Sababu za ndege kumwaga mafuta angani

Kwa hiyo rocket ikinyenyuka mwendo wa wima haiendi haibadirishi kwenda ulalo
 
Daaah cjui nani alitutengenez huu uvumi kwamba zile zinazopita juu. Na kuacha trails ni rockets..zile ni ndege za kawaida..though zinapita anga la juu sana ambalo kama wadau walivosema kuna mgandamizo mkubwa...rockets.kwa africa kwa kweli amna nchi inayoeza kufanya project hyo.ko hazipo..jaman nani anakumbuka kuna watu walikua wanasema eti zile rocket zinatuaga south Africa tu..hahahaha...utoto bna

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nafikiri umekurupuka hizo physics siyo ww tuu uliyesoma alichokieleza mtoa mada na unachokisema ni vitu viwili tofauti.

Nafikiri muda mwingine jitahidi kuwa makini katika kuelewa .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: Cyb
 
Em subilini Kwanza
Inamaana zile Ni ndege....
Na ule Moshi unaoonekana nyuma Ni mgandamizo,?
Maana Kama inamwaga mafuta inafikaje Sasa
Inamaana sijawahi kuona locket !?[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Ahsante mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Em subilini Kwanza
Inamaana zile Ni ndege....
Na ule Moshi unaoonekana nyuma Ni mgandamizo,?
Maana Kama inamwaga mafuta inafikaje Sasa
Inamaana sijawahi kuona locket !?[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Ahsante mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu ule moshi ni maji yaliyo ganda kikawaida mafuta yanapo ungua hutoa by product ambazo ni maji na carbon dioxide.
Sasa kwa kuwa ndege zinakuwa zipo katika anga la juu sana ambapo temperature ni ndogo hivyo hupelekea maji ( vapour) , kuganda (kutengeneza kama wingu) na kuacha alama( trails).



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ufafanuzi nilikuwa nausubiri nilikuwa sahihi utotoni na bado niko sahihi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sina hata miezi mitatu nilimdanganya mtoto Wa jirani, maana ndege ilipita hivyo ulivyoelezea ahaaa asante mleta Mada
 
Ambacho napenda kufahamu ni kwamba ni altitude gani hasa hizi ndege tulizokuwa tunaziita rockets huwa zinasafiri. Na kama huwa ndege za abiria au. Maana zinakuwaga juu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mstari wa mwisho umenikamata mkuu. Mpaka leo ndio nimefahamu kuwa Africa haijawahi kuona rocket.

Halafu kuna swali hapo juu, tunaomba kujua, rocket huwa zinasafiri na abiria? Kazi yake haswa ni ipi na husafiri kwa muda gani. Tuliosoma civics na stadi za kazi tunaomba ufafanuzi zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…