Sababu za Sabaya kukifunga kiwanda cha Daren Fabrics Industries Ltd

Pole mrs Saa mbaya pambana baby wako atoke
 
Prison jazz band ,wanafanya yao tunaweza shuhudia MTU Akitembea miguu imetanuka ,kutokana na showkali
 
Kumtetea mtu muovu ni laana ambayo itakutafuna wewe pamoja na kizazi chako[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Mkuu tusaidie clip au chochote kinachoonyesha TRA wakimsafisha speshoz
 
Kama umeumia mpelekee kesho uji na maandazi ya Bakhresa.Kichwa Kama koleo jipya wewe.
 
Nipo tayari

#Justice for SABAYA
 
kama huyo Sabaya bado ana marinda basi vijana wa magereza waongezewa kifungo
 
Acha sheria ichukue mkondo wake! Mahakama itatoa uamzi,kama hana hatia ataachiwa huru na nadhani (ingawa mimi si mwamnasheria) kama atashinda kesi anayo haki ya kuishitaki Jamhuri kwa kumsingizia makosa ambayo hakufanya.
 
Hiki ndo nina uhakika nacho 100%.
 
Haya mambo msiandike humu jamani...muende kumtetea huko alipo humu hamumsadii kitu na hayo maandiko
 
"Sabaya anaweza kuwa na ubaya wake"
this statement ina prove kuwa maybe ana mazuri.. lakin pia ana madudu yake.

"watu wanadhan walionewa sana" tuambie ww.. tofauti ya kuonewa sana na kuonewa kidogo, je kuna kunazuia watu wasiseme?

na hayo madudu hayawez kuachwa eti kisa alifanya mazuri fulani fulani.
Sheria haifanyi kazi hivyo. sheria haifanyi kazi kishkaji

oh tatizo ni mbowe. wakati yote yanatendeka mbowe alikaa kimya. mpaka leo yupo kimya.

mpaka sabaya anafika hapo alipofika mbowe anahusikaje?

mbowe ndio kafungua kesi? ndio kashtaki takukuru? au mbowe ndio kasema kwa mhe rais?
but either way what his involvement in this case?
 
Kila siku wanadai CDM imekufa waulize imefufuka lini?
 
Siku moja utajua maana ya propaganda na kupika ushahidi feki.

Hivi ujiulizi sasa hivi watu maarufu wengi wanakufa na hakuna story za corona! Kafariki Mzindakaya, Songoro wa Songoro marine na wengine wengi kwa muda mfupi lakini hakuna hata ukelele wa korona inatumaliza! Imagine angekuwepo Magufuli! Magazeti, BBC, DW story zingekuwa corona Tanzania! Hakuna kingine Kungekuwa kinajadiliwa sasa hivi.

Kumbe vinara wa propaganda lengo lilikuwa kumchafua Magu kwa sababu zao za ubinafsi wao, na wengine sababu hamfikirishi akili zenu mnakubali kucheza ngoma msiyoijua!

Sababu ni propaganda. Wapiga propaganda wanajua kushawihi hasa akili za wasiojitambua (na wako wengi sana) wanaibua mijadala na watu wanajikuta hao wako ndani pulizo! Wanaelekea wajanja wanakotaka waelekee!
 
Jifunze kutofautisha btn reality and illusions.
Propaganda ni illusion.. but serikal haifanyi kazi kwa kusikiliza propaganda.
ndio maana ina idara na vyombo husika vya kufanya task za uchunguzi.

Chadema haina power ya kuishawish serikal imkamate sabaya. serikal imeona yenyewe tu kuwa kuna haja ya kulifanyia kazi.
 
JPM aliyapenda haya! eti kwa kuwa alimuandaa kumng'oa Mbowe .
 
Dah KWA kweli jameni nimeshindwa kumtetea Sabaya KWA unyama huu
 
Hii habari ya kuruhusu uzalishaji wa hicho kiwanda cha vileo, habari ITV waliirusha kweli nakumbuka.
Ila kwa mwendo huu hakuna rangi Sabaya atashindwa kuiona. Kila uchao yanaibuka mapya. Hakuna kwa kuegemea safari hii.
 
Halafu mkikaa hapa mnamsifia jiwe eti alikuwa mzalendo.

Do yoy think haya hakuyaona au kusikia?
Aliyajua fika,maanake alikuwa akisema waziwazi,kwamba aliwaelewa vyema wateule wake kiasi hata kujua sms wakizokuwa wakitumiana.
Alienda mbali zaidi hadi kudukua simu zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…