Sababu za Sabaya kukifunga kiwanda cha Daren Fabrics Industries Ltd

Sababu za Sabaya kukifunga kiwanda cha Daren Fabrics Industries Ltd

Hao vibaka kiongozi wao alikuwa Jiwe.Bila shaka mambo yaliyofanyika yalikuwa na baraka zote za Jiwe.Manake yalifanyika waziwazi!
Sasa ulitegemea zile Pesa anazogawa barabaran kila anakopita alikuwa anazitoa wapi?
 
Hivi ni kwamba serekali ilikuwa haiyoni hayo yote, mpaka kiwanda kinafungwa TRA, TBS, BRELA, Wizara ya viwanda wako wapi?

Kwa haraka haraka Sabaya alikuwa juu ya waziri mkuu he was untouchable
Tukisema Magufuli alikuwa takataka MATAGA wanasema tunamharibia legacy. Alimtoa wapi Sabaya?, Je mfumo wa vetting ulitumika katika kumpata? Na je haya maovu alikuwa hasikii malalamiko toka kwenye vyanzo vyake kama TISS? au alikuwa anamtuma admdhoofishe Mbowe? Hili ninaliaminikwa kuwa Magufuli ndiye aliyeanza uharibifu kwa kubomoa Bilicabnas Club ambayo ilikuwa na mgogoro kati ya Mbowe na NHC.

Lakini mwacheni Mungu aitwe Mungu kwa kuwa UKUU wake umedhihiri kwa huyu DIKTETA kufa kwa COVID 19 licha ya ulinzi aliojiwekea na madaktari waliokuwa wanamuangalia 24/7
 
Hivi ni kwamba serekali ilikuwa haiyoni hayo yote, mpaka kiwanda kinafungwa TRA, TBS, BRELA, Wizara ya viwanda wako wapi?

Kwa haraka haraka Sabaya alikuwa juu ya waziri mkuu he was untouchable
Nadhani ndio maana Mungu akaamua kumpenda mtu fulani, otherwise tungekua na Sabaya kama DC until now
 
Mwaka jana mwishoni mfanyabiashara na mbunifu wa mavazi Jeffery Mmbungu maarufu kama @Speshoz alifungua kiwanda cha vinywaji vikali, wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro. Kiwanda hicho kinaitwa Daren Fabrics Industries Ltd kinazalisha kinywaji chenye jina Faru John.

Mwezi February mwaka huu, aliyekua Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya alimpigia Jeff na kumwambia kuwa CCM itafanya maadhimisho ya miaka 44 tangu kuanzishwa, na yeye ni miongoni mwa wanakamati wanaoandaa maadhimisho hayo.

Akataka kiwanda hicho kichangie TZS 10M kufanikisha maadhimisho hayo. Jeff akamwambia hana uwezo wa kuchangia 10M, lakini akaahidi kuchangia 1M. Sabaya akamnanga kwamba serikali ya CCM ndiyo iliyomuwekea mazingira mazuri ya kibiashara hadi akaweza kufungua kiwanda, kwahiyo kuchangia 1M ni dharau kwa chama, anatakiwa achangie kiasi kisichopungua 10M.

Jeff akamwambia hana pesa hiyo. Sabaya akamwambia nimepitia transaction zako TRA najua unafanya mauzo ya mamilioni ya shilingi. Jeff akamwambia bado kiwanda ni kichanga na hakijaanza kujiendesha kwa faida kiasi cha kumpa Sabaya 10M.

Mwezi May mwaka huu Sabaya akavamia kiwanda hicho akiwa na mabaunsa wake. Wakawa-harass sana wafanyakazi waliokuwepo. Sabaya akiongozana na waandishi wa vyombo 11 vya habari akatangaza kukifunga kiwanda hicho kwa madai kinajiendesha bila vibali.

Vyombo vya habari vikaripoti kuwa kiwanda hicho kimefungwa kwa kufanya uzalishaji wa vinywaji vikali bila kuwa na kibali. Jeff akashangaa kwa sababu alikua na vibali vyote.

Ana leseni ya BRELA nambari 142255766 iliyotolewa July mwaka 2020. Ana leseni ya TRA nambari 142255766 iliyolewa July 2020. Ana leseni ya biashara nambari 03356294 iliyotolewa na Halmashauri ya wilaya ya Hai tarehe 25 September 2020.

Ana Leseni ya mkemia mkuu wa serikali nambari B002C000255 iliyotolewa October mwaka 2020, pia ana Leseni ya TBS nambari 3082 iliyotolewa December 2020. Pia kabla ya kuanza uzalishaji alipewa barua ya ruhusa kutoka TBS yenye Kumbukumbu nambari QA/QCCA/3215/17.

Sasa akashangaa imekuaje kiwanda kifungwe kwa kukosa vibali wakati vibali vyote anavyo? Akampigia Sabaya kumuuliza. Akamwambia aende ofisini.

Alipofika ofisini, wakaongea na akamuonesha nakala za vibali. Sabaya akatoka ofisini na kumuacha ndani. Aliporudi akamnyang'anya simu zote, na kumuamuru akae chini. Akaita mabaunsa wake, wakamvua viatu na mkanda na kumpeleka rumande.

Taarifa za kukamatwa kwake zikafika kwa viongozi mbalimbali wa serikali. Wizara ya ya viwanda na biashara ikatoa tamko kuwa kiwanda hicho kinajiendesha kwa mujibu wa sheria. Wizara ya uwekezaje, ofisi ya Mkemia mkuu wa serikali, Shirika la viwango (TBS), pamoja na ofisi ya BRELA wakaingilia kati na kueleza kuwa kiwanda hicho kinajiendesha kihalali.

Kesho yake Meneja wa TRA mkoa wa Kilimanjaro akafanya press na kutoa ufafanuzi kuwa kiwanda hicho kinaendeshwa kwa mujibu wa sheria. Taarifa hiyo ikaeleza kuwa mwezi April kiwanda hicho kilipewa stika za 200M na kiliweza kuhuisha stika za 93M. Pia kwa siku chache za mwezi May (kabla hakijafungwa) kilikua kimehuisha stika za 13M.

Taarifa ya TRA ikaeleza kuwa kiwanda hicho hakijawahi kuwa na mgogoro wowote na serikali wala hakijawahi kujiendesha bila kuwa na vibali. Ikatangaza kukifungulia kiwanda hicho na kukiruhusu kiendelee na uzalishaji.

Media zote zilizoripoti kuwa kiwanda hicho kimefungwa zilialikwa kwenye Press ya TRA ili ziujulishe umma kwamba taarifa ya Sabaya haikua sahihi, na kwamba kiwanda hicho kimeruhusiwa kuendelea na uzalishaji.

Lakini Sabaya akazuia media hizo zisiripoti taarifa hiyo ya TRA. Ni ITV pekee walioamua kusimama katika misingi ya taaluma na kutoa ufafanuzi kwa umma. Media nyingine ziliamua kusimama na Sabaya. What a shame?

Tayari Jeff ameshaenda TAKUKURU kuwasilisha ushahidi wake. Pia atawasilisha malalamiko Baraza la habari nchini (MCT) ili media zilizomchafua na zikakataa kumsafisha zichukuliwe hatua, kwa sababu habari ya kiwanda hicho kufungwa imeathiri mauzo kwa kiasi kikubwa!
Kama tungekuwa na katiba mpya inayozingatia uajibikaji,uhuru wa vyombo vya ulinzi kama vile polisi mahakama huru nk.mlalamikaji angeweza kutoa taarifa kwa ocd na hatua zikachuliwa bila Rais kutoa kibali.Na hii ingewafanya viongozi kuijali Jamhuri na kujali haki za watu waliowachagua kupitia Rais wao.Tanzania tuna bahati moja ambayo mataifa mengine hawana;Umoja na lugha moja.Ila vyombo vyetu vya kuendesha nchi vinapigiwa kelele kuwa haviko huru.Wanataka Igp asiteuliwe bali ajiriwe,pia tume ya uchaguzi iwe huru, Cag ajiriwe.Endapo vyombo hivi vitakuwa huru,wanaamini hakuna mtu atakayekuwa juu ya sheria na uonezi utakoma spontaneously
 
Hii makala inatoka kwa Speshoz mwenyewe?

Sabaya ni mpuuzi ila naona kama wachagga na CDM na ninyi mnapitishia humo humo mambo yenu.

Nandy yupo, Speshoz yupo wanashindwa nini kuongeza mpaka ninyi ndio muonekane mnajua sana.
Mzee usumbue basi ubongo wako japo kidogo,eneo la kiutawala la aliekuwa DC ni uchagani alafu unahoji wachaga kulalamika juu yake, ulitaka walalamike wangoni?
 
Mwaka jana mwishoni mfanyabiashara na mbunifu wa mavazi Jeffery Mmbungu maarufu kama @Speshoz alifungua kiwanda cha vinywaji vikali, wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro. Kiwanda hicho kinaitwa Daren Fabrics Industries Ltd kinazalisha kinywaji chenye jina Faru John.

Mwezi February mwaka huu, aliyekua Mkuu wa wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya alimpigia Jeff na kumwambia kuwa CCM itafanya maadhimisho ya miaka 44 tangu kuanzishwa, na yeye ni miongoni mwa wanakamati wanaoandaa maadhimisho hayo.

Akataka kiwanda hicho kichangie TZS 10M kufanikisha maadhimisho hayo. Jeff akamwambia hana uwezo wa kuchangia 10M, lakini akaahidi kuchangia 1M. Sabaya akamnanga kwamba serikali ya CCM ndiyo iliyomuwekea mazingira mazuri ya kibiashara hadi akaweza kufungua kiwanda, kwahiyo kuchangia 1M ni dharau kwa chama, anatakiwa achangie kiasi kisichopungua 10M.

Jeff akamwambia hana pesa hiyo. Sabaya akamwambia nimepitia transaction zako TRA najua unafanya mauzo ya mamilioni ya shilingi. Jeff akamwambia bado kiwanda ni kichanga na hakijaanza kujiendesha kwa faida kiasi cha kumpa Sabaya 10M.

Mwezi May mwaka huu Sabaya akavamia kiwanda hicho akiwa na mabaunsa wake. Wakawa-harass sana wafanyakazi waliokuwepo. Sabaya akiongozana na waandishi wa vyombo 11 vya habari akatangaza kukifunga kiwanda hicho kwa madai kinajiendesha bila vibali.

Vyombo vya habari vikaripoti kuwa kiwanda hicho kimefungwa kwa kufanya uzalishaji wa vinywaji vikali bila kuwa na kibali. Jeff akashangaa kwa sababu alikua na vibali vyote.

Ana leseni ya BRELA nambari 142255766 iliyotolewa July mwaka 2020. Ana leseni ya TRA nambari 142255766 iliyolewa July 2020. Ana leseni ya biashara nambari 03356294 iliyotolewa na Halmashauri ya wilaya ya Hai tarehe 25 September 2020.

Ana Leseni ya mkemia mkuu wa serikali nambari B002C000255 iliyotolewa October mwaka 2020, pia ana Leseni ya TBS nambari 3082 iliyotolewa December 2020. Pia kabla ya kuanza uzalishaji alipewa barua ya ruhusa kutoka TBS yenye Kumbukumbu nambari QA/QCCA/3215/17.

Sasa akashangaa imekuaje kiwanda kifungwe kwa kukosa vibali wakati vibali vyote anavyo? Akampigia Sabaya kumuuliza. Akamwambia aende ofisini.

Alipofika ofisini, wakaongea na akamuonesha nakala za vibali. Sabaya akatoka ofisini na kumuacha ndani. Aliporudi akamnyang'anya simu zote, na kumuamuru akae chini. Akaita mabaunsa wake, wakamvua viatu na mkanda na kumpeleka rumande.

Taarifa za kukamatwa kwake zikafika kwa viongozi mbalimbali wa serikali. Wizara ya ya viwanda na biashara ikatoa tamko kuwa kiwanda hicho kinajiendesha kwa mujibu wa sheria. Wizara ya uwekezaje, ofisi ya Mkemia mkuu wa serikali, Shirika la viwango (TBS), pamoja na ofisi ya BRELA wakaingilia kati na kueleza kuwa kiwanda hicho kinajiendesha kihalali.

Kesho yake Meneja wa TRA mkoa wa Kilimanjaro akafanya press na kutoa ufafanuzi kuwa kiwanda hicho kinaendeshwa kwa mujibu wa sheria. Taarifa hiyo ikaeleza kuwa mwezi April kiwanda hicho kilipewa stika za 200M na kiliweza kuhuisha stika za 93M. Pia kwa siku chache za mwezi May (kabla hakijafungwa) kilikua kimehuisha stika za 13M.

Taarifa ya TRA ikaeleza kuwa kiwanda hicho hakijawahi kuwa na mgogoro wowote na serikali wala hakijawahi kujiendesha bila kuwa na vibali. Ikatangaza kukifungulia kiwanda hicho na kukiruhusu kiendelee na uzalishaji.

Media zote zilizoripoti kuwa kiwanda hicho kimefungwa zilialikwa kwenye Press ya TRA ili ziujulishe umma kwamba taarifa ya Sabaya haikua sahihi, na kwamba kiwanda hicho kimeruhusiwa kuendelea na uzalishaji.

Lakini Sabaya akazuia media hizo zisiripoti taarifa hiyo ya TRA. Ni ITV pekee walioamua kusimama katika misingi ya taaluma na kutoa ufafanuzi kwa umma. Media nyingine ziliamua kusimama na Sabaya. What a shame?

Tayari Jeff ameshaenda TAKUKURU kuwasilisha ushahidi wake. Pia atawasilisha malalamiko Baraza la habari nchini (MCT) ili media zilizomchafua na zikakataa kumsafisha zichukuliwe hatua, kwa sababu habari ya kiwanda hicho kufungwa imeathiri mauzo kwa kiasi kikubwa!

Kuna watu akili zao hazipo sawa. Ubabe wa aina hii unalindwaje kwa mfano??
 
Kosa lilifanyika kwenye uteuzi, mtu amefohi hadi ID ya Idara ya Usalama wa Taifa then anapewa uDC? Haya yote aliyoyafanya hayanishangazi maana akili zake nilishazijua kitambo... Sikutegemea weledi wowote kutoka kwake!
Taratibu nyingi zilikiukwa,na ilikuwa ni utashi wa mtu binafsi kufanya atakavyo!:
1.Ushauri,ulipokelewa kwa kutumbuliwa au kutishiwa.
2.Maoni binafsi yenye nia njema,wengi yalifanya kupotezwa,au kudhalilishwa.
3.Upole na busara,ilitafsiriwa kwamba ni udhaifu!
4.Ukatili,kusifia na kujipendekeza,ilitafsiriwa kuwa ndio utendaji hodari.
 
Watu wengi tunamlaumu Sabaya kwamba ni mkora, mtu mbaya sana, jambazi, mbabe na majina mengi mengi yenye kuendana na hayo...

Lakini tumesahau mfumo uliomkuza Sabaya ni mfumo wa chama cha kijani, ambao kwa kiasi kikubwa tabia za Sabaya ndio tabia kuu za chama hicho...

Ndio maana muda wote huo chama cha kijani wala hakijawahi kumwajibisha Sabaya, kwa sababu wangethubutu tu ni kama wangelazimika kuwawajibisha makamanda wao karibu wote...
 
Hivi ni kwamba serekali ilikuwa haiyoni hayo yote, mpaka kiwanda kinafungwa TRA, TBS, BRELA, Wizara ya viwanda wako wapi?

Kwa haraka haraka Sabaya alikuwa juu ya waziri mkuu he was untouchable
alisema ni mkuu wa wilaya pekee anaempigia mkuu simu anapokea hata saa nane usiku
 
Ukifuatilia vizuri hizi taarifa, ukaongeza na zako

Sabaya hana kosa lelote,

Only time will tell.
 
Halafu wanatokea vilaza mapunguani kumtetea huyo kenge
 
Back
Top Bottom