Sababu Za Mwanaume Kuwa Na Wanawake Wengi

Sababu Za Mwanaume Kuwa Na Wanawake Wengi

@Mzee wa kupambania we jamaa bhana[emoji1787]
Ukitaka ujue hilo wewe angalia kuna manzi anayejua vizuri sana mojawapo kati ya haya mkiwa 6×6

Kuna anayejua kuikatikia, mwingine miuno feni, huyu foreplay, yule kuinyonya, mwingine mtaalam wa kusquirt, wapo wanaojua kuifinyia kwa ndani, kuna watundu kitandani kila style wamo hadi popo kanyea mbingu au ile msomali kafia kwenye fiat, haya bado kuna wenye libido ndogo na kubwa, mixer wenye miguno isiyo fake n.k

Twende sasa kuna vimbaumbau, size ya kati, viportable, mabonge, vibonge wepesi, wenye shape zao, visura, wenye sura za baba

Kuna weupe, weusi, rangi ya chocolate

Kuna wenye sauti tamu na maneno ya kimahaba, kuna makauzu na ma-tomboy

Nashangaa sana kuona mwanamume anakomaa na manzi mmoja eti wa kufa na kuzikana hizi raha zote anaziacha. Daaah! Inafikirisha sana🤔
 
Sijui kama umesoma ukaelewa,naweka nukuu kutoka main post!

"Inapelekea hata ukiachana na mwanamke tayari ana mbadala wako, wakati we unabaki kuhangaika kurudiana naye. Ili kuweka mchezo sawa nawe ni muhimu uwe na mbadala pia. Usibaki ukaumia"

Ukisoma hapa unaelewa nini,mimi naona amekumbusha wanaume kuiga utaratibu wa wanawake,tunaweza kusema kuuiga umalaya wao kwa kujiandaa mapema ili ngoma iwe droo.
Tangu lini mwanaume akamuiga mwanamke, sasa nani anakuwa kichwa hapo[emoji38][emoji38][emoji38]. Vijana wasikuizi bana, tunashindwa kustawisha maisha yetu kwakutaka kuwaiga wanawake, wenzetu wanawajibu wa kutunzwa nasisi ndio watunzaji, tuliza kichwa tafuta pesa na mke sahihi sio vimada.
 
Kila mtu na mapenzi yake apendayo.
Kila mtu na malengo yake kwenye mahusiano. Mwanaume kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja ni jambo la kawaida, pia ni vyema afanye hivyo. Lakini inategemea maamuzi ya mtu binafsi. Hivyo, wakati unaamua angalia sababu hizi. Twende nyuma kwanza, zamani utajiri ulitegemea nguvu ya familia.

Kwahiyo kadri mnavyokua wengi thamani yenu na nguvu yenu inaongezeka na mnaweza kujilinda, kuzalisha mazao mengi vilevile mnaweza kuvamia wanyonge na mkashinda kirahisi. Kibaiolojia tunafahamu kuwa mwanamke ana ukomo wa uzao na mwanaume ana nafasi kubwa ya kuendelea kuzaa hata kama mke wake mmoja akiwa amefikia ukomo, hivyo basi ili kulinda nguvu na utajiri wa familia ilibidi mwanaume aongeze mwanamke amzalie watoto wengine.

Turudi sasa, kilichobadilika sasa ni kwamba hakuna haja ya kuwa na familia kubwa ili uweze kuilinda familia, polisi wapo. Lakini kibaiolojia hakuna kilichobadilika. Bado kama wanaume tunataka kuwa na urithi mkubwa, bado tunataka majina yetu yawe makubwa, bado tuna ile hamu ya kuwa na wanawake wengi. Haijafuka kwenye damu.

Mwanamke mmoja ana mudi tofauti kwenye mwezi.

Wengine husema ‘wanawake hawaeleweki’.

Wanaume wengi hawawezi kuyahimili mabadiliko hayo. Suluhisho ni kwenda kwa mwanamke mwingine hadi mwanamke wa kwanza awe mtulivu amrudie. Wapili nae akiwa na mudi tofauti, atarudi kwa wa kwanza, na mzunguko utaendelea hivyo.

Mwanamke ndiye anayechagua kuwa na mwanaume au la.
Wanawake wenyewe ndio wapo tayari kuwa na mwanaume mwenye wanawake wengi. Japo anaweza asilikubali hili wazi. Sababu, kwake huyo mwanaume ndo mshindi na jasiri kuliko wanaume wengine.
Wanawake wanapenda kuwa na wanaume jasiri na washindi.

Wanawake wana sehemu kubwa ya kuchagua kuliko wanaume.
Mwanamke mmoja wa kawaida tu anaweza kuwa anafukuziwa na wanaume hata watano.
Lakini mwanaume mmoja anaweza asifukuziwe na mwanamke hata mmoja.

Inapelekea hata ukiachana na mwanamke tayari ana mbadala wako, wakati we unabaki kuhangaika kurudiana naye. Ili kuweka mchezo sawa nawe ni muhimu uwe na mbadala pia. Usibaki ukaumia.

Mara nyingi mwanamke ana mtu wa kuchukua nafasi yako. Hata kama asipokuambia. Wewe pia kama mwanaume uwe na mtu wa kuchukua nafasi yake. Unakuta mwanamke wako anachombezana na wenzake sehemu anayoshughulika.

Ujue mbadala wako unaandaliwa.
Sababu kubwa kwamba mwanamke anamheshimu zaidi mwanaume ambaye anajua ana mwanamke zaidi ya mmoja. Anajua akizingua tu ameachika. Mwanamke anapenda kuacha kuliko kuachika, anaogopa kuumia. Hivyo, atajitahidi yeye awe namba moja. Katika kupambania huko, ni vigumu wewe kama mwanaume kuachwa. We kazi yako inakua kumridhisha kulingana na anavyojitolea kwenye mahusiano.
Nikifikiria dhahama za wanawake, yaani nasema sitaki tena sitaki[emoji23][emoji23][emoji23]. Mahusiano ya mtu mmoja tu yalinisumbua maana wengine unakuta hatujui kukataa so unatoa na unatoa tu, unasomesha mara vile nabado wanamaudhi na tabia tusizoendana ndio useme nitafute wanawake wengi[emoji38][emoji38], nigundue nini. Yaani niseme hivi, mwanaume ulieweka malengo yako mbele kwanza na unahamu yatimie mapema, mambo ya wanawake wengi hutayawazia kabisa kwakuwa watakuyumbisha kiuchumi mpaka unafika 30s bila chochote chamaana ulichofanya zaidi ya kuwekeza kwenye starehe ya dakika 30 mpaka lisaa[emoji23][emoji23][emoji23]. Ukijitambua, matamanio na mapenzi hayakuendeshi kamwe.
 
Ukitaka ujue hilo wewe angalia kuna manzi anayejua vizuri sana mojawapo kati ya haya mkiwa 6×6

Kuna anayejua kuikatikia, mwingine miuno feni, huyu foreplay, yule kuinyonya, mwingine mtaalam wa kusquirt, wapo wanaojua kuifinyia kwa ndani, kuna watundu kitandani kila style wamo hadi popo kanyea mbingu au ile msomali kafia kwenye fiat, haya bado kuna wenye libido ndogo na kubwa, mixer wenye miguno isiyo fake n.k

Twende sasa kuna vimbaumbau, size ya kati, viportable, mabonge, vibonge wepesi, wenye shape zao, visura, wenye sura za baba

Kuna weupe, weusi, rangi ya chocolate

Kuna wenye sauti tamu na maneno ya kimahaba, kuna makauzu na ma-tomboy

Nashangaa sana kuona mwanamume anakomaa na manzi mmoja eti wa kufa na kuzikana hizi raha zote anaziacha. Daaah! Inafikirisha sana[emoji848]
Sawa zee la kupambania [emoji23][emoji119]
 
Tangu lini mwanaume akamuiga mwanamke, sasa nani anakuwa kichwa hapo[emoji38][emoji38][emoji38]. Vijana wasikuizi bana, tunashindwa kustawisha maisha yetu kwakutaka kuwaiga wanawake, wenzetu wanawajibu wa kutunzwa nasisi ndio watunzaji, tuliza kichwa tafuta pesa na mke sahihi sio vimada.
Wake sahihi, sio mke sahihi.
Vijana wa siku hizi tulipata malezi kutoka kwa vijana wa siku zile.
 
Nikifikiria dhahama za wanawake, yaani nasema sitaki tena sitaki[emoji23][emoji23][emoji23]. Mahusiano ya mtu mmoja tu yalinisumbua maana wengine unakuta hatujui kukataa so unatoa na unatoa tu, unasomesha mara vile nabado wanamaudhi na tabia tusizoendana ndio useme nitafute wanawake wengi[emoji38][emoji38], nigundue nini. Yaani niseme hivi, mwanaume ulieweka malengo yako mbele kwanza na unahamu yatimie mapema, mambo ya wanawake wengi hutayawazia kabisa kwakuwa watakuyumbisha kiuchumi mpaka unafika 30s bila chochote chamaana ulichofanya zaidi ya kuwekeza kwenye starehe ya dakika 30 mpaka lisaa[emoji23][emoji23][emoji23]. Ukijitambua, matamanio na mapenzi hayakuendeshi kamwe.
Hapo tatizo sio wanawake. Anza na wewe.
Inaonesha huna mipaka yenye nguvu linapokuja suala la mahusiano.
 
Ukitaka ujue hilo wewe angalia kuna manzi anayejua vizuri sana mojawapo kati ya haya mkiwa 6×6

Kuna anayejua kuikatikia, mwingine miuno feni, huyu foreplay, yule kuinyonya, mwingine mtaalam wa kusquirt, wapo wanaojua kuifinyia kwa ndani, kuna watundu kitandani kila style wamo hadi popo kanyea mbingu au ile msomali kafia kwenye fiat, haya bado kuna wenye libido ndogo na kubwa, mixer wenye miguno isiyo fake n.k

Twende sasa kuna vimbaumbau, size ya kati, viportable, mabonge, vibonge wepesi, wenye shape zao, visura, wenye sura za baba

Kuna weupe, weusi, rangi ya chocolate

Kuna wenye sauti tamu na maneno ya kimahaba, kuna makauzu na ma-tomboy

Nashangaa sana kuona mwanamume anakomaa na manzi mmoja eti wa kufa na kuzikana hizi raha zote anaziacha. Daaah! Inafikirisha sana🤔
Sahihi
 
Nashukuru Kwa ufafanuzi
Tangu lini mwanaume akamuiga mwanamke, sasa nani anakuwa kichwa hapo[emoji38][emoji38][emoji38]. Vijana wasikuizi bana, tunashindwa kustawisha maisha yetu kwakutaka kuwaiga wanawake, wenzetu wanawajibu wa kutunzwa nasisi ndio watunzaji, tuliza kichwa tafuta pesa na mke sahihi sio vimada.
Upimwe akili zako[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sababu za mwanaume kuwa na wanawake wengi ni UMALAYA Tu.
Siku moja uwe mwanaume ndo utajua sio umalaya. Sex kwa mwanamke ipo kwa ajili ya kuzaa tu.

Ndiyo maana wanakuwa na hamm wakati yai limepevuka. Wakati mwine wowote ni umalaya wa mwanamke ndio utamsukuma kwenye sex.

Lakini mwanaume aliumbwa kuwa tayari muda wote na anapopata tendo la ndoa ndio akili hukaa vizuri.

Kwani akili kila mtu anajiundia ya kwake? Jiulize sasa, mwanaume anaepata sex vilivyo, huwa mtulivu sana ni kwa nini?
 
Back
Top Bottom