu Zombe. Baada ya kesi kuunguruma kwa muda mrefu, huku wananchi wakidhani Zombe hachomoki kwenye kesi ile, hatimaye aliachiwa huru. Wale askari waliohusika na mchakato wa mauaji wakahuhumiwa vifungo vya maisha na kunyongwa. Lakini baadaye askari wale walikata rufaa na baadhi yao kufanikiwa kujichomoa. Aliyekutwa na hatia ni mmoja wao anayeitwa Bageni, ambaye alihukumiwa kunyongwa hadi kufa.

Katika kesi hii kuna facts mbili za kisheria zilizotumika. Fact ya kwanza ni ile ya mtu mzima mwenye akili timamu kutumwa na mtu mwingine kutekeleza uhalifu. Sheria haimhukumu aliyetuma bali humhukumu mtumwaji, hata kama mtumaji anajulikana na yeye mwenyewe kukiri kuwa kweli aliwatuma. Ndio maana Zombe aliachiwa huru bila shuruti.

Fact ya pili katika kesi hii ni uhusika wa mtu binafsi katika kutenda uhalifu. Baadhi ya askari waliachiwa huru kwa kuwa hawakuhusika kuwapiga risasi wafanyabiashara. Aliyehusika kufyatua risasi na kuua ni mmoja tu, naye ni Bageni. Ndio maana askari wengine waliachiwa huru, akahukumiwa Bageni tu.

Turejee kwenye kesi ya pili iliyomhusu mke wa Bilionea Msuya kuwatuma watu kumuua wifi yake (mdogo wake bilionea Msuya). Mahakamani ilithibitika kweli mke wa bilionea Msuya aliwatuma watu kufanya uhalifu. Na pia kisu kilichotumika kufanya mauaji kilipatikana na alama za vidole za wahalifu. Lakini mahakama ilitumia busara za kisheria kuwaachia huru watuhimiwa wote, akiwemo mke wa Msuya. Kwanini? Kwa sababu mtumaji hana kosa kisheria. Pia hata kama fingerprints za wahalifu zilionekana kwenye kisu, hakuna mtu mwenye uhakika kama kweli wao ndio waliua. Umeona eeh?

Sasa turejee kwenye hoja yetu ya msingi. Kuna baadhi ya mitandao ya kijamii (sio JF) imemtaja na kumuonesha hadharani afande aliyewatuma wale wafiraji kumdhulumu binti wa watu haki yake ya msingi. Pia haiwezekani binti aliyedhulumiwa amuombe afande msamaha hadharani halafu polisi wasimuombe awapeleke nyumbani kwa afande ili wamkamate. Haiwezekani.

Ni wazi kwamba afande anajulikana isipokuwa hata kama atakamatwa hatakuwa na kesi ya kujibu, kwa kuzingatia mfano wa kesi mbili nilizozitaja hapo juu ambazo watumaji waliachiwa huru bila shuruti. Kwa hiyo, polisi wanaona hata kama wakiamua kumpeleka afande mahakamani wataambulia patupu. Illmradi wahalifu wamekamatwa, hakuna haja tena ya kusumbuka na afande kwa kuwa hata akipelekwa mahakamani, hana kesi ya kujibu.

Sheria inatambua kwamba mtu mzima unapotumwa kutenda uhalifu nawe ukakubali kufanya hivyo, sheria itakuangukia wewe uliyetenda uhalifu na wala sio mtu aliyekutuma. Kwa hiyo, watanzania, hasa wale msiojua sheria, tulizeni mumkari na muendelee kuwa watulivu wakati wabakaji na wafiraji waliohusika kumdhalilisha binti wa Yombo Dovya wakishughulikiwa kwa mujibu wa sheria.

Nawasilisha.
Sio kweli boss!
Kimsingi kesi ulizotaja kama mfano ni tofauti na kesi ya binti! Katika kesi zako za mfano hakuna ambayo victim ali survive hivyo hakuna testimony from the victim.

Katika kesi ya binti, victim yupo hai and she is a competent witness to testify! Na kumbuka kuwa katika kesi za ubakaji ushahidi wa victim is the best evidence mahakamani.

Tofauti na kesi zako za mfano, kwenye kesi hii kuna kitu kinaitwa ACCESSORY TO/BEFORE THE EVENT, huyo mama mtumaji anaingia vizuri tu. Vipi kuhusu CONSPIRACY?

Changamoto ninayoiona ni uvivu au njama za waendesha mashtaka kuandaa charges mbovu ambazo zinaacha counts nyingi za kum pin mtuhumiwa!
Ukitaka uone moto, kesi hii wapewe mawakili wa kujitegea, waandae kuanzia mashtaka hadi prosecution mahakamani dhidi ya watuhumiwa, hachomoki mtu hapo! Hiyo sio kesi ya kupeleka charges mbili tu mahakamani!
 
Mimi sio mwanasheria lakini nafahamu mambo ya kisheria kidogo mkuu
Hata kama Kuna legal loopholes ya kumtia hatiani 'afande' kiu ya watu ni kama kwa Zombe aonekane hadharani na mahakama ya umma iatamuhukumu .
Pili kwani hawezi kushitakiwa kijeshi na kuhukumiwa kwa uvunjaji mkubwa wa maadili na at least afukuzwe kazi?
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kuwachosha. Wiki hii tumeshuhudia vijana 4 kati ya 6 waliofanya uhalifu wa kumlawiti binti wa Yombo Dovya wakifikishwa mbele za Pontio Pilato na kusomewa mashtaka, ijapokuwa walikana kuhusika na kitendo hicho kibaya.

Watuhumiwa 4 waliombaka na kumlawiti binti wa Yombo Dovya wakiwa mahakamani

Jambo la kushangaza na ambalo watanzania wengi wanashindwa kupata majibu ni kwanini 'afande' aliyewatuma wale wahuni (na ambaye alisikika akiombwa msamaha na binti aliyekuwa akibakwa na kulawitiwa mubashara) hakamatwi? Swali la pili ni je, wale watuhumiwa 2 wa ulawiti waliobaki ni akina nani na kwanini hawakamatwi? Je, wana uhusiano wowote na huyo afande asiyekamatika? Hiki ndicho kitendawili ambacho watanzania wangependa kupata majibu yake.

Kabla ya kutoa majibu na kueleza kwanini afande hakamatiki, naomba nirejee kesi 2 zinazofanana na hii ya afande zilizowahi kufikishwa mahakamani na kugonga mwamba.

Kesi ya kwanza ni ile ya aliyekuwa kamanda wa upelelezi wa Dar es Salaam, ndugu Abdallah Zombe ambaye aliwatuma askari polisi kuwaua wafanyabiashara wa madini na kuwapora mamilioni ya fedha. Kwa ufupi, kesi ilipotinga mahakamani, wale askari waliotumwa kuua walijitetea kuwa walifanya mauaji yale kwa kutii amri ya mkubwa wao wa kazi, ndugu Zombe. Baada ya kesi kuunguruma kwa muda mrefu, huku wananchi wakidhani Zombe hachomoki kwenye kesi ile, hatimaye aliachiwa huru. Wale askari waliohusika na mchakato wa mauaji wakahuhumiwa vifungo vya maisha na kunyongwa. Lakini baadaye askari wale walikata rufaa na baadhi yao kufanikiwa kujichomoa. Aliyekutwa na hatia ni mmoja wao anayeitwa Bageni, ambaye alihukumiwa kunyongwa hadi kufa.

Katika kesi hii kuna facts mbili za kisheria zilizotumika. Fact ya kwanza ni ile ya mtu mzima mwenye akili timamu kutumwa na mtu mwingine kutekeleza uhalifu. Sheria haimhukumu aliyetuma bali humhukumu mtumwaji, hata kama mtumaji anajulikana na yeye mwenyewe kukiri kuwa kweli aliwatuma. Ndio maana Zombe aliachiwa huru bila shuruti.

Fact ya pili katika kesi hii ni uhusika wa mtu binafsi katika kutenda uhalifu. Baadhi ya askari waliachiwa huru kwa kuwa hawakuhusika kuwapiga risasi wafanyabiashara. Aliyehusika kufyatua risasi na kuua ni mmoja tu, naye ni Bageni. Ndio maana askari wengine waliachiwa huru, akahukumiwa Bageni tu.

Turejee kwenye kesi ya pili iliyomhusu mke wa Bilionea Msuya kuwatuma watu kumuua wifi yake (mdogo wake bilionea Msuya). Mahakamani ilithibitika kweli mke wa bilionea Msuya aliwatuma watu kufanya uhalifu. Na pia kisu kilichotumika kufanya mauaji kilipatikana na alama za vidole za wahalifu. Lakini mahakama ilitumia busara za kisheria kuwaachia huru watuhimiwa wote, akiwemo mke wa Msuya. Kwanini? Kwa sababu mtumaji hana kosa kisheria. Pia hata kama fingerprints za wahalifu zilionekana kwenye kisu, hakuna mtu mwenye uhakika kama kweli wao ndio waliua. Umeona eeh?

Sasa turejee kwenye hoja yetu ya msingi. Kuna baadhi ya mitandao ya kijamii (sio JF) imemtaja na kumuonesha hadharani afande aliyewatuma wale wafiraji kumdhulumu binti wa watu haki yake ya msingi. Pia haiwezekani binti aliyedhulumiwa amuombe afande msamaha hadharani halafu polisi wasimuombe awapeleke nyumbani kwa afande ili wamkamate. Haiwezekani.

Ni wazi kwamba afande anajulikana isipokuwa hata kama atakamatwa hatakuwa na kesi ya kujibu, kwa kuzingatia mfano wa kesi mbili nilizozitaja hapo juu ambazo watumaji waliachiwa huru bila shuruti. Kwa hiyo, polisi wanaona hata kama wakiamua kumpeleka afande mahakamani wataambulia patupu. Illmradi wahalifu wamekamatwa, hakuna haja tena ya kusumbuka na afande kwa kuwa hata akipelekwa mahakamani, hana kesi ya kujibu.

Sheria inatambua kwamba mtu mzima unapotumwa kutenda uhalifu nawe ukakubali kufanya hivyo, sheria itakuangukia wewe uliyetenda uhalifu na wala sio mtu aliyekutuma. Kwa hiyo, watanzania, hasa wale msiojua sheria, tulizeni mumkari na muendelee kuwa watulivu wakati wabakaji na wafiraji waliohusika kumdhalilisha binti wa Yombo Dovya wakishughulikiwa kwa mujibu wa sheria.

Nawasilisha.
Arguments nzuri lakini precedents ulizoweka haziko consistent.

Kikubwa ni kupata ushahidi kwamba kweli walitumwa, mara nyingi anaetoa contract au kuwatuma anarekodiwa. Wanaachiwa pale ambapo kunakuwa hakuna ushahidi mahili kwamba walitoa maagizo. Huyo afande alituma watu wakabake, akisema si kweli, kuna ushahidi gani kwamba aliwatuma? Haiwezi kuwa suala la their word against her word, lazima kuwe na kitu kinaitwa substantiating evidence kwamba aliwatuma, mfano malipo, au walimrekodi nk. La sivyo huwezi kumfungulia mashitaka.

Nyerere alimuuliza mwandishi wa habari Nairobi, tu akikuambia mimi ni baba yako, kwamba nilitembea na mama yako ndio ukazaliwa, utamuamini kwa kuwa tu amesema hivyo?
 
Sikubaliani na wewe kuwa mtu akikutuma mtu mzima ufanye uhalifu ni huyo aliyefanya tu ndo atawajibika na sio aliyekutuma. Section 22 (1) ya the Penal Code (Kanuni ya Adhabu)[CAP 16 R.E 2022] inaprovide kwa kitu kinaitwa principal offenders. Ukisoma sasa 22 (1) (d) Yeyote aliyecounsel au kuprocure naye anaweza kushtakiwa kwa kosa hilo lililotendeka au kwa kosa ya procuring au counseling.
Sasa kumwagiza mtu afanye uhalifa hiyo ni kuprocure na hivyo mtu anayeprocure naye anaingia kuwa mtendaji kosa. So inawezekana kabisa aliyeagiza kosa lifanyike akashtakiwa vizuri tu ingawa atakutwa na hatia au la ni suala la ushahidi. Ndio mana kilichomuokoa Zombe kwenye kesi hiyo ni kuwa muda wa kustore mawasiliano ya simu ulikuwa ushapita na hivya ikawa ngumu kumlink Zombe kama ni ndo yule aliyekuwa anatoa order. Pia kesi hii ya Zombe inatoa mwangaza juu ya hiyo section 22 ya Penal Code.
Mkuu umetoa ufafanuzi uliojitosheleza. Mtoa hoja huenda ana maslahi na kesi hii. Huenda ana ujamaa na huyo afande mtuhumiwa. Kwani hata akipelekwa mahakamani na kwa bahati akachoomoka, polisi watapata hasara gani. Huwa wanawambabikiza kesi viongozi wa upinzani kwa makesi ya kijinga ambayo huwa hayana mashiko mahakamani.
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja na kwa ufupi bila kuwachosha. Wiki hii tumeshuhudia vijana 4 kati ya 6 waliofanya uhalifu wa kumlawiti binti wa Yombo Dovya wakifikishwa mbele za Pontio Pilato na kusomewa mashtaka, ijapokuwa walikana kuhusika na kitendo hicho kibaya.
View attachment 3074754
Watuhumiwa 4 waliombaka na kumlawiti binti wa Yombo Dovya wakiwa mahakamani

Jambo la kushangaza na ambalo watanzania wengi wanashindwa kupata majibu ni kwanini 'afande' aliyewatuma wale wahuni (na ambaye alisikika akiombwa msamaha na binti aliyekuwa akibakwa na kulawitiwa mubashara) hakamatwi? Swali la pili ni je, wale watuhumiwa 2 wa ulawiti waliobaki ni akina nani na kwanini hawakamatwi? Je, wana uhusiano wowote na huyo afande asiyekamatika? Hiki ndicho kitendawili ambacho watanzania wangependa kupata majibu yake.

Kabla ya kutoa majibu na kueleza kwanini afande hakamatiki, naomba nirejee kesi 2 zinazofanana na hii ya afande zilizowahi kufikishwa mahakamani na kugonga mwamba.

Kesi ya kwanza ni ile ya aliyekuwa kamanda wa upelelezi wa Dar es Salaam, ndugu Abdallah Zombe ambaye aliwatuma askari polisi kuwaua wafanyabiashara wa madini na kuwapora mamilioni ya fedha. Kwa ufupi, kesi ilipotinga mahakamani, wale askari waliotumwa kuua walijitetea kuwa walifanya mauaji yale kwa kutii amri ya mkubwa wao wa kazi, ndugu Zombe. Baada ya kesi kuunguruma kwa muda mrefu, huku wananchi wakidhani Zombe hachomoki kwenye kesi ile, hatimaye aliachiwa huru. Wale askari waliohusika na mchakato wa mauaji wakahuhumiwa vifungo vya maisha na kunyongwa. Lakini baadaye askari wale walikata rufaa na baadhi yao kufanikiwa kujichomoa. Aliyekutwa na hatia ni mmoja wao anayeitwa Bageni, ambaye alihukumiwa kunyongwa hadi kufa.

Katika kesi hii kuna facts mbili za kisheria zilizotumika. Fact ya kwanza ni ile ya mtu mzima mwenye akili timamu kutumwa na mtu mwingine kutekeleza uhalifu. Sheria haimhukumu aliyetuma bali humhukumu mtumwaji, hata kama mtumaji anajulikana na yeye mwenyewe kukiri kuwa kweli aliwatuma. Ndio maana Zombe aliachiwa huru bila shuruti.

Fact ya pili katika kesi hii ni uhusika wa mtu binafsi katika kutenda uhalifu. Baadhi ya askari waliachiwa huru kwa kuwa hawakuhusika kuwapiga risasi wafanyabiashara. Aliyehusika kufyatua risasi na kuua ni mmoja tu, naye ni Bageni. Ndio maana askari wengine waliachiwa huru, akahukumiwa Bageni tu.

Turejee kwenye kesi ya pili iliyomhusu mke wa Bilionea Msuya kuwatuma watu kumuua wifi yake (mdogo wake bilionea Msuya). Mahakamani ilithibitika kweli mke wa bilionea Msuya aliwatuma watu kufanya uhalifu. Na pia kisu kilichotumika kufanya mauaji kilipatikana na alama za vidole za wahalifu. Lakini mahakama ilitumia busara za kisheria kuwaachia huru watuhimiwa wote, akiwemo mke wa Msuya. Kwanini? Kwa sababu mtumaji hana kosa kisheria. Pia hata kama fingerprints za wahalifu zilionekana kwenye kisu, hakuna mtu mwenye uhakika kama kweli wao ndio waliua. Umeona eeh?

Sasa turejee kwenye hoja yetu ya msingi. Kuna baadhi ya mitandao ya kijamii (sio JF) imemtaja na kumuonesha hadharani afande aliyewatuma wale wafiraji kumdhulumu binti wa watu haki yake ya msingi. Pia haiwezekani binti aliyedhulumiwa amuombe afande msamaha hadharani halafu polisi wasimuombe awapeleke nyumbani kwa afande ili wamkamate. Haiwezekani.

Ni wazi kwamba afande anajulikana isipokuwa hata kama atakamatwa hatakuwa na kesi ya kujibu, kwa kuzingatia mfano wa kesi mbili nilizozitaja hapo juu ambazo watumaji waliachiwa huru bila shuruti. Kwa hiyo, polisi wanaona hata kama wakiamua kumpeleka afande mahakamani wataambulia patupu. Illmradi wahalifu wamekamatwa, hakuna haja tena ya kusumbuka na afande kwa kuwa hata akipelekwa mahakamani, hana kesi ya kujibu.

Sheria inatambua kwamba mtu mzima unapotumwa kutenda uhalifu nawe ukakubali kufanya hivyo, sheria itakuangukia wewe uliyetenda uhalifu na wala sio mtu aliyekutuma. Kwa hiyo, watanzania, hasa wale msiojua sheria, tulizeni mumkari na muendelee kuwa watulivu wakati wabakaji na wafiraji waliohusika kumdhalilisha binti wa Yombo Dovya wakishughulikiwa kwa mujibu wa sheria.

Nawasilisha.
Mkuu nikusahihishe kidogo sheria yetu inatambua kwamba hata aliyetuma nae ametenda kosa sawa na waliofanya under penal code ndio maana zombe na mama msuya walikutwa na hatia
Ila kilichowaokoa ni mahakama ya rufaa, na mahakama ya rufaa haiangalii facts ila makosa ya kisheria kwenye kuwatua hatiani au kutoa hukumu
Case zote mbili ulizotaja polisi walivuruga kwenye kuunganisha ushahidi na hilo ni kosa kisheria na hukumu inakuwa batili ,na sio kwamba sheria haitambui aliowatuma kama ulivyoiweka wewe
 
Siyo kweli kwamba "Aliyehusika kufyatua risasi na kuua ni mmoja tu, naye ni Bageni."❌❌❌

Aliyehusika kufyatua risasi ni Saad ambaye alifariki wakati kesi inaendelea.

Kwa kuwa marehemu Saad ndiye ndiye mtenda kosa mkuu, hao wengine, akiwemo Zombe hawakuweza kutiwa hatiani Kwa sababu katika kesi za makosa ya ushirika, mhalifu mtenda kosa namba moja asipopatikana mahakamani au asipopatikana na kosa, basi wengine wote wanaachiwa.

Sababu ya kuachiwa ni kwamba huwezi kusema washirika Wana makosa wakati muongoza uhalifu hajapatikana na hatia.

Kwenye jinai, kama umeshiriki Kwa namna yeyote ile sheria inakutia matatani. No excuse!
 
KINDEENA na wewe acha UONGO,aliyefyatua Risasi kuwaua wale wafanyabiashara wote na dreva wao ni Koplo Saad Ally na hakuwahi kupatikana mpaka leo. Aliyefia Mahabusu wakati Kesi inaendelea ni Koplo Rashid Lema.
Bahati nzuri hao wote nawafahamu maana nilifanya nao kazi
 
Mtoa mada pengine umesahau kipindi kesi ya zombe kuna mashahidi muhimu waliuawa ili kuficha ushahidi, bila baadhi ya mashahidi kufa ni vigumu sana kuchomoka ndiyo maana watu tunataka huyo afande apande kizimbani haijalishi atachomoka au anafungwa.
Hata huyo zombe hakuishi Kwa Amani Hadi anakufa Kwa kifupi ni kama alikuwa jela tu
Zombe kafa lini?
 
Kwa maana hiyo, kufadhil ugaidi sio, kufadhili mauaji sio kosa, kufadhili uhaini siyo kosa au
Huyo Afande anapaswa kuunganishwa kwenye Kesi hii kwa sababu ni accessory for the crime.
Kuhusishwa kwa namna yoyote ile kwenye shughuli au matukio ya njama za kupanga Uhalifu, unakuwa sehemu mojawapo ya Uhalifu huo. Aunganishwe kwenye Kesi hii ili aende akajitetee yeye mwenyewe huko Mahakamani.
 
Back
Top Bottom