Jackal
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 9,971
- 13,608
Hao vibaka kiongozi wao alikuwa Jiwe.Bila shaka mambo yaliyofanyika yalikuwa na baraka zote za Jiwe.Manake yalifanyika waziwazi!Kiuhalisia kwa mbali chama changu naona lilikuwa ni genge la baadhi ya vibaka humu chamani