Sababu za ndani kabisa 'nilizopenyezewa' ambazo ndizo 'zimemfukuzisha' Kazi Kocha wa Yanga SC Zlatko ni hizi hapa....

Sababu za ndani kabisa 'nilizopenyezewa' ambazo ndizo 'zimemfukuzisha' Kazi Kocha wa Yanga SC Zlatko ni hizi hapa....

ndio maana nikasema ushabiki wa simba na yanga umekuwa wa kipumbavu.... fikiria mtu mweusi anamwita mweusi mwenzake nyani.....imagine... huu ni upumbavu wa hali ya juu.......kisa mpira tu unafanya waafrika tunadhalilishana na kutukanana... huu ni upumbavu wa kiwango cha juu.
Nyie kweli uneducated mmetukanwa nyie mnataka tuonekane wote tumetukanwa ukisema manyani fc ni yanga, majibwa ni yanga
 
Nimesoma sababu za yanga kumfukuza kocha sababu nyingine zinachekesha.
Aligombana na makocha wa viungo na daktari wa viungo mpaka wakaomba likizo huu ni uongo kwani hao watu waliondoka mapema sana.
Wanasema baada ya mechi na mtibwa alikwepa kuongea na viongoy mpaka viongozi wakaenda kumshitaki kwa wadhamini hivi viongozi hawawezi kuchukua maamuzi mpaka wamwambie mdhamini
 
1. Zlatko amewakataa baadhi ya Wachezaji ambao Yanga SC imewaleta kwa Mbwembwe nchini na kudai hawana Uwezo
2. Zlatko amekataa Klabu ya Yanga Kuendekeza sana Ushirikina katika Mechi zake na kusema kuwa hakuzoea Upumbavu huo
3. Zlatko ameomba atafute Kocha Msaidizi kwakuwa ameona Kocha Juma Mwambusi hana mbinu za Kumsaidia
4. Zlatko hamtaki Kiungo Haruna Niyonzima akisema haendani na Kasi yake ila Uongozi unamlazimisha aendelee Kumpanga
5. Zlatko mara kwa mara amekuwa akiisifia Klabu ya Simba na kuutaka Uongozi uige Jinsi Simba SC inavyowajali Wachezaji wake
6. Zlatko amekataa Yanga SC kucheza Mechi za Kirafiki katikati ya Wiki huku Ligi ikiendelea kwa Kudai huo ni Ushamba wa Karne
7. Zlatko bila Uwoga kawaambia Viongozi kuwa atakachoweza kufanya akicheza na Simba Oktoba 18 ni Kupunguza tu Magoli ila Watafungwa

Kuna wale Watu wenye sijui 'Viblogu' na 'Vitovuti' vyenu mpaka na baadhi ya Vyombo vya Habari huwa mna tabia ya 'Kukopi' haya 'Mabandiko' yangu hapa na 'Kuyaweka' huko mkijifanya ni yenu na mmeyatafuta nyie. Chonde chonde leo 'mkiikopi' hii tafadhali tajeni 'Source' wenu kuwa ni GENTAMYCINE na Mtandao huu huu wa JamiiForums.
Wewe mtoa mada tuna kufahamu ni mikia kindakindaki, hivyo kojoa ukalale!
 
1. Zlatko amewakataa baadhi ya Wachezaji ambao Yanga SC imewaleta kwa Mbwembwe nchini na kudai hawana Uwezo
2. Zlatko amekataa Klabu ya Yanga Kuendekeza sana Ushirikina katika Mechi zake na kusema kuwa hakuzoea Upumbavu huo
3. Zlatko ameomba atafute Kocha Msaidizi kwakuwa ameona Kocha Juma Mwambusi hana mbinu za Kumsaidia
4. Zlatko hamtaki Kiungo Haruna Niyonzima akisema haendani na Kasi yake ila Uongozi unamlazimisha aendelee Kumpanga
5. Zlatko mara kwa mara amekuwa akiisifia Klabu ya Simba na kuutaka Uongozi uige Jinsi Simba SC inavyowajali Wachezaji wake
6. Zlatko amekataa Yanga SC kucheza Mechi za Kirafiki katikati ya Wiki huku Ligi ikiendelea kwa Kudai huo ni Ushamba wa Karne
7. Zlatko bila Uwoga kawaambia Viongozi kuwa atakachoweza kufanya akicheza na Simba Oktoba 18 ni Kupunguza tu Magoli ila Watafungwa

Kuna wale Watu wenye sijui 'Viblogu' na 'Vitovuti' vyenu mpaka na baadhi ya Vyombo vya Habari huwa mna tabia ya 'Kukopi' haya 'Mabandiko' yangu hapa na 'Kuyaweka' huko mkijifanya ni yenu na mmeyatafuta nyie. Chonde chonde leo 'mkiikopi' hii tafadhali tajeni 'Source' wenu kuwa ni GENTAMYCINE na Mtandao huu huu wa JamiiForums.
Hiyo number 7 ndo Yanga hawataki kuisikia. Zlatko kawaambia hiyo 18-October yaan ile hamna hamna mpaka half time 🦁 S.C. 4-0 🐒 FC
 
ndio maana wazungu wanatudharau sana. mzungu katukana waafrika wote, halafu kuna miafrika mipumbavu inasapoti, mambo mengine yanasikitisha sana.
Huko kwa Wazungu Mbali sana,

Hapa hapa Bongo kwa Jinsi CCM inavyotunyanyasa na kutuonea lakin still kuna watu kama wewe bado wanaisapot.
 
Nyie kweli uneducated mmetukanwa nyie mnataka tuonekane wote tumetukanwa ukisema manyani fc ni yanga, majibwa ni yanga
ndio maana wewe ni mpumbavu usiejielewa, anapotukanwa mchezaji mweusi ulaya mbona wachezaji wote wanalaani, hujawahi kuona mechi imevunjika kwa sababu ya mchezaji mmoja mweusi kutukanwa na mashabiki? marekani mtu mweusi akiuwawa na polisi, wanaandamana wamarekani wote, acha upumbavu kenge wa kike wewe
 
Nyie kweli uneducated mmetukanwa nyie mnataka tuonekane wote tumetukanwa ukisema manyani fc ni yanga, majibwa ni yanga
we bwege, kwa hiyo wakina Mario Baloteli na wachezaji wengine weusi wanavyotukanwa manyani na kurushiwa ndizi uwanjani na wazungu unafurahi sana kwa sababu sio wewe ulietukanwa?
 
ndio maana wewe ni mpumbavu usiejielewa, anapotukanwa mchezaji mweusi ulaya mbona wachezaji wote wanalaani, hujawahi kuona mechi imevunjika kwa sababu ya mchezaji mmoja mweusi kutukanwa na mashabiki? marekani mtu mweusi akiuwawa na polisi, wanaandamana wamarekani wote, acha upumbavu kenge wa kike wewe
Uneducated akinitolea tusi huwa nacheka sababu nishajua naongea na mtu wa namna gani na hata akieleweshwa hawezi kuelewa.
Inaelekea mwalimu wako alipata shida sana kukufundisha
 
we bwege, kwa hiyo wakina Mario Baloteli na wachezaji wengine weusi wanavyotukanwa manyani na kurushiwa ndizi uwanjani na wazungu unafurahi sana kwa sababu sio wewe ulietukanwa?
Uneducate, yako kama manyani na yanabweka kama majibwa hao ni washabiki wa utopolo na kadri siku zinavyoenda hayo yote aliyosema tunayashuhudia kama kuwachania na kuwavamia mashabiki wa Simba, kubeba mgongoni mwarabu kama enzi za utumwa, kushinda airport muda wa kazi nikiendelea kuandika sitamaliza.
 
ndio maana nikasema ushabiki wa simba na yanga umekuwa wa kipumbavu.... fikiria mtu mweusi anamwita mweusi mwenzake nyani.....imagine... huu ni upumbavu wa hali ya juu.......kisa mpira tu unafanya waafrika tunadhalilishana na kutukanana... huu ni upumbavu wa kiwango cha juu.
Yaani uko sahihi kabisa Yanga wapumbavu mno
 
ndio maana wewe ni mpumbavu usiejielewa, anapotukanwa mchezaji mweusi ulaya mbona wachezaji wote wanalaani, hujawahi kuona mechi imevunjika kwa sababu ya mchezaji mmoja mweusi kutukanwa na mashabiki? marekani mtu mweusi akiuwawa na polisi, wanaandamana wamarekani wote, acha upumbavu kenge wa kike wewe
Luc kawatukana washabiki wa Yanga sisi inatuhusu nini? Nyie manyani kweli mnabweka bweka tu.
 
we bwege, kwa hiyo wakina Mario Baloteli na wachezaji wengine weusi wanavyotukanwa manyani na kurushiwa ndizi uwanjani na wazungu unafurahi sana kwa sababu sio wewe ulietukanwa?
Sisi tunachojua mashabiki wa Yanga ni manyani na kila siku mnadhihirisha hivyo,kweli si kweli?
FB_IMG_1599615375668.jpg
 
1. Zlatko amewakataa baadhi ya Wachezaji ambao Yanga SC imewaleta kwa Mbwembwe nchini na kudai hawana Uwezo
2. Zlatko amekataa Klabu ya Yanga Kuendekeza sana Ushirikina katika Mechi zake na kusema kuwa hakuzoea Upumbavu huo
3. Zlatko ameomba atafute Kocha Msaidizi kwakuwa ameona Kocha Juma Mwambusi hana mbinu za Kumsaidia
4. Zlatko hamtaki Kiungo Haruna Niyonzima akisema haendani na Kasi yake ila Uongozi unamlazimisha aendelee Kumpanga
5. Zlatko mara kwa mara amekuwa akiisifia Klabu ya Simba na kuutaka Uongozi uige Jinsi Simba SC inavyowajali Wachezaji wake
6. Zlatko amekataa Yanga SC kucheza Mechi za Kirafiki katikati ya Wiki huku Ligi ikiendelea kwa Kudai huo ni Ushamba wa Karne
7. Zlatko bila Uwoga kawaambia Viongozi kuwa atakachoweza kufanya akicheza na Simba Oktoba 18 ni Kupunguza tu Magoli ila Watafungwa

Kuna wale Watu wenye sijui 'Viblogu' na 'Vitovuti' vyenu mpaka na baadhi ya Vyombo vya Habari huwa mna tabia ya 'Kukopi' haya 'Mabandiko' yangu hapa na 'Kuyaweka' huko mkijifanya ni yenu na mmeyatafuta nyie. Chonde chonde leo 'mkiikopi' hii tafadhali tajeni 'Source' wenu kuwa ni GENTAMYCINE na Mtandao huu huu wa JamiiForums.
Nimeikuta kwenye group moja la WhatsApp
 
Uchebe: Simba ili ifanikiwe inahitaji iachane na un educated and liars, lage : Mashabiki wa simba ni mbumbumbu,
Kibadeni akiwa kocha wa mtibwa: Kuna klabu kubwa(simba)inanunua mechi baada ya ulimboka mwakingwe kumpelekea fedha shahani kado kipa wa mtibwa ili Simba ishinde.
Aliye wani kuwa kocha wasimba mzambia Patrick fili : tulihonga mechi ili kuchukua ubingwa bila kufungwa.
Iddi pazi (father) akiwa kipa wa prisner:ilibidi nikubali kufungisha ili Simba isishuke daraja.
Ramadhani kabwili: Simba walitaka nifanye makosa nipewe kadi ya njano dhidi ya JKT Tanzania ili nisicheze mechi dhidi yao.
Simba kwa kushilikiana na Fat :alishawahi kuibadilisha kadinyekundu aliyopewa husen Marsha isomeke kapewa Bakari iddi licha ya Bakari kulalamikia aliambiwa atulie si a napata posho.
Redio spika mbovu.
 
Back
Top Bottom