Sababu za Sabaya kukifunga kiwanda cha Daren Fabrics Industries Ltd

Sababu za Sabaya kukifunga kiwanda cha Daren Fabrics Industries Ltd

Naamini mamlaka mbalimbali kwa nafasi zao zilitoa taarifa kwa Mamlaka yake ya uteuzi.

Nahisi faili lenye taarifa za mtuhumiwa mwendazake hakulifanyia kazi...
Tatizo ni kwamba sabaya na makonda walikuwa pamoja kwenye timu ya kuteka na kuua watu sasa magufuri asingeweza kuwachukulia hatua sababu ndiye aliyekuwa akiwatuma.

Hawa uliowataja baadhi yao wanahusika na udhalimu huu hasa OCD Hai. Lakini wengine wangefanyaje wakati sabaya analindwa na mkuu wa Nchi kwa a anaoufanya
 
Sabaya hakuwahi kukifungia kiwanda cha Daren fabrics kama inavyopotoshwa na Malisa Godlisten, hapa chini naambatanisha video yenye ushahidi wa kilichotokea siku ya tukio, ambapo ndugu Speshoz mmiliki wa kiwanda hicho alikubali kosa la kutofuata utaratibu halali wa serikali na kukiri kuufuata upya utaratibu huo...
Iko hivi kwanza hiyo clip haiwezi kuwa ushahidi kuwa hayo ndio pekee yaliyoongelewa,mazungumzo ya sekunde chibi ya 45,mnaekewana nini.na yawezekana kimeandaliwa kipande cha mazungumzo ya kumwosha kama yale ya mawingu.Amanasema uongo ndugu zangu.
 
Kama alikubali ni kwasababu aliogopa unyama wa Sabaya, hiyo kisheria wanaita "undue influence"

Sabaya anajulikana tabia zake kwa wawekezaji, alikuwa ni kiongozi mbovu ambaye alitumia cheo chake kwa maslahi yake binafsi, kumtetea yule mtu ni kupoteza muda.
 
Hatuko tayari kuona wazalendo wa nchi yetu wakinyanyaswa na wauza madawa ya kulevya...
Kwahiyo kigezo cha kuwa mzalendo ni kuwa wa nne katika kukusanya kodi? Hivi uongozi hauna ethics? Kuna mambo ukifanya yanaondoa kabisa dhana ya kazi njema mtu aliyeifanya.

Sabaya alikuwa na matumizi makubwa ya nguvu bila sababu za msingi. Hilo wabaya wake watalitumia vyema. hata akisalimika, alama imebaki kwenye ngozi. Ana kovu
 
Hatuko tayari kuona wazalendo wa nchi yetu wakinyanyaswa na wauza madawa ya kulevya...
Wewe ni mshamba wa sheria. Japo mimi sifahamu vizuri sheria lakini huu sio ukanusho wa tuhuma dhidi yake. Wewe mfate yule anayedaiwa kubugudhiwa vinginevyo tarehe 18 utasikia mashtaka yameongezwa. Na kumbuka Sabaya alikuwa muovu sana ndiyo mara ya kwanza kusikia Nchi ina kiongozi jambazi
 
Sabaya hakuwahi kukifungia kiwanda cha Daren fabrics kama inavyopotoshwa na Malisa Godlisten, hapa chini naambatanisha video yenye ushahidi wa kilichotokea siku ya tukio, ambapo ndugu Speshoz mmiliki wa kiwanda hicho alikubali kosa la kutofuata utaratibu halali wa serikali na kukiri kuufuata upya utaratibu huo...
Video haijajibu tuhuma, mleta mada alisema kabisa kuwa TRA walikanusha, Wizara ikaingilia kati, akaweka na evidence, sasa wewe unakuja na clip ya sekunde kadhaa unatufanya watoto?

Jibu hoja zike, he TRA hawajawahi kumsafisha jamaa? Je mamlaka zilizotajwa mle hazijawahi kumsafisha huyo jamaa? Je Sabaya hajawahi kuomba hio pesa?? What if wakiweka na docs zaidi utaendelea kubisha??
 
Sabaya hakuwahi kukifungia kiwanda cha Daren fabrics kama inavyopotoshwa na Malisa Godlisten, hapa chini naambatanisha video yenye ushahidi wa kilichotokea siku ya tukio, ambapo ndugu Speshoz mmiliki wa kiwanda hicho alikubali kosa la kutofuata utaratibu halali wa serikali na kukiri kuufuata upya utaratibu huo.

Rai Yangu, Sabaya akiwa Clouds Tv alikiri uwepo wa Project ya kumchafua inayofadhiliwa na Wahalifu aliowadhibiti kule Hai, Miongoni mwa Vijana wanaolipwa kufanya propaganda ni Malisa, Kumbusho Dawson na Twaha Mwaipaya. Acheni huu mchezo nyie vijana wadogo sana.View attachment 1811645
Uchagani ni tatizo watu wanadhani eti walionewa saaana! Huyu Sabaya anawezakuwa na ubaya wake lakini kikubwa ni Mbowe hawamuoni ktk siasa. Wako tayari kuchanga na kuhonga ili tu ushahidi wa uongo utengenezwe. Huyo Malisa ni bonge la ignorant, sasa naye kawa thinker wa kuaminiwa. Kila siku ni ukabila tu!

Ni mkoa ambao wanaamini wako peke yao waachwe wao kwa wao, ingawa wao wanakwenda mikoa ya wengine sana! Nilisikia Samia akisema hata Mgwila walimpa taabu. Huko Nyuma alikuwepo Gama naye walimpa taabu sana!
 
Ukisoma charge sheet, na propaganda zinazopigwa na vijana wa CHADEMA iko wazi makosa ya Sabaya ni ya kulazimisha. Eti ambazo kapata sh 35,000.00. Wapiga filimbi wa CHADEMA wmetunga uongo wa makosa ya kubaka, ujambazi, kuokoteza picha kibao za majeruhi na kusingizia wamepigwa na Sabaya. Lakini wenye akili tunajua ni hasira za Mbowe kudhibitiwa kihalali na kukosa kura. Tunajua hao kina Malisa na wengineyo wanaripoti kwa Mbowe.

Ebu fikiria muuza pombe feki anayejulikana kwa kazi hiyo na aliyekuwa traced na Sabaya baada ya kukamata pombe feki wilayani kwake, anatumika kama shahidi wa Sabaya kupokea rushwa.

Lakini yeye mwenye tuhuma nzito na za muda mrefu za kutengeneza pombe feki hashtakiwi kwa kosa hilo au basi kwa kosa la kutoa rushwa! "Mtoaji na mpokeaji wote maganzila" kwa sauti ya Nyerere, kama nimekosea potezea.
 
Dunia inaenda kasi sana, leo hii mataga wakusema ?
#Justice for SABAYA
#Free SABAYA

wakati tunayasema hayo kwa Roma wao walikuwa kimyaa, kwa Ben Saa Nane wao wanafurahia tu tena watu ambao hawana hata hatia, Leo kakamatwa Jambazi mnakuja hapa eti Justice for Sabaya unafiki tu.

Malipo ni hapa hapa Duniani.
 
Sabaya hakuwahi kukifungia kiwanda cha Daren fabrics kama inavyopotoshwa na Malisa Godlisten, hapa chini naambatanisha video yenye ushahidi wa kilichotokea siku ya tukio, ambapo ndugu Speshoz mmiliki wa kiwanda hicho alikubali kosa la kutofuata utaratibu halali wa serikali na kukiri kuufuata upya utaratibu huo...
Toa ufafanuzi wa press ya TRA Kilimanjaro halafu ndo utushawishi kusikia hoja yako
 
Ukisoma charge sheet, na propaganda zinazopigwa na vijana wa CHADEMA iko wazi makosa ya Sabaya ni ya kulazimisha. Eti ambazo kapata sh 35,000.00. Wapiga filimbi wa CHADEMA wmetunga uongo wa makosa ya kubaka...

Chadema hawa hawa wanaokatazwa kufanya siasa , wanaoibiwa kura na CCM wanaonyanyaswa na police kutwa kucha?

Chadema sasa inamiliki TAKUKURU? CHADEMA ina MAHAKAMA? CHADEMA ina POLICE? Inamaana nchi inaongozwa na CHADEMA au CCM? hoja zingine haziingii akilini kabisa
 
Sabaya hakuwahi kukifungia kiwanda cha Daren fabrics kama inavyopotoshwa na Malisa Godlisten, hapa chini naambatanisha video yenye ushahidi wa kilichotokea siku ya tukio, ambapo ndugu Speshoz mmiliki wa kiwanda hicho alikubali kosa la kutofuata utaratibu halali wa serikali na kukiri kuufuata upya utaratibu huo.

Rai Yangu, Sabaya akiwa Clouds Tv alikiri uwepo wa Project ya kumchafua inayofadhiliwa na Wahalifu aliowadhibiti kule Hai, Miongoni mwa Vijana wanaolipwa kufanya propaganda ni Malisa, Kumbusho Dawson na Twaha Mwaipaya. Acheni huu mchezo nyie vijana wadogo sana.View attachment 1811645
Hivi huyu Sabaya ni nani mpaka watu wamchafue? Nini amefanya nchi hii??

Sent from my vivo 1611 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom